Hhhhh kweli Mungu wako amekubariki sio kwa akili hizo halafu hapo eti una mke na watoto wanakutegemea like seriously!?Wewe 'Bumunda' hebu achana na Mimi tafadhali sawa? Si nimeshakuambia kuwa nina Mke sasa kwanini bado 'unalazimisha' tu Mimi niwe Mumeo?
The leader the inspirerVideo hiyo hapo juu ni David McAllister - Deputy Chairperson of International Democratic Union (IDU) & Member of European Parliament akitoa maelezo mafupi kabla ya kumkabidhi tuzo hiyo Mh. Tundu Lissu.
Na katika video hii hapa chini Tundu Lissu akitoa neno la shukrani baada ya kupokea tuzo hiyo.
Hongera sana Mh. Tundu A. Lissu. Binafsi nakutakia kila la kheri.
Uwezo wa Lissu uko chini sana!! Tabia kama hizi ndo zinaingiza matatifa kwenye ndoa za jinsia moja. Yaani Lissu haoneshi ufahamu wa mambo ya dunia na maana ya hizo zawadi. kama kweli ni bora kiasi hiki, hebu apewe nafasi ya ushauri katika Bunge la ulaya.Wazungu wanajua kucheza na akili za wajinga!
Yaani watu wawili ukichunguza vizuri wamekaa ndani ya chumba eti wanakabidhiana tuzo!
Haya maigizo baadaye yataisha na kurudi kwenye uhalisia!
Wahenga walisema, ''wajinga ndio waliwao''.
Apa ndo pale unapo sikia kuwa kikulacho kiko nguoni mwako ndo hiki cha lissu msomi mwenye matumizi mabaya ya akili na elimuu.Hahahah kwa hiyo kushirikiana washirikiane na serikali kupeana pesa na ruzuku kwa manufaa ya wananchi, lakini inapokuja suala la tuzo anapewa Lissu,, hivi wewe inaingia akilini wewe..Lissu alichofanya Ni Nini...kwanini hiyo misaada hawakumpa basi Lissu ili ailete yeye kwa wananchi...ulishawahi hata siku moja kumsikia lissu anajadiliana na mabeberu kwa issue zinazowafaidisha wananchi hata siku moja...Kama kuwaombea fedha hata za Corona..huoni ajabu..Lissu sanasana anataka mabeberu yawawekee vikwazo wananchi na nchi yote Ili wataabike..tena wakiwamo ndugu zake was damu nao waje wataabike..yeye na familia yake tu waishi Kama peponi..hii in maana hata wanachama wa chadema wataabike...hivi unamwona ana akili huyu jamaa...
Dogo vipi? bado maisha. Nj magumu Kama ulivyonilalamikia last time? Naona Unajikomba kwa maCCMHizo 'Tuzo' zake zina Faida gani / ipi kwa Maendeleo ya Watanzania ambao amewakimbia huku wengine 'akiwaponza' na sasa wanakiona cha Moto?
Raisi wa Tanganyika aishiye uhamishoniVideo hiyo hapo juu ni David McAllister - Deputy Chairperson of International Democratic Union (IDU) & Member of European Parliament akitoa maelezo mafupi kabla ya kumkabidhi tuzo hiyo Mh. Tundu Lissu.
Na katika video hii hapa chini Tundu Lissu akitoa neno la shukrani baada ya kupokea tuzo hiyo.
Hongera sana Mh. Tundu A. Lissu. Binafsi nakutakia kila la kheri.
Pole kwa maumivuHahahah kwa hiyo kushirikiana washirikiane na serikali kupeana pesa na ruzuku kwa manufaa ya wananchi, lakini inapokuja suala la tuzo anapewa Lissu,, hivi wewe inaingia akilini wewe..Lissu alichofanya Ni Nini...kwanini hiyo misaada hawakumpa basi Lissu ili ailete yeye kwa wananchi...ulishawahi hata siku moja kumsikia lissu anajadiliana na mabeberu kwa issue zinazowafaidisha wananchi hata siku moja...Kama kuwaombea fedha hata za Corona..huoni ajabu..Lissu sanasana anataka mabeberu yawawekee vikwazo wananchi na nchi yote Ili wataabike..tena wakiwamo ndugu zake was damu nao waje wataabike..yeye na familia yake tu waishi Kama peponi..hii in maana hata wanachama wa chadema wataabike...hivi unamwona ana akili huyu jamaa...
Jinsia moja na udictator kipi kubaya zaidi?Uwezo wa Lissu uko chini sana!! Tabia kama hizi ndo zinaingiza matatifa kwenye ndoa za jinsia moja. Yaani Lissu haoneshi ufahamu wa mambo ya dunia na maana ya hizo zawadi. kama kweli ni bora kiasi hiki, hebu apewe nafasi ya ushauri katika Bunge la ulaya.
Elimu za shule za kata Ni shida sana" Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE.
Regrettably, stupidity knows no limit🙄...Let Tanzanians embrace their own type of democracy and a rule of law, and accountability pertinent to their norms, culture, tradition and expectations.
Ni kweli Maisha yangu ni Magumu wala hujakosea ila nina uhakika kuwa 'yatalainika' pale tu 'nikikukaza' mara mbili tatu hivyo onyesha Ushirikiano.Dogo vipi? bado maisha. Nj magumu Kama ulivyonilalamikia last time? Naona Unajikomba kwa maCCM
Kama Oysterbay Primary, Kusoma Shule za Uganda O and A level kisha kwenda Chuo UCT South Africa na SAUT Mwanza ni Elimu za 'Kata' tu sawa.Elimu za shule za kata Ni shida sana
Hakuna kitakachokusaidia ww subiri jioni ukakinge mkono kwa ajili ya kupata buku 7 yako.Itatusaidia nini sisi? Walo mpa ndio walomtuma.
Udikteta kwa definition ya Lissu?Jinsia moja na udictator kipi kubaya zaidi?
Baada ya kumtumia mabeberu yameamua kumpoza mwenzao. To hell Lissu msaliti
Baada ya kufeli misheni mabeberu yanaamua kumfariji
Hizo 'Tuzo' zake zina Faida gani / ipi kwa Maendeleo ya Watanzania ambao amewakimbia huku wengine 'akiwaponza' na sasa wanakiona cha Moto?
Wazungu wanahaha na Jemedari mkuu hawalali wanamwota kila kukicha yupo Ikulu pale Idodomia. They will remember JPM for a very long time, when he is done, Tanzania will be in another level they never imagined.
Povu linakutoka dada[emoji23][emoji23][emoji23] #Niyeye karudi kwa mabwana zake yeye alisema akishinda atawapa wazungu rasilimali zote, sisi tulisema tukishinda tutaendelea kuwatumikisha wazungu kwenye miradi yetu na tunawaendesha kweli kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787]