chuma cha reli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 2,764
- 2,559
Conclusion yako ni hipi Mkuu tusiende kanisani kabisa? Nadhani nimeconclude vizuri hapo chini kuhusu dini safi ni hipi....Mbona ujashangaa kwa:-
-Wakatoliki kubusu sanamu ya Yesu na kupigia magoti sanamu ya Bikira Maria
-Waislamu kubusu kipande cha kimondo na kumpiga mawe shetani
-walokole kunena kwa lugha kama vichaa
-Wakristo kwa ujumla kuamini Yesu alikufa halafu akafufuka (hakuna kiumbe kinachoweza kufa halafu kikafufuka)
Ukimaliza kushangaa haya ndio uje kushangaa na mengine
"Religion was invented by a Con man"
Hapo mwishoni ndiyo amemalizia na moon walk 🤣😂😂😂😂😂😂😂na anavyocheza sasa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]dahnawaelewa sana kwanini Poland wanawazuia waafrika wasivuke mpaka kwenda kuchafua nchi yao kwa Ujinga
ndiyo mambo kama hayo kwenye video sasa
Subiri waje kukupa muongozoHivi kwanini ukirsto ndio unachezewa sana?
Magufuli anakumbukwa kwa namna tofauti tofauti.Hii nchi tuliwahi sana kudai uhuru kwa wakoloni. Vile viboko vilisaidia sana kutuweka sawa akili.
Ilitakiwa tutawaliwe mpaka mwaka 2050 au mwaka 2080 huko.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dahDah kumbe Michael Jackson kiswahili kinapanda! maana naona Mfalme Zumaridi anamshukuru kwa kiswahili wakati Michael Jackson anaondoka...na kumbe Michael Jackson alikuwa mtumishi wa Mungu....Dah....sasa naweza kuamini yale niliyokuwa nikiambia...."kuwa uyaone ya dunia"