Video: Tundu Lissu aingia soko la mitumba Manzese kutafuta Cadet na Jeans za mitumba

Video: Tundu Lissu aingia soko la mitumba Manzese kutafuta Cadet na Jeans za mitumba

Hii ni kama style ya Steve Biko ya kucheza mpira huku akihamasisha kupigania haki.
 
Mkuu BAK kama uko karibu naye, au wafuasi wake, mwambie/waambie nafasi anayegombea siyo ya Serikali za Mitaa. Anachofanya kwa sasa kuzunguka mitaani, pamoja na kuhatarisha maisha yake (kumbuka amekuwa akidai usalama wa maisha yake kwa jeshi la polisi na usalama wa taifa), ni kichekesho. Vijana wa mjini wanamwona kama kinyago vile.

HAKIKA LISSU ni mwanasiasa uchwara
Site wasiopenda haki ni watu uchwara.
 
alafu kigoma watu wakawa hawana habari nae aise
 
Huyo bwana anatia huruma

Ila sio huruma za kura
emoji3.png
kichapo kipo pale pale
Wanaume hawatishiwi nyau!

😅
👊 ✌️✌️✌️💥
 
Hakuna kura za huruma,kisa ulishambuliwa na wakora.

Unamaanisha wakora wale:

1. waliowaondoa polisi walinzi kwenye yale makazi ya viongozi?

2. waliokwenda kuondoa CCTV cameras na recordings zilizochukua tukio lile, baada ya tukio.

3. wale waliokwenda kumnyima stahiki zake za kujikimu na za matibabu ili afe hata kwa kukosa matibabu?

4. wale waliokwenda kumfuta ubunge ati kuwa walikuwa hawajui alikuwa wapi?

5. wale ambao badala ya kukamatwa kwa tukio lile la kijambazi, leo wanapatikana kwenye yale magari yenye nambari tata za usajili t2020pjm na wako vizuri?

6. wale ambao watu fulani leo wanawalaumu kwa kutomaliza ile kazi kikamilifu kwani kiutaratibu risasi 3 huwa zinatosha sana?

7. nk, nk.

Kweli mabwana hao ni wakora kweli kweli. Baada ya Oct 28 kila mmoja ataubeba msalaba wake mwenyewe.
 
Lisu ndio kawa kituko kabisa!

Huyu jamaa akikosa urais anaweza kuchanganyikiwa!
 
Hivi vitu hata Lissu akikabidhiwa Mamlaka mbona atavifanya tu,hata wewe unaweza,ni kiasi cha kukusanya kodi na kuandaa bajeti bungeni,so easy...hakuna cha ajabu hapo
Nchi sio porojo za sheria, unafikili hayo anyosema anaweza kuyasimamia?
Mtu amtukane yeye acheke eti uhuru na haki?
Kama aliweza kuwatukana wale wazee wa kamahi ya madini bila sababu sasa huu ni wa kuaminika?
 
Kwa kweli Lissu anatufaa sana watanzania ni mtu jasiri na mpenda haki sana.
 
Unamaanisha wakora wale:

1. waliowaondoa polisi walinzi kwenye yale makazi ya viongozi?

2. waliokwenda kuondoa CCTV cameras na recordings zilizochukua tukio lile, baada ya tukio.

3. wale waliokwenda kumnyima stahiki zake za kujikimu na za matibabu ili afe hata kwa kukosa matibabu?

4. wale waliokwenda kumfuta ubunge ati kuwa walikuwa hawajui alikuwa wapi?

5. wale ambao badala ya kukamatwa kwa tukio lile la kijambazi, leo wanapatikana kwenye yale magari yenye nambari tata za usajili t2020pjm na wako vizuri?

6. wale ambao watu fulani leo wanawalaumu kwa kutomaliza ile kazi kikamilifu kwani kiutaratibu risasi 3 huwa zinatosha sana?

7. nk, nk.

Kweli mabwana hao ni wakora kweli kweli. Baada ya Oct 28 kila mmoja ataubeba msalaba wake mwenyewe.
Wewe uliona kwa macho yako wakati wakora wanamshambulia?
 
Unamaanisha wakora wale:

1. waliowaondoa polisi walinzi kwenye yale makazi ya viongozi?

2. waliokwenda kuondoa CCTV cameras na recordings zilizochukua tukio lile, baada ya tukio.

3. wale waliokwenda kumnyima stahiki zake za kujikimu na za matibabu ili afe hata kwa kukosa matibabu?

4. wale waliokwenda kumfuta ubunge ati kuwa walikuwa hawajui alikuwa wapi?

5. wale ambao badala ya kukamatwa kwa tukio lile la kijambazi, leo wanapatikana kwenye yale magari yenye nambari tata za usajili t2020pjm na wako vizuri?

6. wale ambao watu fulani leo wanawalaumu kwa kutomaliza ile kazi kikamilifu kwani kiutaratibu risasi 3 huwa zinatosha sana?

7. nk, nk.

Kweli mabwana hao ni wakora kweli kweli. Baada ya Oct 28 kila mmoja ataubeba msalaba wake mwenyewe.
Wewe uliona kwa macho yako wakati wakora wanamshambulia?
 
Back
Top Bottom