Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😂😂Ze comedy is Mr we do not have blazas, we do not have fazas.
Hakuna kura za huruma,kisa ulishambuliwa na wakora.Mimi huwa Namhurumia kwa kweli, ila sio upande wa kura
Kwenye kura lazima tumchape ajutie kusaliti Nchi
Huyo bwana anatia huruma
Ila sio huruma za kura[emoji3] kichapo kipo pale pale
Lissu ameamua kuutumia vizuri muda wa likizo ya lazima ya Tume kutafuta mahitaji yake ya muhimu.
Mr plesident I am tlaing to liich yuu but I kant kwikwikwikwiZe comedy is Mr we do not have blazas, we do not have fazas.
Lazima mataga wapoteane mwaka huu!! Wanatamani kuomba poooo😂😂😂Lissu ameamua kuutumia vizuri muda wa likizo ya lazima ya Tume kutafuta mahitaji yake ya muhimu.
Kaugeuza ugombea uraisi kuwa kitukohuyu jamaa ana akili za ajabu sawa na aliyemuweka kwenye avatar yake!
hivi Mgonjwa aliepewa dawa za operation zinamtoka baada mudagani?Lissu ameamua kuutumia vizuri muda wa likizo ya lazima ya Tume kutafuta mahitaji yake ya muhimu.
Wahi sana Taasisi ya moyo Jakaya Kikwete!!! Usipoangalia hiyo pressure aliyokusababishia Lissu itakuuaHuyo bwana anatia huruma
Ila sio huruma za kura[emoji3] kichapo kipo pale pale
WEwe unadhani kaongeza nini hapo?Aisee jamaa hazuiliki.akili ndogo inataka kutawala akili kubwa.
Lissu atapigwa kifungo cha nyongeza chenye Mashariti makali sana!Aliemfungia asifanye kampeni alimsaliti jiwe kwa kiwango kikubwa sana.
Ona sasa kila baada ya lisaa limoja Tundu Lissu anafanya mkutano mkubwa wa zaidi ya wapiga kura 80k
Ahahaha,kumbe ananyweka....ahahhahhWewe subiri uwekwe ndani ya glasi unywewe tu.....
huna maana
Kumdhuru Lissu ni kama kuchomoa kipini kwenye grenade,litamlìpukia mchomoaji na walio karibu yake...Mkuu BAK kama uko karibu naye, au wafuasi wake, mwambie/waambie nafasi anayegombea siyo ya Serikali za Mitaa. Anachofanya kwa sasa kuzunguka mitaani, pamoja na kuhatarisha maisha yake (kumbuka amekuwa akidai usalama wa maisha yake kwa jeshi la polisi na usalama wa taifa), ni kichekesho. Vijana wa mjini wanamwona kama kinyago vile.
HAKIKA LISSU ni mwanasiasa uchwara
Alafu aliwatukana hawajui kiingereza.Hahahaaaa na bado, sisi tuanamchora tu,
Tunamsubiri 28 tumuonyeshe, hapo kabla hakua anaishi hapa tanzania ila kwa sasa ndo kawaona watu wa mitumba?
Mwambie apite na kwa mama ntilie ale chakula Chao, kisha apande na bodaboda
Hivi vitu hata Lissu akikabidhiwa Mamlaka mbona atavifanya tu,hata wewe unaweza,ni kiasi cha kukusanya kodi na kuandaa bajeti bungeni,so easy...hakuna cha ajabu hapoWEwe unadhani kaongeza nini hapo?
Anahangaika tu na kupoteza mda,
sema anaangalia vitu vilivyoundwa na JPM kiaina, wacha asafishe macho.
Atakubali tu maendeleo ya vitu yanavyowapa watu maendeleo yao.
...I am preaching, I can't reach you!Mimi huwa Namhurumia kwa kweli, ila sio upande wa kura
Kwenye kura lazima tumchape ajutie kusaliti Nchi
@Missile of the NationLissu ameamua kuutumia vizuri muda wa likizo ya lazima ya Tume kutafuta mahitaji yake ya muhimu.