Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,443
- 4,006
Voting for an empty headed and arrogant sadist!!! Please be seriousDo you think so...?
If it had nothing to do with you, you couldn't have exposed your jealous into public just like that...
I assure you that, it has a lot to do with more than 10million voters including you who voted him in 28th October, 2020 presidential election...!!
Ila kwa kweli huyu mzee inabidi ajitafakari sana mwenendo wake huu wa kuumiza watu. Hii yaweza kuja kumsuta sana huko mbeleni hata akiondoka kwenye kitiDikiteta magufuli naye apewe tuzo ya ukandamizaji wa demkrasia na uharamia wa kuua wakosoaji.
😂😂😂 mkuu siwezi tumia simu ya kichina Tecno hizoo. Hivi unaishi wapi na wewe ni mbongo au?Wambie wafanyabiashara wenu wasifuate bidhaa kwao, sijui hicho ki-smart phone chako cha tecno ungepata wapi ...... wao wanauwezo wa kuishi kwa 95% bila ya nyie kununua bidhaa zao, ila nyie Watanzania mna 5% za kuishi bila wao bro. Kuna vitu huvielewi nafikir
Ukishaposti humu huwezi nizuia kucomment mkuu. Kiufupi punguza tu ujuaji na sifa nyingi, ingawa kuna mambo unayajua kweli kweli.Acha Kunipangia nini cha Kuandika / Kuchangia hapa JamiiForums kwani huninunulii 'Bando' langu sawa? Unanichukia 'nibloku' tu au hulijui na hili?
Hata wewe ?Mwambieni atazoa 'Tuzo' sana tu za hao 'Mabeberu' wake wanaomtuma ila Tanzania 'Rais' ni Dk. Magufuli na Chama Tawala ni cha 'CCM' tu pekee.
Duh ! Hata wewe umepongeza?Tuzo muhimu sana, hongera zake.
P
Ampe nani?Dikiteta magufuli naye apewe tuzo ya ukandamizaji wa demkrasia na uharamia wa kuua wakosoaji.
Huyu dikiteta magufuli ni mnazi wa ideology za kiduku wa Korea na mchina, nadhani hizi nchi ziandae tuzo hii kwa dikiteta magufuli!Ampe nani?
Lisu ni msaliti, kumb. alikuwa upande wa wazungu wakati wa vita ya madini ref. Acacia/Barrick mining co.. Kwamba tutashitakiwa, na tutalipa fidia nyingi kwa hao wazungu. Angekuwa mzalendo angekuwa anaunga mkono mazuri ya serikali, kwake yeye kila kitu kinachofanywa na serikali ni batili. Huku akiwaabudu wazungu, kumbe analipwa ili aichafue serikali. Ni msaliti kama YUDA ISKARIOTE alivyomsaliti YESU.Wazungu walimwona Martin Luther King miaka ya 1960's kuwa ni tatizo lakini wengine walimwona ni mwokozi. Mandela kuna ambao walimwona ni tatizo na wengine walimwona mwokozi. Hivyo tutashinda mitandaoni kuita wazungu mabeberu wakati ndiyo madaktari wetu wamekaa tu na kusubiri chanjo ya Corona kutoka nje badala ya kufanya tafiti!. Yaani kuwaita watanzania wenzako Mbuzi kwamba wanapandwa na beberu hujui ni kujitukana mwenyewe na sio huyo beberu!. Amesaliti nini tuonyeshe kitu gani ambacho kafanya cha usaliti. kuiba kura za watanzania ni usaliti namba moja, kufungulia watu kesi za uongo ni usaliti mkubwa na kupiga watu risasi ambao hawana hatia na kujifanya eti ni mtu wa dini huwezi kuuwa hata wafugwa walioua wakati ulitoa maelezo lissu apigwe risasi kwasababu tu ni mashuhuri kuliko wewe!
Huu ni umwambafy wa kihaya usijimwambafy hivyo kwani hata waliokutuma uwatetee mitandaoni sasa wanaanza kuwa na wasiwasi na wewe kwani sasa badala ya hoja umejikita kujisifu binafsi zaidiAcha Kunipangia nini cha Kuandika / Kuchangia hapa JamiiForums kwani huninunulii 'Bando' langu sawa? Unanichukia 'nibloku' tu au hulijui na hili?
Alafu eti unajiita Msomi huko CCM? Wasomi huko CCM ndivyo mlivyo?UWT huko ndiko waliko 'Mabasha' zako wengi au?
Vita ipi ya madini? Wapi? Mikataba mipya ya madini unaijua? Umewahi kuiona? Usariti upi? Kwani Lisu ndiyo aliwaleta wawekezaji kuja kusaini mikataba mibovu mwaka 1998? Wabunge wa CCM ndiyo walipitisha mikataba Bungeni, Uzalendo upi? CCM kuna mzalendo? Huo Uzalendo ni kuwabambikia kesi wapinzani? Uzalendo ni kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi kwa njia haramu za kishetani?Lisu ni msaliti, kumb. alikuwa upande wa wazungu wakati wa vita ya madini ref. Acacia/Barrick mining co.. Kwamba tutashitakiwa, na tutalipa fidia nyingi kwa hao wazungu. Angekuwa mzalendo angekuwa anaunga mkono mazuri ya serikali, kwake yeye kila kitu kinachofanywa na serikali ni batili. Huku akiwaabudu wazungu, kumbe analipwa ili aichafue serikali. Ni msaliti kama YUDA ISKARIOTE alivyomsaliti YESU.
Mbona leo kama umeamua kujimwambafy sana? au polepole kakuambia ujimwambafy ili mtukufu aone akupe uteuzi?Wewe Pimbi hebu nitokee hapa na acha kunipotezea muda wangu Kujibizana nawe kila mara sawa? Level yako Kushindana nami Kihoja ni Utopolo.
That's how you see him...Voting for an empty headed and arrogant sadist!!! Please be serious
I reiterate, that is futility and the man has waged a war against the groin that will take his personality siphoned out for the masters depression relief.
Lisu ni msaliti, kumb. alikuwa upande wa wazungu wakati wa vita ya madini ref. Acacia/Barrick mining co.. Kwamba tutashitakiwa, na tutalipa fidia nyingi kwa hao wazungu. Angekuwa mzalendo angekuwa anaunga mkono mazuri ya serikali, kwake yeye kila kitu kinachofanywa na serikali ni batili. Huku akiwaabudu wazungu, kumbe analipwa ili aichafue serikali. Ni msaliti kama YUDA ISKARIOTE alivyomsaliti YESU.
Nashukuru hatimaye kwa 'Kukiri' mwenyewe kuwa kuna mambo nayajua kweli kweli na Mimi naongezea 'Sifa' sitoacha kwani 'najiamini' najua sana.Ukishaposti humu huwezi nizuia kucomment mkuu. Kiufupi punguza tu ujuaji na sifa nyingi, ingawa kuna mambo unayajua kweli kweli.
Achana na lugha za kichokoraa sasa, na punguza ujuaji.Nashukuru hatimaye kwa 'Kukiri' mwenyewe kuwa kuna mambo nayajua kweli kweli na Mimi naongezea 'Sifa' sitoacha kwani 'najiamini' najua sana.