Kweli magufuli anapendwa hadharani lakini katika mioyo ya watu anaechukiwa Sana
Ameua wengi sana
Amefilisi wengi sana
Amebambikiza kesi wengi
Amekula hela za rambirambi za wahanga wengi
Mbinafsi aliejenga kiwanja cha kimataifa kijijini kwao
Tangu aingie madarakani Tanzania imeshikilia watuhumiwa wa ugaidi kuliko Afghanistan
Tundu lissu kapigwa risasi kakataa asipewe hela ya matibabu hata walioenda kumuona aliwakasirikia huo ni ukatili wa hali ya juu
Mzee Mwinyi alienda kumuangalia lissu hospital i Mara mbili na akampa pesa kidogo
Mzee Mwinyi akasema ubinadamu Ndio umefanya aende kumuona na kama kuna mtu kakasirika pole
Anapendwa Sana pombe!!
Kwa kigezo gani??
Mbona ndo rais pekee Afrika anaelindwa Sana
Je wajua mzee mwinyi katawala Mika 10 lakini mpaka sasa anakaa kijuweni anakunywa kahawa bila mlinzi?