mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Toto TunduHivi ni nani aliyempa hili jina 'TUNDU'?
Sijawahi kulisikia popote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toto TunduHivi ni nani aliyempa hili jina 'TUNDU'?
Sijawahi kulisikia popote.
Kweli. Lkn watu/binadamu tunatofautiana mtazamo!Ya kupambana na tume
Ndio maana tukaitwa binaadamu, ni lazima tukubaliane na kutokukubaliana kwetu ili maisha yasongeKweli. Lkn watu/binadamu tunatofautiana mtazamo!
Kageuka kuwa ze comedy ya jiji
Wewe uliona kwa macho yako wakati wakora wanamshambulia?
Kesho aende mwananyamala kununua kiepe yai
Walifanya makosa sana kumpiga risasi. Kukaa nje kumemuongezea akili mara miaKiukweli Lissu ni very smart. Inabidi kujipanga sana namna ya kumthibiti huyu jamaa. Kila tunalofanya anaibuka kivingine.
Yaani serikali yote imejikuta ina mpigia Lissu kampeni bila kujijua.Aliemfungia asifanye kampeni alimsaliti jiwe kwa kiwango kikubwa sana.
Ona sasa kila baada ya lisaa limoja Tundu Lissu anafanya mkutano mkubwa wa zaidi ya wapiga kura 80k
HahahahaKesho aende mwananyamala kununua kiepe yai
Futuhi😁😁Mimi huwa Namhurumia kwa kweli, ila sio upande wa kura
Kwenye kura lazima tumchape ajutie kusaliti Nchi
2810Yaani serikali yote imejikuta ina mpigia Lissu kampeni bila kujijua.
Ni yale yale walimdanganya Jpm kwamba Watanzania wana mkubali hana haja ya kufanya kampeni ya kuomba kura za urais 2020. Kumbe wachumia tumbo wali muingiza chaka baba wa watu. Lissu anamkimbiza mbio za mita mia kupokezana vijiti.. Ccm hoiiiii
Wewe uliona kwa macho yako wakati wakora wanamshambulia?
Masanjaaaaa hii gari ni kama ya yule mpinzani🤣🤣🤣Lissu ameamua kuutumia vizuri muda wa likizo ya lazima ya Tume kutafuta mahitaji yake ya muhimu.
Sure! Ajabu lipo hilo moja tu.Nahisi hili jina litakuwa maarufu sana Nchini.
Wamemchoka tu sio kwamba awajui tafsiri ya anachofanya ni political campaign.
Kama wangekuwa wana shida nae wanamuongezea adhabu kirahisi sana.
Hakuna cha akili yeyote zaidi ya kuendelea na ukaidi tangia amerudi.