Uchaguzi 2020 VIDEO: Wachambuzi wa siasa Kenya washangazwa na muundo wa uchaguzi wa Tanzania, wasema walitoka huko kitambo sana

Pole kwa mawe mkuu , nitaungana na wale wote wanaopigania haki za Watanzania
Noo! Usipoteze muda. Jamii na serikali ina tabia ya kuwalazimisha kutawaliwa watu wenye uelewa mdogo kama unavyoona mbuzi mkorofi anaburuzwa kupelekwa majungoni. Tutakuburuza tu, ukiziona nyasi utakula na kushukuru.
 
Mahakama gani hiyo unayoisifia? Jamani eeh! Someni mfahamu maamuzi hayo yalifanyikaje na majaji gani na kwa nini Uhuru alitukana baada ya uamuzi huo. Kwa nini hamtaki kujisomea?
Kwa kifupi mapungufu ya kenya ni madogo kulinganisha na mapungufu makubwa ya utawala wa mtukufu magufuli ambao umejaa unyanyasaji uonevu uovu mwingi kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwabambikia wafanyabiashara kodi kubwa TRA kuwapa kesi za uhujumu uchumi kupora mali zao kwa visingizio hatamu, kutafuna trilion 1.5 kisha kumtoa CAG kafara na mabaya mengineyo kibao ikiwemo ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge. Usilinganishe kenya na Tanzania kwenye Udikiteta kwani Tanzania kuna udikiteta wa kutisha zaidi
 
Hapana kaka yangu Tanzania hakuna ukabila kabisa, ukabila upo Kenya

Pia nimesoma katiba ya kenya inamapungufu mengi kuliko ya Tanzania

Mimi sina chama ni Mzalendo
hakuna ukabila au hujui kama kuna ukabila?ukabila ni vitendo na sio labda yatakuja matangazo jamaaniiii eeeh kuna ukabila hukuuuu. Awamu ya 5 kuna ukabila mzuri tu wa chini umeenea sana kwenye vyeo
 
Mkuu walichofanikuwa chadema kwa miaka yote 5 ni kujadili kingereza cha Magufuli basi!
 
Pale Kenya sasa hivi ni kama hamna mkubwa! Kila mtu ni kambare! Wamejaa ukabila, hayo ndio waliyoendelea hakuna kingine.

Fikiria uchaguzi bado miaka 2 lakini ofisi ya rais Kenyata ina mgogoro wa kugombea madaraka ya 2022
Crimea,
hii inaashiria kitu kikubwa sana, yaani watanzania ni wajinga I mean illiterate wengi, retard, slaves na kila sifa mbaya. Majority ya watanzania wametawaliwa na inferiority complex, wenyewe ni kuswagwa kama ng’ombe.
Nationalistic, militants etc hakuna reasoning
 
wapi nimesema wazanzibari waislamu jibu swali

Hivi Kumbe kenya kuna wazanzibari waliouliwa kwa maelfu , wakabakwa na kuchukuliwa mali zao ??
Unaulizaje maswali ya kitoto bwashee!
Zanzibar ipo Kenya?
minachosema hata Kenyata kauwa waisilamu nikatoa mfano wa Shekhe Abood Rogo na wengine wengi tu waliowawa na serikali ya kenya.
 
Mapungufu madogo na makubwa ni kitu gani?? Wewe vipi? Huna matukio yanayopimika? Hebu ingia google uangalie makamishna wa tume ya Kenya na vurugu zao wakati wa uchaguzi, halafu niambie kama kweli hiyo ndo tume unayoipa unafuu!
 
Sio kweli kaka yangu huo ni uwongo

Rais Magufuli ni Mzalendo ametujengea umoja
Mimi sina chama ila Magufuli anafanya vizuri
hakuna ukabila au hujui kama kuna ukabila?ukabila ni vitendo na sio labda yatakuja matangazo jamaaniiii eeeh kuna ukabila hukuuuu. Awamu ya 5 kuna ukabila mzuri tu wa chini umeenea sana kwenye vyeo
 
Mkuu walichofanikuwa chadema kwa miaka yote 5 ni kujadili kingereza cha Magufuli basi!
Huyu mtu alipata bachelor Kwa kiingereza, masters Kwa kiingereza, PhD Kwa kiingereza. Wewe umewahi kufanya research? Masters na PhD ni research tupu, na ikifika dissertation ndiyo unachanganyikiwa kabisa. How many people you meet and how many journals you read and reference ? Halafu kiingereza hajui!
 
