Mkuu bongo dili sio kila linalosemwa na kila mzungu ni jambo sahihi.Kama wanachezea Hadi movies,wanasherekea sikukuu za wachawi,Wana vyuo vya uchawi,Wana nyumba za ibada za kichawi kwann tusiamini upo
NotedUmasikini, ujinga na pengine maradhi.
Jamii zetu zina tamaduni za kutafuta majibu rahisirahisi kwenye maswali yanayotaka uchambuzi wa kina wa kutumia mantiki.
Mtu ataumwa kwa sababu jamii ni masikini, inakunywa maji machafu, watu wanaumwa na mbu wanaoambukiza magonjwa, jamii hazina vyoo safi na salama, haina chakula bora kinacholiwa kwa mpango.
Hapo utaona sababu za kuumwa nyingi sana, na ukipima watu utakuta minyoo, virusi, bacteria na madudu mengine kibao.
Halafu mtu akiumwa, kirahisi kabisa tunakimbilia kwa waganga wa kienyeji watuague kwa ramli. Tunajazwa ujinga kuwa hapa kuna ndugu yako kakutupia uchawi.
Badala ya kufanya blood tests, X-Rays etc tujue tatizo kisayansi, tunakimbilia habari za uchawi.
Huo mfano mmoja tu, kwingine kote hivyo hivyo. Ukishindwa maisha kwa sababu huna strategy, unakimbilia kusema umelogwa. Ukishindwa kwenye ndoa kwa sababu za umasikini na ujinga, unakimbilia kusema umezimiwa nyota.
Ni ujinga fulani hivi tumejazana na umekaa kiutamaduni kiasi kwamba unaweza kukuta mtu kasoma degree mbili au tatu za chuo kikuu, tena za sayansi, anajua medicine, anajua bacteria, anajua virusi, halafu bado anaenda kwenye uchawi, kwa waganga, kwa babu wa kikombe.
Ni ujinga na umasikini wa kiutamaduni. Huu kuuondoa vigumu sana maana ujinga dawa yake elimu. Lakini kwenye utamaduni hata elimu inapata shida sana.
Mkuu una uhakika humo kichwani zimo kweli?Kwani Whitecraft ni nini kama sio uchawi.
Sikuku za Halloween ni nini,wakutishe na kitu kisichokuwepo kwenye society iweje sasa,hayo makanisa ya wachawi yakiwemo freemasoni,hivyo vyuo na vitabu vya uchawi ulaya vina maana Gani.
kama Fbi,CIA,KGB nk kwenye operation zao ngumu wanatumia uchawi mfano kuingia sehemu na kupotea,nk.
Sema ulaya zaidi ni white magic,na Africa zaidi ni black magic uchawi WA level ya chini.
Hawawezi movie vitu ambavyo havipo kwenye society.imagation ni kuufunua ulimwengu wa kiroho katika ulimwengu halisi.Kuamini unaruhusiwa kuamini chochote, cha uongo au ukweli.
Hiyo ni haki yako ya kikatiba na kiutu. Ni sehemu ya uhuru wa kuabudu na uhuru wa kujiamulia mambo.
Tatizo kuthibitisha.
Mkuu,
Unaijua story ya "Romeo and Juliet" ya Shakespeare?
Ina movies kibao, inafundishwa vyuoni, imekuwa kama dini fulani jinsi ilivyo kila sehemu.
Sasa, je, kwa kuwa story hiyo ya "Romeo and Juliet" imepata kiki hivyo, hilo linamaanisha hao "Romeo and Juliet" wapo au walikuwepo kweli?
Hapana.
Story inatuonesha tu kwamba William Shakespeare alikuwa mtunzi mahiri ambaye ameandika story inayofuatiliwa na watu mpaka leo. Story ime capture imaginations za watu.
Watu wana uwezo mkubwa sana wa kujitungia hadithi zika capture imagination.
God. The value of paper money. The corporation as an entity. The country. Uchawi.
That does not mean all these things are real.
That just means that we have a high abikity if crwating what Yuval Noah Harari calls "manufactured reality".
Uchawi haupo, ni stories watu wameungaunga tu.
Ukitaka kuamini kitu kwa sababu kipo kwenye movies sana na kinafundishwa kanisani utaamini uongo mwingi sana.
Majengo ya freemason,alama za illuminat,church of Satan ujaviona ulaya.Mkuu bongo dili sio kila linalosemwa na kila mzungu ni jambo sahihi.
Umejuaje ni uchawi kwel? Thibitisha apa .Majengo ya freemason,alama za illuminat,church of Satan ujaviona ulaya.
Ni nini kama sio uchawi.
Africa wanafanya uchawi WA level ya chini sana black magic,ulaya wanafanya whitemagic zaidi
Hamna kitu hapoMajengo ya freemason,alama za illuminat,church of Satan ujaviona ulaya.
Ni nini kama sio uchawi.
Africa wanafanya uchawi WA level ya chini sana black magic,ulaya wanafanya whitemagic na red magic zaidi
Wanatoa kafara mbalimbali mfano za damu,za humiliation ritual mwanaume kuingiliwa ushoga nk,Ibada zao ni za Siri tena usiku na only members.wachawi ndio usali usikuUmejuaje ni uchawi kwel? Thibitisha apa .
Ni umasikini na ujinga, nieleze mara ngapi chief?Tueleze kwa kifupi hicho kwenye video ni nini?? Ukiachana na haya maelezo yote chief
Kwann siriHamna kitu hapo
Ova
Majengo ya freemason,alama za illuminat,church of Satan ujaviona ulaya.
Ni nini kama sio uchawi.
Africa wanafanya uchawi WA level ya chini sana black magic,ulaya wanafanya whitemagic na red , ata smartphone tulisema ni free Mason sasa ivi unaonaje
Majengo ya freemason,alama za illuminat,church of Satan ujaviona ulaya.
Ni nini kama sio uchawi.
Africa wanafanya uchawi WA level ya chini sana black magic,ulaya wanafanya whitemagic na red magic zaidi
Wamezingua wachawi gani wavaa pensi...Kuna msemo niliwahi kuusikia unasema "Siku hizi wachawi sio wazee".
Nadhani huo msemo unaendana na hili tukio la vijana hawa kushikiliwa na jeshi la Polisi kwa Uchawi.
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2887164
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1
Huyo limbukeni wa uzungu,elimu,sayansi na teknolojiaSo what is it?
Unaamini hao watu, wanafanikiwa kuliko wewe na Mungu muweza wa yote wanaomwamini wanaishi kwenye lindi la umaskini?Wanatoa kafara mbalimbali mfano za damu,za humiliation ritual mwanaume kuingiliwa ushoga nk,Ibada zao ni za Siri tena usiku na only members.wachawi ndio usali usiku
Uchawi unavunja kanuni za kisayansi, hauelezekiTueleze kwa kifupi hicho kwenye video ni nini?? Ukiachana na haya maelezo yote chief
Kuna degree za uchawi hukohuko ulaya,na nchi iliyozidi katika uchawi ni RomaniaUlaya wapo mambwiga tu na ombaomba na homeless kibao isikuchangenye mkuu.
Mkuu,Majengo ya freemason,alama za illuminat,church of Satan ujaviona ulaya.
Ni nini kama sio uchawi.
Africa wanafanya uchawi WA level ya chini sana black magic,ulaya wanafanya whitemagic na red magic zaidi
Mkuu mwislamu swafi , ongelea nchi ya wanaojitambua Romania 🇷🇴 bado sana.Kuna degree za uchawi hukohuko ulaya,na nchi iliyozidi katika uchawi ni Romania