Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
[emoji38][emoji38][emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Reasoning yako inasikitisha. Barabara za mbezi ni restricted? Kwahio kwasababu mabasi ya mwendokasi yanapita huko kwingine ndio ruhusu kila anaejisikia atumie barabara za mwendokasi?Haya ngoja tuone mwisho wake! kwa hiyo mwendokasi kupta barabara za mwenge na mbezi ni sawa!
Hao polisi walikuwa na emergency? Mnaongea kama hamuwajui hao polisi. Hao wanaweza kuamua tu kupita wrong side kisa hawataki kusubiri taa!Hii barabara inatumika pia kama emergency, chukulia ndugu yako amepandishwa kwenye ambulance na mnawahi labda muhimbili mnazuiwa hivyo na anatumia oxgen au pili nyumba yako inaungua moto alafu.zima moto wanazuiwa hivyo au hata pia wamepewa taarifa kuna mahali kuna panya road wanakuja alafu mnawazuia alafu kesho yake aliyejeruhiwa ni ndugu yako.
sio sawa.
Well Noted POTIHao polisi walikuwa na emergency? Mnaongea kama hamuwajui hao polisi. Hao wanaweza kuamua tu kupita wrong side kisa hawataki kusubiri taa!
Kwani hapo kuna moto? Kwanini msiwaambie madaktari nao wapite hapo haraka wakaokoe maisha?Utakapouguliwa ghafla na mama mzazi halafu ukute upo foleni na anakaribia kukata roho ndio akili itakukaa sawa
Na dharura pia pale inapobidi.Kwani hio ni barabara ya dharula au ya mabasi ya mwendokasi?
Hakuna dharura kwa barabara ya mwendokasi na uzuri polisi wametoa tamko na wanasema hakuna gari au chombo chochote kinachoruhusiwa kupita barabara ha mwendokasi zaidi ya mabasi ya mwendokasiNa dharura pia pale inapobidi.
Ni sawa ila binafsi sioni tatizo ikiwa kuna dharura ya ulazima na kuna foleni.Hakuna dharura kwa barabara ya mwendokasi na uzuri polisi wametoa tamko na wanasema hakuna gari au chombo chochote kinachoruhusiwa kupita barabara ha mwendokasi zaidi ya mabasi ya mwendokasi
View attachment 2358262
Mara nyingi nimekuambia una matatizo ya akili. Na uzuri hutumii nguvu kuthibitisha hilo.Ni sawa ila binafsi sioni tatizo ikiwa kuna dharura ya ulazima na kuna foleni.
Polisi wasingetoa tamko
Kwa hiyo hata jengo la MWENDOKASI Likiwa linaungua hakuna kupitisha zimamoto humo wawahi kuzima?
Hawa ni walinda usalama wetu wanalinda mabenki, wanalinda wakuu wetu wa nchi, wanalinda hata ambavyo sisi kwa uelewa wetu hatuwezi ona! chukulia mfano kukawa na tukio hata la ujambazi ndani ya mwendokasi kituoni halafu hawa FFU wakawa karibu! najua watu wa mwendokasi watawakimbiloa polisi wawasaidie!
Mbona hizo mwendokasi zinapita tu barabara za Kimara mpaka Kibaha tena mwendo zaidi ya 50 na hawasimami kwenye Zebra ila polisi wanawachukulia poa tu?
What if walikiwa wanaenda kuzuia uhalifu?! Je, unaona unastahili kuongoza jiji hili?
Kwa hiyo mnataka AMBULANCE, MAJESHI YA ULINZI, POLISI, MADAKTARI wasipite mwendokasi wajae kwenye foleni huko?
View attachment 2358269
Bora wangepiga kimya aisee.. 🤣🤣🤣Polisi wasingetoa tamko
Uoga tu na ushamba wa kibongo jamaa umemshika..mawazo kama haya tutakomboka kweli wabongoUna uhakika walikuwa na udhuru wa kuwahi sehemu? Gari ni gari iwe ya Rais au raia haipaswi kupita barabara ya treni (reli). Mwendokasi wako sahihi. Full stop.
Uongo utakusaidia nini ?Na dharura pia pale inapobidi.
Msemaji wa polisi amewaonya kama hamtofata sheria za nchi.Subiria na polisi wapate uthubutu utakuja kuleta mrejesho