Mahakama gani hiyo unayoisifia? Jamani eeh! Someni mfahamu maamuzi hayo yalifanyikaje na majaji gani na kwa nini Uhuru alitukana baada ya uamuzi huo. Kwa nini hamtaki kujisomea?
Sasa utasema waliotengua ule uchaguzi ni wahuni ?!. Mpaka leo kumbukumbu zinasomeka ulitenguliwa na mahakama . Je kwetu utafanyaJe ukifanyiwa uhuni ?!. Tumeona Malawi waliokolewa na mahakama . Nia ya kuunda muundo huu ulikuwa na hila za kuzuia wananchi kujiamulia mustkbali wao.
 
Mkuu walichofanikuwa chadema kwa miaka yote 5 ni kujadili kingereza cha Magufuli basi!
Upinzani wa aina hii ni hasara tu! Hawatusaidii watanzania maana malengo yao ni tofauti kabisa. Sasa nina imani wanachokitafuta ni kuingia madarakani ili watafune pesa ya nchi kwa amani. Eti wanaitwa makamanda! Bungeni miaka 5 bila kususia bunge ili kutafuta haki ya utawala na mpangilio mzuri wa utawala serikalini, wao wanasubilia Tume inayowapa Ubunge ili waendelee kupata posho. Wakisusia ujue ni show tu! Wanasusia Corona halafu wanaumia usiku kwenye matanuzi. Lissu anafika Nairobi na kulaani nchi eti imejaa Corona na vifo halafu anaingia na kuanza mizunguko bila woga wa hiyo corona. Just show off!
 
Hawa ni wachambuzi wa kisasa nchini Kenya wakishangazwa na namna Tanzania ilipo bado kwenye ukoloni japo ni wa watu weusi.


Ni ukweli mfumo wa uchaguzi Tanzania ni wa kipuuzi sana. Umepitwa na wakati na hauingii akilini. Yapaswa kufumuliwa kabla haujaleta machafuko.
 
Pale Kenya sasa hivi ni kama hamna mkubwa! Kila mtu ni kambare! Wamejaa ukabila, hayo ndio waliyoendelea hakuna kingine.

Fikiria uchaguzi bado miaka 2 lakini ofisi ya rais Kenyata ina mgogoro wa kugombea madaraka ya 2022
Ukabila na "Undugunaizesheni" kipi kibaya zaidi? Mtoto wa dada kuwa paymaster umeiona wapi kama si kwa madikteta? Kwenye ukabila kiukweli kabisa Magufuli anaongoza afrika nzima. Angalia wakuu wa taasisi zote nyeti hapa nchini, ni kabila gani? Kisha fananisha na wakati wa Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete ndiyo utaelewa. Kilangila.
 
Mkuu wachaga ni mchwa katika hii nchi.
.
Huwa nahoji kila siku kwamba kwanini wanaolalamikia ukabila hapa nchini ni wachaga tu?

Walizoea wakimaliza chuo anabeba bahasha na kibegi anaenda kwa mjomba ana muunganisha kazi maisha yanaendelea.

Siku hizi hayo maisha hakuna kila kabila wameaoma ukienda unakuta watu wa kila kabila wamejaaa wanataka hiyo nafasi,

Kwenye biashara hivyohivyo kila mtu ni mfanyabishara siku hizi. Sasa wachaga wakikutana na hivyo vikwazo wanahisi ni ukabila.

Na kamwe huwezi kusikia mtu wa Mbeya au Iringa kula analalamika ukabila ila mchaga tu.
 
Ile inayoitwa tume imagine inateuliwa na miongoni mwa washindani! Ni kama wewe unayecheza ujichagulie referee! Mbeleko mbele kwa mbele!
 
Nikuulize wewe binafsi, bila ushabiki. Unaweza kuzungumza kiingereza kwa siku nzima? Au nikuombe uandike aya moja iliyo sahihi kwa kiingereza. Tuko kwenye viwango tofauti vya lugha lakini siyo imani kwamba ni ujinga. ni mazingira tu. Vigezo vya ujinga ni kusoma, kuandika na kuhesabu, basi!

Hii naichukulia kama kilema cha lugha, sawa na kigugumizi. Au kilema cha mkono. Kwani ndo useme ana mapungufu ya kushindwa kutawala nchi vizuri? Kama ni hivyo, aliyeshindwa form 6 umegundua mapungufu yake ni yapi? tulimsikia Katambi akisema Mbowe hana cheti, huoni huyu ndo anastahili kutiliwa mashaka kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…