Video: Tundu A. Lissu apewa tuzo ya Bush - Thatcher Award (BTA) ya kupigania Uhuru, Haki na Utawala bora toka IDU

kumbe Lisu ni mkimbizi!! huyo mzungu kasema wazi kuwa Lisu mkimbizi
 
Hongera Belgium kwa kupata tuzo...huyo ni mbelgiji sasa inatusaidia nini sisi tuzo yake?
 
kumbe Lisu ni mkimbizi!! huyo mzungu kasema wazi kuwa Lisu mkimbizi
Huo ndio ukweli, si unakumbuka jinsi alivyoondoka mpaka pale airport alikua under escort. Picha ilishatengenezwa iwe hivyo. Huko ndio masela huita kujilipua...
 
Una kichaa cha mbwa mwehu! Kura hampigi halafu mnataka ushindi!
Wazungu ni wajanja sana katika kuwatumia watu wapuuzi kama Lissu na Lema.
Siyo tuzo tu,watampa vingi baadaye wakikamilisha au kushindwa mipango yao basi watamtosa kama condom.
 
Bahati mbaya sana viongozi wa CCM, wanachama wao na wananchi wengi hawaelewi lughà iliyotumika kwenye Videos kwa hiyo hawataelewa kilichosemwa. Bora elimu!
 
Wazungu wanajua kucheza na akili za wajinga!

Wahenga walisema, ''wajinga ndio waliwao''.
Mungu alivyo Mkuu acha tu! Juzi umekuja na kiuzi chako uchwara eti wazungu wamemtupa Lissu, leo Mungu kakujibu kuwa huna lolote na hujui unalowaza.

Polee sana!! Mlidhani mnaweza kuwadanganya wazungu kwa maigizo yenu na kuwarubuni wapinzani uchwara kwa pesa!! Safari hii wamegoma kudanganywa na CCM. Jiandaeni tu
 
Umempa za uso hadi nafikiri atakuwa kachanganyikiwa huko😂😂😂😂
 
Hawa IDU si ndo marafiki kindakindaki wa chandimu? Hatudanganyiki!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…