babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Bush thatcher idiot award ndio kapewa, kwa ajili mabeberu wamempa yeye anaona poa tu. Mwaka mmoja tutatafutana na hizo award zake.Wazungu wanajua kucheza na akili za wajinga!
Wahenga walisema, ''wajinga ndio waliwao''.
HAHAHA vipi huyo jamaa kwenye avatar yako ndiye beberu wako?!Mwambieni atazoa 'Tuzo' sana tu za hao 'Mabeberu' wake wanaomtuma ila Tanzania 'Rais' ni Dk. Magufuli na Chama Tawala ni cha 'CCM' tu pekee.
Lazima utakuwa una uwendawazimu!Baada ya kumtumia mabeberu yameamua kumpoza mwenzao.. To hell Lisu msaliti
Mwambieni atazoa 'Tuzo' sana tu za hao 'Mabeberu' wake wanaomtuma ila Tanzania 'Rais' ni Dk. Magufuli na Chama Tawala ni cha 'CCM' tu pekee.
Hakika !Mandela wa kizazi cha leo!
Hahaha ni TUZO au TUNZO?!
Hapo naomba tusaidiane ni ipi sahihi kwa faida ya lugha yetu na matumizi sahihi kwa baadaye.
Hahaha kwa hiyo ulikosea tu?!PVideo: Tundu A. Lissu apewa tuzo ya Bush - Thatcher Award (BTA) ya kupigania Uhuru, Haki na Utawala bora toka IDU
Video hiyo hapo juu ni David McAllister - Deputy Chairperson of International Democratic Union (IDU) & Member of European Parliament akitoa maelezo mafupi kabla ya kumkabidhi tuzo hiyo Mh. Tundu Lissu. Na katika video hii hapa chini Tundu Lissu akitoa neno la shukrani baada ya kupokea tuzo...www.jamiiforums.com
Sema roho zinawauma. Hii tuzo angepewa Magufuli, habari hiyo ingetangazwa hapa nchini mwezi mzima.Huyu jamaa atatuchongea sana kwa mabeberu
Sasa umefaidika nini na CCM kutawala na Magufuli kuwepo?Mwambieni atazoa 'Tuzo' sana tu za hao 'Mabeberu' wake wanaomtuma ila Tanzania 'Rais' ni Dk. Magufuli na Chama Tawala ni cha 'CCM' tu pekee.
hayo mabeberu yanamdandiaga mazeri wako eehBaada ya kufeli misheni mabeberu yanaamua kumfariji
Dikteta ataaibika tu ni suala la muda tu.View attachment 1646533
Video hiyo hapo juu ni David McAllister - Deputy Chairperson of International Democratic Union (IDU) & Member of European Parliament akitoa maelezo mafupi kabla ya kumkabidhi tuzo hiyo Mh. Tundu Lissu...
Na katika video hii hapa chini Tundu Lissu akitoa neno la shukrani baada ya kupokea tuzo hiyo...
Hongera sana Mh. Tundu A. Lissu. Binafsi nakutakia kila la kheri...
View attachment 1646534
Amekuwa mtu wa ngapi Kati ya waliowahi kuipata tuzo hiyo?View attachment 1646533
Video hiyo hapo juu ni David McAllister - Deputy Chairperson of International Democratic Union (IDU) & Member of European Parliament akitoa maelezo mafupi kabla ya kumkabidhi tuzo hiyo Mh. Tundu Lissu...
Na katika video hii hapa chini Tundu Lissu akitoa neno la shukrani baada ya kupokea tuzo hiyo...
Hongera sana Mh. Tundu A. Lissu. Binafsi nakutakia kila la kheri...
View attachment 1646534
Nikisomaga comments za hivi ndio naamini Nchi hii ina wajinga wengi maelezo hakunaHao wote ni mabeberu nani asiyejua,wanatafuta pakutokea baada ya kufeli kutuibia madini yetu.[emoji23][emoji23][emoji23]
Yeye ngangari kama Kiba, hataki tuzo za mabeberuDikiteta magufuli naye apewe tuzo ya ukandamizaji wa demkrasia na uharamia wa kuua wakosoaji,
Usiwalazimishe wananchi wapenda nchi yao wampende mvuruga nchi. Kama wewe unampenda huyo kibalaka wenu endelea kumpenda.Kuna muda yakupasa utumie akili zako binafsi
Ngonjera, Mipasho na taarabu nenda jukwaa la Mapenzi
Jadili kuhusu hiyo tuzo
Kama hufahamu ni kitu gani na kwanini inatolewa na ilianza lini kaa kimya
Wewe ni jitu zima, Fikiri kwa kutumia akili na ubongo sio kwa kutumia mashavu
View attachment 1646533
Video hiyo hapo juu ni David McAllister - Deputy Chairperson of International Democratic Union (IDU) & Member of European Parliament akitoa maelezo mafupi kabla ya kumkabidhi tuzo hiyo Mh. Tundu Lissu...
Na katika video hii hapa chini Tundu Lissu akitoa neno la shukrani baada ya kupokea tuzo hiyo...
Hongera sana Mh. Tundu A. Lissu. Binafsi nakutakia kila la kheri...
View attachment 1646534