Video: Tundu Lissu aingia soko la mitumba Manzese kutafuta Cadet na Jeans za mitumba

Video: Tundu Lissu aingia soko la mitumba Manzese kutafuta Cadet na Jeans za mitumba

Kumdhuru Lissu ni kama kuchomoa kipini kwenye grenade,litamlìpukia mchomoaji na walio karibu yake...
Ni bomu lilokwisha muda wake kama yai viza. Ushahidi ni ziara zake mitaani ambako alitegemea biashara zingefungwa kwa ajili yake lakini maisha yanaendelea. Wamempuuza kasoro kundi la vijana waliolipwa kumsindikiza wakimkejeli kwa kumuita Rais.

Kwa uthibtisho wa hoja yangu, kesho Uwanja wa Taifa patafurika watu (vijana kwa wazee) kumsikiliza Rais wao. Bila shaka mtakuja humu na vijoa vyenu badala ya hoja kuwa watu watafuata kuwaona wasanii.

Fumbo mfumbi mjinga
 




Wamemchoka tu sio kwamba awajui tafsiri ya anachofanya ni political campaign.

Kama wangekuwa wana shida nae wanamuongezea adhabu kirahisi sana.

Hakuna cha akili yeyote zaidi ya kuendelea na ukaidi tangia amerudi.

Adhabu ipo wazi amezuiwa kufanya political campaign (general) sio kutokufanya mikutano tu (exclusive).

Mkuu inaonekana unamaumivu makali sana kwenye qynyeo
 
Ni bomu lilokwisha muda wake kama yai viza. Ushahidi ni ziara zake mitaani ambako alitegemea biashara zingefungwa kwa ajili yake lakini maisha yanaendelea. Wamempuuza kasoro kundi la vijana waliolipwa kumsindikiza wakimkejeli kwa kumuita Rais.

Kwa uthibtisho wa hoja yangu, kesho Uwanja wa Taifa patafurika watu (vijana kwa wazee) kumsikiliza Rais wao. Bila shaka mtakuja humu na vijoa vyenu badala ya hoja kuwa watu watafuata kuwaona wasanii.

Fumbo mfumbi mjinga
Maumivu kwenye qynyeo
 
Mawazo yako ya kipunguani na mfu
Mkuu BAK kama uko karibu naye, au wafuasi wake, mwambie/waambie nafasi anayegombea siyo ya Serikali za Mitaa. Anachofanya kwa sasa kuzunguka mitaani, pamoja na kuhatarisha maisha yake (kumbuka amekuwa akidai usalama wa maisha yake kwa jeshi la polisi na usalama wa taifa), ni kichekesho. Vijana wa mjini wanamwona kama kinyago vile.

HAKIKA LISSU ni mwanasiasa uchwara
 
Kesho yuko Taifa magari yanasoma watu kutoka Mbweni? Mabwepande na Mkuranga😃😃😃
Hawana tofauti na majambazi maana upo somba watu na kuwapa pesa kisha ukafurahia kuwa watu wana kupenda lazima kichwa kiwe hakipo sawa ni sawa na kujitekenya mwenyewe na kucheka
 
Huyu kibaraka wa mabeberu kwa kihadaa watu hajambo. Kipindi akiwa mbunge, hiyo manzese alikuwa anapapita kama kituo cha polisi.
 
Kesho yuko Taifa magari yanasoma watu kutoka Mbweni? Mabwepande na Mkuranga[emoji2][emoji2][emoji2]

nawewe kasombe upate hela ya kula,acha kushangilia shangilia makelele tu utakufa njaa.
 
Ni maigizo tu hakuna jipya! Hata Diamond akiamua kwenda Manzese kununua jeans itakuwa ni habari kwa mazuzu.
 
Huyu kibaraka wa mabeberu kwa kihadaa watu hajambo. Kipindi akiwa mbunge, hiyo manzese alikuwa anapapita kama kituo cha polisi.
We unaishi nae?umejuaje kama hajawahi kwenda hapo?nyie mlishasema tar 28 mnamchagua meko lakini cha ajabu bado hamtulii.mnatamani aondolewe asigombee kabisa.Meko chattle inamuhusu mwezi ujao.
 
huyo wenu anaweza kunywa hata gongo ilimradi tu aonekane ni rais wa waliokata tamaa.
Hakika mkuu,mwingine alienda hadi kusonga ugali mtaani.
Screenshot_2020-09-29-15-08-54-1.jpg
 
ajabu huyu mnamwita muigizaji,ila huyo ni mashirika wa wananchi[emoji28][emoji28].
Hata beberu jana limetoa bil 44 kwa Tasaf mkazilishe kaya maskini mkaliita ni development partner lkn haohao wakiongea na wakina Lissu wanaitwa ni Mabeberu.
Screenshot_2020-10-08-23-57-29-1.jpg
 
Hata beberu jana limetoa bil 44 kwa Tasaf mkazilishe kaya maskini mkaliita ni development partner lkn haohao wakiongea na wakina Lissu wanaitwa ni Mabeberu.View attachment 1594582

hata lowassa aliiitwa fisadi,ila alipotua chadema akawa nguvu ya wananchi.

hujamuelewa kiumbe binadamu bado.
 
Back
Top Bottom