Chibolo
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 5,181
- 6,813
Kahama
Kahama,sheluhi,shinyanga mjini jana uliona??Hamna kitu..wanachokifanya chedema wanampitisha jamaa kwenye yale majimbo machache,ambayo ndio ngome za chadema..mfano hapo mara mjini kuna Bulayo..kule kijijini kwa Lissu ni wazi lazima watu wajtokeze..wanafanya hivi ilikuleta attention kwa wajinga.