Video: Wananchi wakimlilia Hayati Magufuli baada ya kuchoshwa na uonevu

Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
unaweza kudhani kusoma kutamfanya mtu kuwa na uelewa wa kila mambo na kumbe sivo hakika akili ni mazingatio na elimu ipo kwajili ya kumtanulia mwanadamu wigo wa kufikir lakin kwako nadhani haiko ivo hiv viongoz wanao kula pesa za uma na kusababisha mirad mbali mbali ya nchi kutofanyika ushawahi jiuliza athari za hayo na ni vifo vingapi vinasababishwa juu ya kutokuwa mwadilifu? ukishajua ilo ndo utaelewa kiongoz katili muaji ni yup na mwerevu mwenye kusimamia majukumu yake vema ni yup
 

Ni hivi, kama ni uadilifu wala hakuwa muadilifu. Njoo na utetezi mwingine kwake lakini sio uadilifu.
 
Hii ni kiashilia kuwa, alivyosema kuwa tutamkumbuka, sasa yaanza kujitokeza!
 
"Jpm alijificha kwenye chaka la kutetea wanyonge, ambao kimsingi ndio Tupo wengi, na alifanikiwa kuwa kamata wajinga na wapumbavu wengi kweli, he was very bright!
Kuyasema yaliyokweli ya moyoni kumhusu JPM, kwamba alikuwa ni kiongozi mwenye dhamira ya kweli kutaka kuipeleka nchi kwenye mafanikio makubwa, ni kujiondoa kwenye kundi la wajinga, wanafiki na wapumbavu, watukanaji na hawajawahi kuelewa wanahitaji kiongozi wa aina gani!
 
Sasa Kama uligushi vyeti vyako hasira za Nini kwa Mwendazake!? Magu yeye alikua anasimamia Sheria za Nchi hana kosa lolote lile!!
 
Vyovyote iwapo hakuna jambo linatupa furaha iso kifani kama uhakika kwamba shetani yule hatorudi kamwe.
Hayo mengine bakini nayo wafuasi wake.
Hakika March 17 is a big day Mungu alijua kutukomboa waja wake
Usisahau kua Jinai haifi,wwe ulie gushi vyeti kuna siku isiyokua na jina wwe na wenzio wa Kugushi lazima tuwapandishe kwa Pilato!!
 
Hao wa mitandaoni, it does not come naturally. WAMETUMWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…