Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Kufa ili tuone umemmiss marehemu jiweAkili kisoda, utawezaje kuelewa wenzako Wewe?
He was not great.JPM Was a greatest leader.
Hii haiondoi ukweli kwamba, wajinga mmeendelea kubaki walewale wa siku zoteKufa ili tuone umemmiss marehemu jiwe
2025 inafika mkuu ndo watajua Jiwe kumbe alipendwa.Hayati JPM atabaki kua Kiongozi wa watu ,siku zote za uhai wa Nchi ya Tanzania !!.
Wataandika vitabu, Watamsema wanavyoweza, ila ukweli nikwamba, JPM atabaki kua Baba Bora Nchi hiii !!.
Pumbavu choko wewe umekambishwa asali hadi umekuwa kirobaHii nchi si ya Magufuli nyie mapoyoyo. Kuna baba wa Taifa aliongoza miaka 23 sembuse huyo marehemu wenu aliyeongoza miaka 5. Ndio aliwafundisha kuvamia maeneo ya watu? Nyie ni washamba km yule marehemu wenu. Ondokeni kwenye maeneo ya watu.
Yes, he was not great but greatest.He was not great.
He was among the cowards who ever ruled Tanzania
Hii nchi wajinga ni wengi mkuu, Kazi tunayo.
That's it countrymanItachukua miaka mingine 50+ kupata mtu kama JPM. I appreciated him so much!!
JPM was a greatest leader.Hayo mambo kawaida tu, mbona wapo wanaomlilia Nyerere hadi leo?!!!!
Ni namna fulani tu ya waliopatwa na jambo kuexpress hisia zao....
Simchukii jpm wala samia kwani wote, kwa namna moja au nyingine, nimefaidika nao kipindi Chao ila kwa hili haters wa samia mkajipange tena.......bado saaaaaaana. Hivi kipindi billion kadhaa za wakulima wa korosho wa mtwara zimechukuliwa kwa nguvu na mikwara juu, haters hamkuviona vile vilio vya wale wakulima waliojichokea?!!!!
Vp vision vya wale pale kimara waliobomolewa nyumba zao hamkuviona?!!!!
Vilete hapa hivyo vilio ili tuvijadiliHayo mambo kawaida tu, mbona wapo wanaomlilia Nyerere hadi leo?!!!!
Ni namna fulani tu ya waliopatwa na jambo kuexpress hisia zao....
Simchukii jpm wala samia kwani wote, kwa namna moja au nyingine, nimefaidika nao kipindi Chao ila kwa hili haters wa samia mkajipange tena.......bado saaaaaaana. Hivi kipindi billion kadhaa za wakulima wa korosho wa mtwara zimechukuliwa kwa nguvu na mikwara juu, haters hamkuviona vile vilio vya wale wakulima waliojichokea?!!!!
Vp vilio vya wale pale kimara waliobomolewa nyumba zao hamkuviona?!!!!
Vp vilio vya walioporwa Mali?!!!
Waliodharirishwa na kina musiba?!!!
Kufa umfuateYes, he was not great but greatest.
JPM Was a greatest leader.Kufa umfuate
To you, yes he was. To others, he wasn't......he was just more of the same.JPM was a greatest leader.
Hauna akili japo unataka uonekane una akili.Hayo mambo kawaida tu, mbona wapo wanaomlilia Nyerere hadi leo?!!!!
Ni namna fulani tu ya waliopatwa na jambo kuexpress hisia zao....
Simchukii jpm wala samia kwani wote, kwa namna moja au nyingine, nimefaidika nao kipindi Chao ila kwa hili haters wa samia mkajipange tena.......bado saaaaaaana. Hivi kipindi billion kadhaa za wakulima wa korosho wa mtwara zimechukuliwa kwa nguvu na mikwara juu, haters hamkuviona vile vilio vya wale wakulima waliojichokea?!!!!
Vp vilio vya wale pale kimara waliobomolewa nyumba zao hamkuviona?!!!!
Vp vilio vya walioporwa Mali?!!!
Waliodharirishwa na kina musiba?!!!
Ungeelewa Uwepo wa yupi unsingejibu.... uwepo wake umekoma! Kuondoka kwake kutadumu milele.