Video: Vijana wakamatwa kwa uchawi

Noted
 
Mkuu una uhakika humo kichwani zimo kweli?
 
Hawawezi movie vitu ambavyo havipo kwenye society.imagation ni kuufunua ulimwengu wa kiroho katika ulimwengu halisi.
Mfano uvionavyo vyote kwenye cartoon vile ni viumbe halisi vipo kwenye ulimwengu roho ni mwanadamu pekee na malaika ndio walioumbwa kwa uzuri mfano wa Mungu
 
Mkuu bongo dili sio kila linalosemwa na kila mzungu ni jambo sahihi.
Majengo ya freemason,alama za illuminat,church of Satan ujaviona ulaya.
Ni nini kama sio uchawi.
Africa wanafanya uchawi WA level ya chini sana black magic,ulaya wanafanya whitemagic na red magic zaidi
 
Majengo ya freemason,alama za illuminat,church of Satan ujaviona ulaya.
Ni nini kama sio uchawi.
Africa wanafanya uchawi WA level ya chini sana black magic,ulaya wanafanya whitemagic zaidi
Umejuaje ni uchawi kwel? Thibitisha apa .
 
Majengo ya freemason,alama za illuminat,church of Satan ujaviona ulaya.
Ni nini kama sio uchawi.
Africa wanafanya uchawi WA level ya chini sana black magic,ulaya wanafanya whitemagic na red magic zaidi
Hamna kitu hapo

Ova
 
Umejuaje ni uchawi kwel? Thibitisha apa .
Wanatoa kafara mbalimbali mfano za damu,za humiliation ritual mwanaume kuingiliwa ushoga nk,Ibada zao ni za Siri tena usiku na only members.wachawi ndio usali usiku
 
Tueleze kwa kifupi hicho kwenye video ni nini?? Ukiachana na haya maelezo yote chief
Ni umasikini na ujinga, nieleze mara ngapi chief?

Na ukiona hiki ki post tu kuwa ni "maelezo yote" nikitaka tujadili kwa undani kabisa mambo ya matatizo ya saikolojia na utamaduni Afrika, kwa kuzama mpaka kwa John Mbiti na Jean-Paul Sartre tutaweza?

Huoni kuwa na wewe unarudi kule kule nilikokulalamikia kwenye utamaduni wa kutaka majibu mafupi, rahisi, ya mkato, kwenye maswali yanayotaka mazungunzo ya kina, ya kimantiki na yenye kuangalia mambo kwa muktadha mpana?

Naogopa kuzama kwenye maongezi ya kina kwa maana naona tayari kama ushanipa tahadhari ya "comments ziwe fupifupi".

Na hata hizo "comment fupi fupi" nilizoanza nazo kwa kusema hili ni tatizo la ujinga na umasikini, hazieleweki, zinahitaji maelezo zaidi.

Kwa hivyo comment zikiwa fupi hazieleweki, kwa sababu ni fupi zinahitaji maelezo marefu.

Comment zikiwa ndefu, naambiwa nielezee bila maelezo marefu.

Tutaelewana kweli hapa?
 

Majengo ya freemason,alama za illuminat,church of Satan ujaviona ulaya.
Ni nini kama sio uchawi.
Africa wanafanya uchawi WA level ya chini sana black magic,ulaya wanafanya whitemagic na red magic zaidi

Kwel mmedanganywa sana , sioni nikitoboa kukuelimisha.
 
Hawa wanafanya uchawi WA level ya kimasikini ujinga na upumbavu huu unaitwa black magic,pana red magic,whitemagic.
Mitume na manabii wanafanya uchawi aina ya white magic,wanasayansi wanatumja white magic kufanya unthinkcable projects au ideas
 
Wanatoa kafara mbalimbali mfano za damu,za humiliation ritual mwanaume kuingiliwa ushoga nk,Ibada zao ni za Siri tena usiku na only members.wachawi ndio usali usiku
Unaamini hao watu, wanafanikiwa kuliko wewe na Mungu muweza wa yote wanaomwamini wanaishi kwenye lindi la umaskini?
 
Tueleze kwa kifupi hicho kwenye video ni nini?? Ukiachana na haya maelezo yote chief
Uchawi unavunja kanuni za kisayansi, hauelezeki

sijaona kitu hapo ambacho hakielezeki, hapo ni aidha wana matatizo ya akili ama video hiyo ni maigizo
 
Majengo ya freemason,alama za illuminat,church of Satan ujaviona ulaya.
Ni nini kama sio uchawi.
Africa wanafanya uchawi WA level ya chini sana black magic,ulaya wanafanya whitemagic na red magic zaidi
Mkuu,

Nikianzisha dini yangu na kujenga majengo ya hiyo dini, nikasema mimi ndiye Mungu muumba vyote, nikapata wafuasi, hayo majengo na kuwapo kwa wafuasi wa hiyo dini yangu vitanifanya mimi niwe kweli Mungu muumba vyote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…