Huna akili!Wakiambiwa wenye akili timamu watoke mbele nawe utatoka,mada inasema nini na wewe unajadili nini,jamaa wameongea ukweli mtupu sasa wewe mlumumba unavuruga mada
CCM ni wezi wametafuna hiyo 1.5 tr, je CHADEMA bungeni wamekuwa wakitafuta nini? Tusizubaishane. Hawajatimiza wajibu wao wa kusemea mfumo mzuri wa nchi badala yake miaka 5 yote wanahangaika na kelele za umaarufu bungeni bila kusema mambo muhimu ya mfumo wa utawala. Umefika mwaka wa uchaguzi ndo wanasema watasusia uchaguzi, hadi wapate tume huru, mbona hawakususia bunge ili serikali ilete muswada wa kubadili katiba. Kwani tume ni kelele?Watanzania wa wapi unawasemea? Pesa ipi wapinzani wataenda kuitafuna wakati tayari trilion- 1.5 imepigwa na CCM na zingine wanaendelea kukomba sufuria
Hahahaa umesahau wabongo tunasikiliza ili tujibu na si kuelewaAlichokiongea kina mantiki sijui kama umemsikiliza lakini
Kenya hawabambiki kesi kesi kwani mahakama ipo huru ni vigumu kupenyeza kesi za kubambikiwa kama Tanzania ambapo CCM humiliki mahakamaccmKenya
Kamilisha sentensi yako kwa kuongeza maneno haya kwanza ili tuelewane vizuri."Wapinzani waliopo kwaajili ya kupinga kila kitu,kupotosha,na kutoangalia masilahi mapana ya watz"Uzalendo ni kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi wapinzani?
Na wala hakihusiani na ukabila.Alichokiongea kina mantiki sijui kama umemsikiliza lakini
Bungeccm spikaccm hakuna haki kwa wabunge wa upinzani BungeniCCM ni wezi wametafuna hiyo 1.5 tr, je CHADEMA bungeni wamekuwa wakitafuta nini? Tusizubaishane. Hawajatimiza wajibu wao wa kusemea mfumo mzuri wa nchi badala yake miaka 5 yote wanahangaika na kelele za umaarufu bungeni bila kusema mambo muhimu ya mfumo wa utawala. Umefika mwaka wa uchaguzi ndo wanasema watasusia uchaguzi, hadi wapate tume huru, mbona hawakususia bunge ili serikali ilete muswada wa kubadili katiba. Kwani tume ni kelele?
Huwezi kuelewa,unaendeshwa na akili za kishabiki,kiasi kwamba unahisi Kenya Ni sehemu salama Sana.Jaribu kukumbuka hata ya 2007 basi.Kenya hawabambiki kesi kesi kwani mahakama ipo huru ni vigumu kupenyeza kesi za kubambikiwa kama Tanzania ambapo CCM humiliki mahakamaccm
Ni Chris Msando. Kamishna Chebukati yeye alitorokea Dubai alikokwenda kuchapa karatasi za kura akaenda US. Halafu kimtu kinakuja kusifu Kenya hapa TZ!Kuna yule system analyst wa mfumo wa computa wa NEC ya Kenya ambaye alikuwa ameweka password ya kiganja chake ili mtu yeyote asiingilie mfumo huo wa uchunguzi. Aliuawa, na inasemekana mkono wa password ulikata! Hatuna cha kujifunza kizuri katika masuala ya uchaguzi huko Kenya!
Umenikumbusha mkuu!Kuna yule system analyst wa mfumo wa computa wa NEC ya Kenya ambaye alikuwa ameweka password ya kiganja chake ili mtu yeyote asiingilie mfumo huo wa uchunguzi. Aliuawa, na inasemekana mkono wa password ulikata! Hatuna cha kujifunza kizuri katika masuala ya uchaguzi huko Kenya!
Shida nyingine ni pale hata anayefanikiwa kushida, anakwambia KATIBA mpya siyo kipaumbele chake, kwa sababu tu anaona hii iliyopo inampa umungu mtu (inampa madaraka makubwa). Kiukweli JK alikua ameamua kutuachia KATIBA mpya, lakini watu wa chama chake walipoona maisha ya chama yapo hatarini, walichotufanyia unakijua. Tuombe aje atokee mwenye moyo wa kutupatia katiba mpya.Katiba inampa haki Rais kuteuwa tume.
Mwamko wa katiba mpya bado ni mdogo sana kwa hao viongozi wa vyama wa mpaka wananchi.acha kwanza miaka isogesogee.
Porojo Kama hizi hazisaidii chochote,falsafa ya CHADEMA unaamini zaidi katika swala la kuongea kuliko kutenda,ndio maana wabunde wengi wa CDM husifiwa kwa kuongea jwao na sio kutenda.Bungeccm spikaccm hakuna haki kwa wabunge wa upinzani Bungeni
Kama ni hivyo waachane na siasa kwani wao walizaliwa kuwa wanasiasa? Kazi isiyo na manufaa kwa nini wanaendelea tu hadi kufukuza wengine wanaowafuta CHADEMA! Mahindi yangu yalipokauka kwa jua, siku hizi nafuga kuku na silalamikii wabunge. Kwa nini wao wanatulalamikia utadhani waliumbwa kwa kazi hiyo? Ni uzembe!Bungeccm spikaccm hakuna haki kwa wabunge wa upinzani Bungeni
Mashekh wa Mombasa huwa wanakufa ovyo,afu bado Kuna mtu anakwambia Kenya Ni sehemu nzuri.Umenikumbusha mkuu!
Kiufupi wajumbe wa tume ya uchaguzu ya Kenya ikifika kipindi cha uchaguzi maisha yao huwa yanafika mwisho, na pengine huwa wanaandika usia kabisa
Vp nasikia washaanza kukinukisha huko, Kenyatta na William Rutto hawaelewani tena.Hawa ni wachambuzi wa kisasa nchini Kenya wakishangazwa na namna Tanzania ilipo bado kwenye ukoloni japo ni wa watu weusi.
Uliiona hii? π π π
Kazi ya upinzani ni nini? Kazi yake siyo kuifagilia CCM wakifanya ufisadi mambo ya hovyo yasiyo na tija kwa Taifa, kazi ya upinzani ni kupinga mabaya yote ya CCM na katika hii miaka mitano hawajafanya la maana ndiyo maana wanapingwa kwa kila kitu bila kuchuja, wanajidai kuleta maendeleo kununua Ndege na miradi kibao kote kuna ufisadi 10% za wajanja wachache, kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani ndiko kutoangalia masilahi mapana ya watanzania?Kamilisha sentensi yako kwa kuongeza maneno haya kwanza ili tuelewane vizuri."Wapinzani waliopo kwaajili ya kupinga kila kitu,kupotosha,na kutoangalia masilahi mapana ya watz"