Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Nafikili kwa nilivomuelewa jamaa anajaribu ku compare Mavoko wa WCB na huyu wa sasa, anazungumzia show alizokuwa akipiga na alivokuwa akisikika wakati uleMavoko ana nyumba 5 za kupangisha hapa dar, ana maduka ya jumla na rejareja. Hawezi ishiwa kirahisi.
Tembea uone sio unakaa sehemu moja km UYOGATuone hayo maduka mkuu
Lakini pamoja na hilo bado hajaja kwako kuomba ungaJamaa kafulia kimziki
They don't see that wayMavoko ana nyumba 5 za kupangisha hapa dar, ana maduka ya jumla na rejareja. Hawezi ishiwa kirahisi.
Na huku ushavamia tayari na Gari lako la promotion au sio?Waliokuwa wanapiga kelele atoke wasafi ananyonywa..ooh yeye ni mkubwa kuliko Diamond. Wapo wapi?
Ilo vumbi sio poa, angekuwa wasafi sasa hivi anaenda tour na private jet akaunti inasoma vizuri.
Madogo wa mikoani bana 😂😂Mavoko ana nyumba 5 za kupangisha hapa dar, ana maduka ya jumla na rejareja. Hawezi ishiwa kirahisi.
Km wewe hujui hujui tu usilazimishe kila mtu afanane na weweMadogo wa mikoani bana 😂😂
Kuna mwenzio alikuwa anawapiga fix wenzake eti nature ana mashamba ya korosho mafuso na daladala kibao mjini. Kibla anakunywa sana barimi mix kisungura mpululumpalala 😂😂
Hakika , kunawakati utapanda na kunawakati utashuka. Unaweza pata pesa Ila changamoto nikuzifanya hizo pesa ziendelee kuwepo.....Huwa hatuwasemi hivyo Wanaume wenzetu
Angekaa nyumbani ungempa pesa?
Alipofanya maamuzi ya kipumbavu mlimsifia haya sasa hivi mmetelekezaLakini pamoja na hilo bado hajaja kwako kuomba unga
[emoji23] we umeweza kutembea dunia nzima?Tembea uone sio unakaa sehemu moja km UYOGA
Hiyo account mjazieni basi juma natureWaliokuwa wanapiga kelele atoke wasafi ananyonywa..ooh yeye ni mkubwa kuliko Diamond. Wapo wapi?
Ilo vumbi sio poa, angekuwa wasafi sasa hivi anaenda tour na private jet akaunti inasoma vizuri.
funga mageti..(chino wana man soundAlooooo