Nikiona chadema wanavyojidharau kwa kujilinganisha na Kenya, naonaga kabisa hawa jamaa wakipewa nchi, hao Wakenya wanaweza kuteuliwa hadi wakuu wa mikoa wakiongoza kutoka Nairobi.Kenya siyo nchi ya kupigia mfano!
Loohh.... Soma kitabu alichoandika Mkapa. Amekiri mapungufu mengi tu. Apumzike salama mzee wetu.OK kama ni kweli hiyo ni mpya kwangu sikujua, ...
NdioUnaweza kutaja hayo uliyosema kwa mifano?
NdioUnaweza kutaja hayo uliyosema kwa mifano?
Tume sio tatizomtambuka linaweza kutatuliwa na mambo yakawa poa.Uko sawa kabisa, Kenya tatizo lao kubwa linajulikana ni ukabila. Vipi sasa kwenye hili tatizo waliloongelea linalotukabili sisi "TUME YA UCHAGUZI" hapo unasemaje?
Nilifikiri una la maana kumbe ujinga tu!Ndio
Ameua Akina saa nane
Amefilisi wafanyabiashara
Amekula hela ya rambirambi za wahanga wa tetemeko kule bukoba
Kila mkoa kuna waislamu ambao hata bunduki hawajui wapo jela kwa tuhuma za ugaidi ni watuhumiwa wengi kuliko Afghanistan
Mkaguzi mkuu wa mahesabu alisema kuna zaidi ya dollars billion moja imepotelea ikulu
Huyu mtu katili Sana Ndio maana ulinzi wake ni mkubwa kuliko rais yeyote
Bado hapa kuna mtu atakuja na hoja mfu kukupinga haya. Hili ndilo tatizo la watanzania walio wengi, wameyabeba yale wanayoambiwa na wanaokula keki badala ya kufikiri wao wenyewe na kujua ukweli kama huu.Muundo wa NEC, na jinsi inavyopatikana, ni upuuzi wa hali ya juu. Hakuna mwenye akili timamu, hata shetani anayeweza kukiri kuwa muundo wa NEC ni sahihi. Ni ujinga wa hali ya juu.
Tukibahatika kumpata Rais mwenye akili nzuri, mwenye hekima, upeo na uelewa, ambaye hana roho ya shetani, hata bila kulalamikiwa, yeye mwenye atasema, sitaki muundo huu wa NEC maana unanifanya nionekane mjinga na shetani.
Ndiyo maana Mkapa baada ya kurudiwa na akili aliona aheri ajutie ujinga ule wa kuwa na NEC ya muundo ule. Mwisho akasema, angependa kuona tume iliyo huru. Na Mungu hakumpa nafasi hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Demokrasia hiyoPale Kenya sasa hivi ni kama hamna mkubwa! Kila mtu ni kambare! Wamejaa ukabila, hayo ndio waliyoendelea hakuna kingine.
Fikiria uchaguzi bado miaka 2 lakini ofisi ya rais Kenyata ina mgogoro wa kugombea madaraka ya 2022
Ingekuwa hapa kwetu watu wangesha potezwaPale Kenya sasa hivi ni kama hamna mkubwa! Kila mtu ni kambare! Wamejaa ukabila, hayo ndio waliyoendelea hakuna kingine.
Fikiria uchaguzi bado miaka 2 lakini ofisi ya rais Kenyata ina mgogoro wa kugombea madaraka ya 2022
Alichokiongea kina mantiki sijui kama umemshikiliza lakini
Hata hapa ukabila tayari umejengwa na awamu ya tano.Siasa za Kenya ni za ubaguzi wa kikabila.
Kenya wapambane kwanza waondoe hili kabla ya wao kukosoa wengine.
Ni bora wanaoleta huo ujinga wapotezwe kuliko kusababisha haya[emoji116][emoji116]Ingekuwa hapa kwetu watu wangesha potezwa
Uandishi kama wa johnthebaptist huu. Lumumba mnahangaika sana kwa nini?Tanzania hatuna ukabila bwashee.
Kwa hiyo yetu tusiifanyie marekebisho hata baada ya kujua mapungufu yaliyopo kwa sababu wao hawajafaidika na yao? Mkuu, hii tume haifai. Nina uhakika hata wewe unakubaliana na hili.Hata kama ni hivyo hakuna ushahidi kwamba hao wanaofanya vingine njia yao ni bora zaidi, mfano hao Kenya wenyewe mnaowasifia anayeshindwa hajawahi kukubali kushindwa hata siku moja, kwanza hata Tume yenyewe wanaikataa na kusema haiko huru wakati haiteuliwi na Raisi, sasa tofauti iko wapi?
Tuvunje tume iliyopo uchaguzi huu usimamiwe na umoja wa afrika kabla hatujapata tume ingine mpo tayari?Tume sio tatizomtambuka linaweza kutatuliwa na mambo yakawa poa.
Siasa za ukabila wa Kenya unaumalizaje bwashee?
Ni matokeo ya kuamka kwa wananchi. Wangekuwa wamelala wangekuwa bado na KANUYote hayo ni matokeo ya kukitupa nje chama kikongwe cha KANU!
Nchi nyingi zinaicheka Tanzania kwa kufanya vioja utawala wa kishetani unalitumia NECCCM Tumeccm kubaka uchaguziHawa ni wachambuzi wa kisasa nchini Kenya wakishangazwa na namna Tanzania ilipo bado kwenye ukoloni japo ni wa watu weusi.