Video: Tundu A. Lissu apewa tuzo ya Bush - Thatcher Award (BTA) ya kupigania Uhuru, Haki na Utawala bora toka IDU

Wewe 'Bumunda' hebu achana na Mimi tafadhali sawa? Si nimeshakuambia kuwa nina Mke sasa kwanini bado 'unalazimisha' tu Mimi niwe Mumeo?
Hhhhh kweli Mungu wako amekubariki sio kwa akili hizo halafu hapo eti una mke na watoto wanakutegemea like seriously!?
 
Duuu mabeberu mbele ya interest zao wanaongea hadi kinyaturu
 
The leader the inspirer
He is 100% sure a winner of Next year Nobel prize
 
Wazungu wanajua kucheza na akili za wajinga!

Yaani watu wawili ukichunguza vizuri wamekaa ndani ya chumba eti wanakabidhiana tuzo!

Haya maigizo baadaye yataisha na kurudi kwenye uhalisia!

Wahenga walisema, ''wajinga ndio waliwao''.
Uwezo wa Lissu uko chini sana!! Tabia kama hizi ndo zinaingiza matatifa kwenye ndoa za jinsia moja. Yaani Lissu haoneshi ufahamu wa mambo ya dunia na maana ya hizo zawadi. kama kweli ni bora kiasi hiki, hebu apewe nafasi ya ushauri katika Bunge la ulaya.
 
Apa ndo pale unapo sikia kuwa kikulacho kiko nguoni mwako ndo hiki cha lissu msomi mwenye matumizi mabaya ya akili na elimuu.
 
Hizo 'Tuzo' zake zina Faida gani / ipi kwa Maendeleo ya Watanzania ambao amewakimbia huku wengine 'akiwaponza' na sasa wanakiona cha Moto?
Dogo vipi? bado maisha. Nj magumu Kama ulivyonilalamikia last time? Naona Unajikomba kwa maCCM
 
Raisi wa Tanganyika aishiye uhamishoni

Maccm mtafiteni mkalimani amtafsrie Magufuli
 
Pole kwa maumivu
 
Jinsia moja na udictator kipi kubaya zaidi?
 
...Let Tanzanians embrace their own type of democracy and a rule of law, and accountability pertinent to their norms, culture, tradition and expectations.
Regrettably, stupidity knows no limit🙄
 
Dogo vipi? bado maisha. Nj magumu Kama ulivyonilalamikia last time? Naona Unajikomba kwa maCCM
Ni kweli Maisha yangu ni Magumu wala hujakosea ila nina uhakika kuwa 'yatalainika' pale tu 'nikikukaza' mara mbili tatu hivyo onyesha Ushirikiano.
 
Jinsia moja na udictator kipi kubaya zaidi?
Udikteta kwa definition ya Lissu?
Tatizo ni wafuasi kutojitambua. Akirudi nchini anashangiliwa ni shujaa, akikimbilia ubalozi kwamba anatafuta anashangiliwa kwamba anaonewa, akirudi ubelgiji anaonekana anajua mbinu za kuongea na wazungu. Atakapopata uraia atasifiwa ameukata.
Ni mtu mwenye akili mbovu tu! Ubelgiji imejaa wakongo tangu enzi za Mobutu hadi leo hii na hatuoni wakongo walichosaidiwa na hadi leo mali za kongo zinatiririka ubelgiji kwa wizi.
 
Baada ya kumtumia mabeberu yameamua kumpoza mwenzao. To hell Lissu msaliti

Bayyo, Lissu alisaliti nini na alimsaliti Nani? Wengine hatujui kama amesaliti kitu, mtu, au kikundi fulani. Tujuze
 
Baada ya kufeli misheni mabeberu yanaamua kumfariji

Hawa watu mliowabatiza jina MABEBERU, hamdhani kuwa ni kujidanganya?

Beberu ni mbuzi dume

Nakumbuka jina la beberu lilitumika kipindi cha kupigania uhuru, wakati tunatundishwa mashuleni siasa za chuki katika Somo la Elimu ya Siasa. Hilo neno halina tafsiri kwa lugha ya Kiingereza au lugha nyingine. Neno Beberu limeibuka tena, katika siasa za Tanzania; kwa kuwa sasa hivi ni siasa za Chuki kama za kipindi cha kupigania Uhuru.

Sasa ndugu zangu wanajamvi, bado tunahitaji siasa za kibaguzi na za chuki ndani ya Tanzania baada ya miaka takribani 60 ya Uhuru?

Mnawaita mabeberu watu mnaowategemea kwa zaidi ya 50% ya yote mnayofanya? Hii ni sawa na mtu anakuja kujikinga mvua kwako kisha anaanza kukusimanga kuwa nyumba yako chafu n.k.

Nadhani siasa za chuki tuachane nazo, tujikite katika kujadili mambo yanayoweza kutufanya kutatua changamoto zetu za elimu, afya, maji na mazingira. Hao tunaowaita mabeberu wamekuwa instrumental katika maendeleo yetu, tuendelee kuwatumia bila kuwabeza ili mradi tupate tunachokitaka.
 
Hizo 'Tuzo' zake zina Faida gani / ipi kwa Maendeleo ya Watanzania ambao amewakimbia huku wengine 'akiwaponza' na sasa wanakiona cha Moto?

Tuneup Lissu amemponza nani? Tujulishe tuelewe. Ninachokifahamu Tundu Lissu amegombea urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, chama cha siasa kilichosajiliwa kikatiba, na kisheria hapa Tanzania. Tafsiri yenu ya kwamba kuwa kwenye chama tofauti na CCM ni kuwa adui, ndiyo maana watanzania wengi wanapata mateso kwa kum support Lissu.

Yote yana mwisho. Time will tell
 
Wazungu wanahaha na Jemedari mkuu hawalali wanamwota kila kukicha yupo Ikulu pale Idodomia. They will remember JPM for a very long time, when he is done, Tanzania will be in another level they never imagined.

What other level are you dreaming of guy? We could have been so if you could have done things on your own.

Nothing of substantial you can do without the intervention of them west, east people.

Nchi ambayo inashindwa kuwaamini WASOMI wake yenyewe ni nchi ya aibu kubwa!!!!

Mkitaka kutengeneza barabara, mnawaendea wachina na wazungu.

Mkitaka kujenga vitu vya maana mnakimbilia Ulaya na China.

Mkitaka kufunga systems za mitandao mnakimbilia huko huko wakati kila mwaka mnatoa mainjinia vyuoni, yet, hamwezi kuwatumia wasomi wenu tofauti na wachina wanatumia watu wao!!

Next level mtaisikia kwenye magazeti ya kila siku
 

Nadhani unaota mchana kweupe! “Mnawatumikisha????!!!” Hao ndiyo level nyingine ndugu yangu usijilishe upepo. Kama unaamini hayo unayobwabwaja angalia mishahara yao, some millions mpaka net 40,000,0000/-ambayo hamlipi kwa shilingi, kisha hawalipi hiyo payee yenu, na ninyi mnatumikia nchi yenu mnalipwa eti nyingi laki 750, take home! Aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…