Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,510
- 6,877
KWahiyo ukiwa dhaifu ukaambiwa udhaifu wako, badala ya kurekebisha udhaifu wako una deal na aliyekuonesha udhaifu wako? Nadhani tungejadiri alicho kisema kama ni cha kweli au laa then tukirekebishe, huo ndio uungwana.Siasa za Kenya ni za ubaguzi wa kikabila.
Kenya wapambane kwanza waondoe hili kabla ya wao kukosoa wengine.
Pale Kenya sasa hivi ni kama hamna mkubwa! Kila mtu ni kambare! Wamejaa ukabila, hayo ndio waliyoendelea hakuna kingine.
Fikiria uchaguzi bado miaka 2 lakini ofisi ya rais Kenyata ina mgogoro wa kugombea madaraka ya 2022
Unafikiri tatizo kubwa kwenye tume yetu ya uchaguzi ni lipi hasa hadi uone kweli kuna haja ya kuifanyia marekebisho??Tume sio tatizomtambuka linaweza kutatuliwa na mambo yakawa poa.
Siasa za ukabila wa Kenya unaumalizaje bwashee?
Sawa lakini mimi pia nimeonyesha nawao pia wanachangamoto.KWahiyo ukiwa dhaifu ukaambiwa udhaifu wako, badala ya kurekebisha udhaifu wako una deal na aliyekuonesha udhaifu wako? Nadhani tungejadiri alicho kisema kama ni cha kweli au laa then tukirekebishe, huo ndio uungwana.
Bado hata pakiwa na tume huru hamtaacha kulalamika.Tuvunje tume iliyopo uchaguzi huu usimamiwe na umoja wa afrika kabla hatujapata tume ingine mpo tayari?
Wakenya wasubili cha moto wao wenyewe makamu raisi na raisi hawaelewani sasa badala ya kuchambua ya kwao wao wanataka ya tanzani,Hawa ni wachambuzi wa kisasa nchini Kenya wakishangazwa na namna Tanzania ilipo bado kwenye ukoloni japo ni wa watu weusi.
Sawa.Uandishi kama wa johnthebaptist huu. Lumumba mnahangaika sana kwa nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa na fikra pana bwaashee.Hata hapa ukabila tayari umejengwa na awamu ya tano.
Reli mbili zinaenda sehemu moja, je tunamahitaji hayo?
Huo siyo ukabila?
Makabila mengine tunafikiriaje?
Katiba ya Kenya ninayo hapa! Na ninayo ya Tz na pia ya Zanzibar. Katiba ya Kenya ni nzuri sana ila inaongoza Wanadamu wenye roho mbaya kama ilivyo ya Tz. Nipatapo muda nitaandika uzi wa kuzilinganisha hasa katika masuala ya sheria na uchaguzi. Matatizo ya Kenya yaliyopo sasa yanatokana na uchu wa madaraka na wala Sio katiba japo wapo katika harakati za kuboresha katiba yao baada ya kuwa nayo kwa miaka 10. Mfano mdogo ni kuwa kulingana na Katiba ya Kenya, hakuna kosa lisilodhaminika. Kosa la mauaji linadhaminika. Iwe uhujumu uchumi, utakatishaji wa fedha au lingine lolote yote unapewa dhamana. Hii imesababisha Polisi kuwabambikia watu kesiKawaulize wakenya wanachokipata saa hii kutokana na hiyo katiba nzuri
Vip utekelezaji wake!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwa hiyo hayo ndio ganafanya hiyo katiba iwe nzuri?Katiba ya Kenya ninayo hapa! Na ninayo ya Tz na pia ya Zanzibar. Katiba ya Kenya ni nzuri sana ila inaongoza Wanadamu wenye roho mbaya kama ilivyo ya Tz. Nipatapo muda nitaandika uzi wa kuzilinganisha hasa katika masuala ya sheria na uchaguzi. Matatizo ya Kenya yaliyopo sasa yanatokana na uchu wa madaraka na wala Sio katiba japo wapo katika harakati za kuboresha katiba yao baada ya kuwa nayo kwa miaka 10. Mfano mdogo ni kuwa kulingana na Katiba ya Kenya, hakuna kosa lisilodhaminika. Kosa la mauaji linadhaminika. Iwe uhujumu uchumi, utakatishaji wa fedha au lingine lolote yote unapewa dhamana. Hii imesababisha Polisi kuwabambikia watu kesi
Kwa hiyo yetu tusiifanyie marekebisho hata baada ya kujua mapungufu yaliyopo kwa sababu wao hawajafaidika na yao? Mkuu, hii tume haifai. Nina uhakika hata wewe unakubaliana na hili.
Wenyewe pamoja na muundo wao makini wanapigana mapanga kila chaguzi,patheticHawa ni wachambuzi wa kisasa nchini Kenya wakishangazwa na namna Tanzania ilipo bado kwenye ukoloni japo ni wa watu weusi.
Kwa Africa hata kwenye nchi zenye tume huru bado malalamiko huwa ayakosekanagi.Ukweli huwa hauangalii kama anayeutoa ni fasiqi au ni laa!
Ndiyo maana Shaabani Robert akasema "..Ni bora kuwa na adui mwenye akili kuliko kuwa na rafiki mjinga.."
Ijapakuwa ni adui ni mwenye madhara kwako lakini anakupa manufaa ya kutumia vyema akili.
Suala si anayelisema ni nani! Suala kinachosemwa ni kipi!
Tukifuata nyayo zako hata maendeleo ya kielimu na miji tusingekuwa nayo! Kwa sababu inatoka kwa mabeberu!
Wazee wetu kwa kulitambua hili ndiyo maana wakasema "..ijapokuwa baniyani ni mbaya lakini kiatu chake ni dawa.."
Tuchukue manufaa, ikhtilafu zao tuwaachie wenyewe.
Weka data hapa za Lowasa na Magufuli uchaguzi uliopita.Umesahau Wasukuma walivyoamua kumpa Magufuli kura na Kaskazn wakampa lowasa?
WHICH MEANS COUP DE TAT CAN SOLVE THIS PROBLEM IN THE FUTUREHawa ni wachambuzi wa kisasa nchini Kenya wakishangazwa na namna Tanzania ilipo bado kwenye ukoloni japo ni wa watu weusi.
uzuri wa katiba ni kutekeleza yaliyomo, lakini kenya haiko hivyo ndo maana kila baada ya uchaguzi ni vurugu na mtu analia kaibiwa kura mpaka anajiapisha mwenyewe.