Tunzo muhimu sana , hongera zake.
P
Leo utakuwa umekula mboga mboga za yale majani sio bure wee,sijuhi unazungumzia madini yapi!Kwani madini hayaendi ? Pimbi mzigo unaenda Kama kawaida we endelea kusifu na kuabudu .
Mtafsirie basi msukuma mwenzio lugha haipandi .Tunzo muhimu sana , hongera zake.
P
Hizo 'Tuzo' zake zina Faida gani / ipi kwa Maendeleo ya Watanzania ambao amewakimbia huku wengine 'akiwaponza' na sasa wanakiona cha Moto?Uraisi ni wenu wana CCM tuzo ni zake
Sijawahi Kuulizwa au Kukutana na Swali la 'Kipumbavu / Kipopoma' tokea nijiunge hapa JamiiForums kama hili lako. Limenifanya 'nikudharau' sana.Uraisi unafaida gani kwa maendeleo ya watanzania?
Haahhh raisi wa neccmMwambieni atazoa 'Tuzo' sana tu za hao 'Mabeberu' wake wanaomtuma ila Tanzania 'Rais' ni Dk. Magufuli na Chama Tawala ni cha 'CCM' tu pekee.
AnastahiliTunzo muhimu sana , hongera zake.
P
We jamaa mbona unajiona mjuaji Sanaa. Since tunakuona kilaza tu na ushamba mwingiii.CCM hatuna 'Wendawazimu' na 'Mashoga' kama Wewe tafadhali. Ukiona hadi GENTAMYCINE naipenda CCM jua hata Mwenyezi Mungu anakipenda.
Haaaaa Haaaaa πKuna muda yakupasa utumie akili zako binafsi
Ngonjera, Mipasho na taarabu nenda jukwaa la Mapenzi
Jadili kuhusu hiyo tuzo
Kama hufahamu ni kitu gani na kwanini inatolewa na ilianza lini kaa kimya
Wewe ni jitu zima, Fikiri kwa kutumia akili na ubongo sio kwa kutumia mashavu
Haaaaa Haaaaa π π Jamanii utaniua kwa vichekesho vyakoNi kweli wanacheza na akili hata za kwako
Leo mnasubiria chanjo ya corona toka kwa mzungu
Mzungu anawatengenezea mpaka simu
Unatumia magari ya mzungu
Wewe unachojua maishani mwako ni kulala na kuamka basi
Mchana unapiga pambio za kusifu, Hufikirii uvumbuzi na ugunduzi
Ahaaa unawaza mabeberu wamsaidie dawa za presha Baba yako huko kijijini kwa kushusha bei ili NHIF waingize kwenye dawa za msingi
Kuna muda mwanangu akichoka kuangalia katuni huwa nampa simu asome vichekesho vya kwako unavyoandika hapa JF
AmenMungu mbariki Tundu Lissu
Hahaha ni TUZO au TUNZO?!Tunzo muhimu sana , hongera zake.
P
Hahaha mbona juzi nilisikia wafaransa wamempongeza Magufuli na mliweka picha ya balozi na kabudi akipokea kwa niaba yake na hatukupinga?!Mwambieni atazoa 'Tuzo' sana tu za hao 'Mabeberu' wake wanaomtuma ila Tanzania 'Rais' ni Dk. Magufuli na Chama Tawala ni cha 'CCM' tu pekee.