Badala uwape wazazi wako tuzo kwa kukuzoa mavi ukiwa mdogo, hadi umeota ndevu, unampa mkeo TUZO ambae hata DNA hazishabihiani , non-sense.Hata mimi juzi nimempa mke wangu tuzo kwa kunijali na kunihudumia na kunivumilia kwa mapungufu yangu, pia kunizalia watoto wazuri wenye maadili.
Kwa hiyo pia hao kumpa huyo kibaraka wao tuzo sio mbaya,
Pia tanzania nao wamepata tuzo ya kuwa nchi yenye utawala bora na mengineyo,
Kwa hiyo hizo tuzo zake akatunzie huko kwa washirika wake.
DAAH ila numi la jamaa limetulia sanaVideo hiyo hapo juu ni David McAllister - Deputy Chairperson of International Democratic Union (IDU) & Member of European Parliament akitoa maelezo mafupi kabla ya kumkabidhi tuzo hiyo Mh. Tundu Lissu.
Na katika video hii hapa chini Tundu Lissu akitoa neno la shukrani baada ya kupokea tuzo hiyo.
Hongera sana Mh. Tundu A. Lissu. Binafsi nakutakia kila la kheri.
Ningekuwa siijui nadhani nisingeweza hata tu Kumtaja Jina lake na yawezekana nikawa najua 'Historia' yake mno tu kuliko 'Popoma' tukuka Wewe.
Basi wasifanye biashara na sisi wabaki navyo huko huko na wasitutegeme kwa lolote wala chochote. Tumia akili Nyau wa dar wewe wakati unapofikiria katika kuandika sawa Young man.Mabeberu ndio tunatumia dawa zao, simu zao kuwasiliana, wewe huna akili hata ya kutengeneza kitanda unamwita foreigner BEBEBRU, utabakia kuwa mbuzi JIKE bro
Kweli. Tundu Lisu alipata kura milioni 7.5 na Jiwe alipata kura milioni 6.36.suggest ajiunge haraka sana CCM na John Pombe Magufuli immediately ampishe jamaa kwenye kiti chake maana huyu ndiye mshindi wa kiti cha Uraia ktk sanduku la kura kwenye uchaguzi uliopita!
Hahaha upumbavu mmeacha lini huko UWT?!'Upumbavu' wako huu kuwa Tundu Lissu alipigwa Risasi na Vyombo vya Dola baki nao Wewe na 'Wapumbavu' Wenzio. Aliyemdhuru mpo nae huko.
Wambie wafanyabiashara wenu wasifuate bidhaa kwao, sijui hicho ki-smart phone chako cha tecno ungepata wapi ...... wao wanauwezo wa kuishi kwa 95% bila ya nyie kununua bidhaa zao, ila nyie Watanzania mna 5% za kuishi bila wao bro. Kuna vitu huvielewi nafikirBasi wasifanye biashara na sisi wabaki navyo huko huko na wasitutegeme kwa lolote wala chochote. Tumia akili Nyau wa dar wewe wakati unapofikiria katika kuandika sawa Young man.
Hahaha hivyo kwa kumpenda umemfanya awe beberu wako.Kwangu Mimi 'Premier' Benjamin Netanyahu 'alias' BIBI siyo 'Beberu' kama wale 'Wanaomtunza' Tundu Lissu Wenu bali ni 'Think Tank' nimpendae.
Wewe Pimbi hebu nitokee hapa na acha kunipotezea muda wangu Kujibizana nawe kila mara sawa? Level yako Kushindana nami Kihoja ni Utopolo.You are too aggressive with egomaniac behaviour...
Ni ngumu sana mtu kujadiliana na wewe kwa hoja na kujengeana ufahamu...
Nashindwa kuingia kwenye ligi ya lugha kali za kuudhi na pengine kutukanana...
Niwie radhi kama hukupendezwa na nilichoandika nikikukwoti...
Baada ya kumtumia mabeberu yameamua kumpoza mwenzao. To hell Lissu msaliti
UWT huko ndiko waliko 'Mabasha' zako wengi au?Hahaha upumbavu mmeacha lini huko UWT?!
Nasikia huyu Beberu wangu Wewe Kwako ni 'Basha' wako au?Hahaha hivyo kwa kumpenda umemfanya awe beberu wako.
Hahaha bora umekiri ni beberu wako,Nasikia huyu Beberu wangu Wewe Kwako ni 'Basha' wako au?
Baada ya kumtumia mabeberu yameamua kumpoza mwenzao. To hell Lissu msaliti
Hiki kidem bana 🤗🤗🤗🤗mamako!
Wewe Pimbi hebu nitokee hapa na acha kunipotezea muda wangu Kujibizana nawe kila mara sawa? Level yako Kushindana nami Kihoja ni Utopolo.
I concur! Kijani hawawezi kukuelewa Bro! Risasi 38 ziliacha maganda pale chini, lakini hakuna RB wala ENQ iliyofunguliwa, sijawahi kusikia popote mkuu akilikemea kwa nguvu zote kama afanyavyo kwa mengine mema, huwa najiuliza maswali, nakosa majibu.Wazungu walimwona Martin Luther King miaka ya 1960's kuwa ni tatizo lakini wengine walimwona ni mwokozi. Mandela kuna ambao walimwona ni tatizo na wengine walimwona mwokozi. Hivyo tutashinda mitandaoni kuita wazungu mabeberu wakati ndiyo madaktari wetu wamekaa tu na kusubiri chanjo ya Corona kutoka nje badala ya kufanya tafiti!. Yaani kuwaita watanzania wenzako Mbuzi kwamba wanapandwa na beberu hujui ni kujitukana mwenyewe na sio huyo beberu!. Amesaliti nini tuonyeshe kitu gani ambacho kafanya cha usaliti. kuiba kura za watanzania ni usaliti namba moja, kufungulia watu kesi za uongo ni usaliti mkubwa na kupiga watu risasi ambao hawana hatia na kujifanya eti ni mtu wa dini huwezi kuuwa hata wafugwa walioua wakati ulitoa maelezo lissu apigwe risasi kwasababu tu ni mashuhuri kuliko wewe!
Tuna vijana siku hizi wajinga jinga na washabiki sana. Hawawezi hata kufikiria !I concur! Kijani hawawezi kukuelewa Bro! Risasi 38 ziliacha maganda pale chini, lakini hakuna RB wala ENQ iliyofunguliwa, sijawahi kusikia popote mkuu akilikemea kwa nguvu zote kama afanyavyo kwa mengine mema, huwa najiuliza maswali, nakosa majibu.
Badala uwape wazazi wako tuzo kwa kukuzoa mavi ukiwa mdogo, hadi umeota ndevu, unampa mkeo TUZO ambae hata DNA hazishabihiani , non-sense.
Tafsiri ipo Lumumba ofisi ya Polepole, huku tumeambiwa tisiijue lugha ya mabeberu.Naomba unitafsirie mtoa mada please