Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,258
- 10,014
Uzuri tukicheza na Bodi ya Ligi tuna uhakika wa pointi 3 na magoli ma3 toka mezani kwa Bodi. Ninyi chezeni na mabaunsa wenu mrudi kupiga utopolo matopeni. Hakuna mtakachopata.Fresh tuu nyie hiyo tarehe itakayo pangwa na bodi, mtacheza na bodi ya ligi.