Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Nikiona chadema wanavyojidharau kwa kujilinganisha na Kenya, naonaga kabisa hawa jamaa wakipewa nchi, hao Wakenya wanaweza kuteuliwa hadi wakuu wa mikoa wakiongoza kutoka Nairobi.Kenya siyo nchi ya kupigia mfano!
Hivi Kenya wana nini cha kujilinganisha nao?