Amani Benson
JF-Expert Member
- Nov 21, 2023
- 658
- 1,502
Kabisa kabisa ata hii ya kufanya mazoezi wameungana na wanawake afu wote wamevaa vitait vifupi vimewanata mwilini aisee hivi afya yao ya akili itakua sawa kweli, kuna mambo yanapaswa kujiwekea mipaka hatupaswi kabisa kulingana ki mavazi, tabia ata muonekano na wanawake wao wana asili yao na sisi tuna asili yetuGym now days kuna mambo mengi ya kijinga
Ova
Kuna namna nimeona wadau wanachuki kama sio wivu na DarSouth Africa
Na mapunga kibao wakoNakumbuka zamani ile naenda kujiunga na gym (ya mtaa) ila iko smart sana, mara ya kwanza kuingia ndani tu nilishtuka asee kuna madogo na mafather wamekata yani ndani unakuta watu kazi watu chuma tuu.
story mkiwa ndani sasa utasikia, fulani umu ndani ndo king alipiga askari watano kwa pamoja usimchezee na story nizakweli. Kuna jamaa mmoja alikua anapenda kutembea usiku sana akikutana na kibaka anampasua uso anamtoa jino anakuja nalo gym kutuonesha.
Kwaiyo ilikua kama challenge ivi, huwezi kua member verified bila kua na tukio la kishujaa na huwez kua top member bila matukio endelevu.
Kufikia tu mwezi nkajikuta nisha adapt kuvaa mashati makubwa, kunyoa upara, kuvaa viatu vya seft tu kama timberland and etc. Mtaani nikawa mkombozi watu wakidhulumiwa naitwa nikasuruhishe.
Sasa sikuizi izi gym ziko mixed na wanawake dah naona ni kama kuhamasishana uzinzi tuu. Tulikua tunafanya mazoez ya pumzi sana ila pale hakuna ambae alishawahi kufanya ayo mazoez ya squats kubinua tako ivo hell no.
Cjaona tatizo la zoezi kama zoezi hilo,labda kama mnawajua hao wanaofanya hayo mazoezi na tabia zao.Kama gym kwenywewe mazoezi ndo haya bakini na gym Zenu na mazoezi yenu.
lalakherNzi kufia kwenye kidonda si bahati mbaya ni mpangilio ya maisha yake.
Upunga ni kwenye izi gym zenu za kizungu, nimepiga gym na kina lord eyes kinondoni miaka ile ndo mamaster tunaenda battle to battle na kina brother pina we acha ilikua ni kiumeni kweli, mtu mentality inakaa kivita vita ukikosa challenge unaumwa huo ujasiri wa uyo punga kusogea kiumeni anauto wapi. Huwezi kukaa kiumeni huna tukio yani ilikua haiwezekani, bas labda hue na hata kovu la kisu kidogo utatambulika.Na mapunga kibao wako
Ova
oUpunga ni kwenye izi gym zenu za kizungu, nimepiga gym na kina lord eyes kinondoni miaka ile ndo mamaster tunaenda battle to battle na kina brother pina we acha ilikua ni kiumeni kweli, mtu mentality inakaa kivita vita ukikosa challenge unaumwa huo ujasiri wa uyo punga kusogea kiumeni anauto wapi. Huwezi kukaa kiumeni huna tukio yani ilikua haiwezekani, bas labda hue na hata kovu la kisu kidogo utatambulika.
Na huyu analenga nn?Tatizo vijana mnawaza uchafu kwenye kila kila kitu, hayo mazoezi yanalenga magoti.
Acha ujinga na kutafuta umaarafu hilo ni zoezi la back(mgongo)....mgongo unkaa vizuri unayooka na unapunguza maumivu pia ya mgongo.Kumbe gym Hali ni mbaya. Hawa ni Wa south. Hata bongo nimewahi ambiwa hili nikakataa kumbe kweli bana
Hii ni kweli kabisa haya mazoezi ya siku hizi ya ana manake upande wa piliNakumbuka zamani ile naenda kujiunga na gym (ya mtaa) ila iko smart sana, mara ya kwanza kuingia ndani tu nilishtuka asee kuna madogo na mafather wamekata yani ndani unakuta watu kazi watu chuma tuu.
story mkiwa ndani sasa utasikia, fulani umu ndani ndo king alipiga askari watano kwa pamoja usimchezee na story nizakweli. Kuna jamaa mmoja alikua anapenda kutembea usiku sana akikutana na kibaka anampasua uso anamtoa jino anakuja nalo gym kutuonesha.
Kwaiyo ilikua kama challenge ivi, huwezi kua member verified bila kua na tukio la kishujaa na huwez kua top member bila matukio endelevu.
Kufikia tu mwezi nkajikuta nisha adapt kuvaa mashati makubwa, kunyoa upara, kuvaa viatu vya seft tu kama timberland and etc. Mtaani nikawa mkombozi watu wakidhulumiwa naitwa nikasuruhishe.
Sasa sikuizi izi gym ziko mixed na wanawake dah naona ni kama kuhamasishana uzinzi tuu. Tulikua tunafanya mazoez ya pumzi sana ila pale hakuna ambae alishawahi kufanya ayo mazoez ya squats kubinua tako ivo hell no.
Acha ujinga na kutafuta umaarafu hilo ni zoezi la back(mgongo)....mgongo unkaa vizuri unayooka na unapunguza maumivu pia ya mgongo
Ili wapumliwe vzrMazoezi ya kutengeneza big nyash
Huo ni utani tu. Kwan hayo Huwa unaamini ninkweli wanaume wa dar wapo hivo? Je wewe upo na uko hivo? Kama sivyo kwann uyaamini?Kuna namna nimeona wadau wanachuki kama sio wivu na Dar
Umenena Vyema mkuuKabisa kabisa ata hii ya kufanya mazoezi wameungana na wanawake afu wote wamevaa vitait vifupi vimewanata mwilini aisee hivi afya yao ya akili itakua sawa kweli, kuna mambo yanapaswa kujiwekea mipaka hatupaswi kabisa kulingana ki mavazi, tabia ata muonekano na wanawake wao wana asili yao na sisi tu