Lee Van free
JF-Expert Member
- Aug 14, 2024
- 1,535
- 5,332
Hamna kitu Simba wameshamaliza Kila kitu,hivi wako hotelini saa hizi wanasubiri fitari TU.Naona kama yanga ndio wanafanya "UBAYA UBWELA"
Huo ndio ubaya Ubwela.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kitu Simba wameshamaliza Kila kitu,hivi wako hotelini saa hizi wanasubiri fitari TU.Naona kama yanga ndio wanafanya "UBAYA UBWELA"
Ndio ukichaa wa ligi yetu huu ila na sisi mashabiki tukiendelea kuwaunga mkono na hui ujinga wataendelea kutufanya majinga siku zote.Halafu na zile gharama walizotumia Yanga kuandaa timu kule Avic Town kwa wiki nzima atalipa nani? Na vipi kuhusu wale mashabiki waliotoka Mikoani kuja kuishangilia timu yao, watafidiwa na nani gharama zao?
Na vipi kuhusu wale wafanyabiashara waliondaa bidhaa zao mbalimbali kwa ajili ya kuuza kwenye hiyo mechi, watafidiwa na nani?
Je, ni sahihi kwa timu kususia mechi kwa sababu ya kuzuiliwa na meneja wa uwanja kufanya mazoezi masaa 24 kabla ya mchezo, halafu Bodi ya ligi na yenyewe inaungana kirahisi tu na hiyo timu kuahirisha huo mchezo?
Je, na timu nyingine zikifanya upuuzi kama huu zitalindwa na hiyo Bodi ya ligi kama walivyolindwa simba?
Nimemsikia Manara anasema kikosi kilichopelekwa jana usiku ni B halafu na vizee vifupi tupu. Ujinga tupu yaani!Sisi timu tunaipeleka Taifa, kisa cha kuahirisha mechi ni ujinga wa watu wanaoamini nguvu za giza. Jana hakuna wachezaji walioenda kufanya mazoezi usiku. Kwenye basi mlijaza vibabu kibao, kondoo na mbuzi. Mlitaka mkapike supu mule ndani?
Acheni uchawi wenu, kinachowafanya leo msilete timu, ni hiko makafara yenu hayakufanyika hovyo kabisa. Na mna bahati nyie, leo mngeokota mipira wavuni, mpaka mngekimbia uwanjani. Zile 5 ingekuwa mara mbili simbilisi nyie, mmetukosesha uhondo.
Hizo Timu Mbili Zote Zina Upuuzi Upuuzi Wa KipumbavuNaona kama yanga ndio wanafanya "UBAYA UBWELA"
Hii nchi uhuruWameruhusiwa vipi kupita na msafara wao kwenye geti wakati bodi na TFF wameshatoa taarifa kuwa mechi hakuna. Halafu unamsikia chura mmoja anasema hawahusiki na kuwazuia Simba kuingia uwanjani siku ya jana.
Hapana.. hapa ni kwamba nyani ana wanasheria wabovu ambao hajui kutafsiri kanuni... au kwa maneno mengine nyani hakujua haki zake na wakaa kimya.Mbona hii mechi haikufutwa round ya kwanza au nyani ndio nyani haoni lake kund..........le.
View attachment 3263814
Au TFF hawakupata ripoti za kilicho fanyika kabla ya mechi?
Nope ujue hata CAF ukifanyiwa vitimbi vya kukataliwa kucheza si kwamba ukimbilie kususa. Nchi za kiarabu zinafigisu nyingi sana,hizi sijui kuzuia timu zisitumie viwanja siku moja kabla ya mechi ni kawaida, ila still timu hazisusi mechi inapigwa .Ila repoti ya mechi CAF wataipitia then maamuzi yatafanyika kupitia repoti.Hapana.. hapa ni kwamba nyani ana wanasheria wabovu ambao hajui kutafsiri kanuni... au kwa maneno mengine nyani hakujua haki zake na wakaa kimya.
Ni aibu tupu Kaka, jana kuna mtu alikuwa pale. Kashuhudia kwa macho yake uhuni wanaoufanya hawa. Bodi nayo haijielewi, na bahati mbaya wengi ni simba hiyo bodi.Nimemsikia Manara anasema kikosi kilichopelekwa jana usiku ni B halafu na vizee vifupi tupu. Ujinga tupu yaani!
Hata kama Yanga wamefanya kosa kuzuia mpinzani kufanya mazoezi bado hii sio sababu inayoweza kufanya mechi kuhairishwa badala yake Kuna adhabu kama fain zimewekwa.Sisi timu tunaipeleka Taifa, kisa cha kuahirisha mechi ni ujinga wa watu wanaoamini nguvu za giza. Jana hakuna wachezaji walioenda kufanya mazoezi usiku. Kwenye basi mlijaza vibabu kibao, kondoo na mbuzi. Mlitaka mkapike supu mule ndani?
Acheni uchawi wenu, kinachowafanya leo msilete timu, ni hiko makafara yenu hayakufanyika hovyo kabisa. Na mna bahati nyie, leo mngeokota mipira wavuni, mpaka mngekimbia uwanjani. Zile 5 ingekuwa mara mbili simbilisi nyie, mmetukosesha uhondo.
Ndio mawazo yangu. Ni uchawi Tu hakuna jingine😞Kipo kitu jana walifanya,kiasi wakawa tayar kwa kulipia ghasia zao. Leo sharti wakanyage uwanja ulozi upon.
MaliziaNaona sofa score game inaendelea ipo dakika ya sita View attachment 3263894
mngekuwa mnajiamini mngemuacha mnyama atibue nyasi na kafara zenu😆😆Benchi la ufundi Oyeeeee. Ila mnatia aibu sana, nyie hamjiamini ndiyo tatizo. Mkiisikia Yanga, mlivyoona video wachezaji wa Yanga wanavyojifua kimazoezi. Mkasema piga uwa hatuchezi nao Jumamosi. Mtani mmeanza kutukimbia tena 😂😂😂😂😂