Weka vizuri andiko lako mkuu,naona kama kunapoint unataka kusema.Hii ni mbaya sana. Ukatili kwa watoto na wanafunzi una athari mbaya sana na za muda mrefu.
HAIFAI, HAIFAI, HAIFAI, HAIFAII!!!!!!!!
Kwanza, kwani ni lazima kila mtu asome au afaulu?
Wasioweza kuendana na shule waondolewe na sio kuumizwa!
Bule kabisa wewe ..If you always thinking the problem is out there that very thought is the problem. Alie record ameleta hapa sio kwa mtu kama wewe usiekuwa na theluth ya huruma,bali kuna watu wenye huruma watafanya kitu kuwasaidia hawa wasioweza kujisaidia..Ktk nchi hii kada ambayo inawatu hamnazo Basi ni hii kada,hata wewe uliyeleta hii video hopeless kabisa.haya Mambo muwe mnaonyana wenyewe huko ,mnatia aibu, tumewachoka mitandaoni .kwanza hapo uliporekodi tayari wamekugundua kuwa ww ndo mnoko, pochi lako linaonekana ,dawati ulilokaa .hii kada inawatu wa ajabu kweli.
Wajinga sana hawa.
Wazazi wanatoa amri kwa walimu vizuri tu maana ndio mteja .Njoo apa Sinza tower high school kama kuna upuuzi wa fimbo kama izo .mtu anatoa ada m4 unaleta upuuzi ,ni shule za kimaskin ndio kuna upuuzi mwingiWalimu wakiambizana mwanao wasimchape umefikiri mtoto atafaulu?, Asipoifanya kazi ya mwalimu sawa,asipoandika sawa asipohudhuria vipindi sawa , akicheza darasani sawa, akifika shule kwa kuchelewa fresh
Na kama ni WA kike akiwa anapigwa miti na wanazengo sawa tu
UACHE KUHEMKA
Mwalimu hawezi kupewa amri na mzazi
kama magufli angekuwpo lazima huyo angepewa ukuu wa mkoa
Walimu wanafki nafiki sana, walishindwa nini kumzuia huyo Mwalimu mwenzao anayepiga?Mtu unamuona anamchapa mtoto sana au anapitiliza ! Kwanini huo muda wa kumrekodi usitumie kumnyang'anya fimbo huyo mwalimu?
Ili asimuumize mtoto !! Serikali iwe inawafukuza hata wanaorekodi ! Jifunzeni kuonyana na kuelemishana nyie kwa nyie.
Yaani kama una uwezo wa kushuhudia na kurekodi mtoto anapigwa hivyo , maana yake hata wewe ni katili unamrekodi katili mwenzio.
Huku mtandaoni tumewachoka ! Kila siku nyie kurekodiana tu au ndo fashion Walimu
1. Matokeo ya kuajiri failures, watu wenye stress zao tayari...
2. Ukosefu wa mamlaka za uwajibishaji tangia ngazi ya chini, waalimu kama hao wanaomwaga viboko iliopaswa kuwe na mamlaka ya kuwawajibisha tokea ngazi ya shule...
Asee kuna watu walisoma humu jamii forum na walichapwa zaid ya pale lakn huko secondary nimefundsha na msingi nimefundsha swala lipo hivi
Swala la nidhamu kwa mwanafunz n kitu cha kwanza ili matokeo yawe sawa
Hapo mwl anasema utoro/mtoto n mtoro na hana sababu za msingi akampa 5
Kuwamilik hawa watoto wa secondary kuna htaji nguvu kubwa sana
Adhabu nyingne kwa mwanafunz kunawez mplekea akakosa vpnd vingne drs
Wanafunz wa secondary wanakuja hawan nidhamu ata kidogo
#kaata ualimu ni MATESO
Sichochei kipgo ila sisi umu tumepgwa sana na bila hvyo tusengekuw hapa tulipo
#kuchapa ni mateso kwa mwl
#mwl acha kuchapa hutofukuzwa kazi
#fikafundisha ondoka pokea mshahara
Kizazi cha mashoga hiki kuanzia wazaz hadi watoto wao
Kuna walimu wana tabia za ki snitch. Maisha yao miaka nenda ni kuwaharibia tu wenzao kwa kuwachongelezea kwa wakuu wao wa shule, ili wapate upendeleo!Baadhi ya walimu hawajitambui .kwanini wanachomeana utambi?
Hizo hazinaga lengo la kuwaharibia walimu wenzao hua wanatumiana kwenye group lao walimu sasa bahati mbaya kusambaziana mwisho zinafika hukuKuna walimu wana tabia za ki snitch. Maisha yao miaka nenda ni kuwaharibia tu wenzao kwa kuwachongelezea kwa wakuu wao wa shule, ili wapate upendeleo!
Kurekodi upuuzi kama huo wa walimu kuchapa viboko, na kuweka kwenye mitandao ya kijamii, nk. Na mara nyingi watu wa aina hiyo, hata maisha yao ya kila siku huwa ni magumu sana.
Hao panya road unadhani wametokea wapi?Walimu mnashindwaje kutoa product moja matata sana isijesahulika na taifa yani hamchapi wala hamtukani wala kukemea yani hamjali kwa chochote tupate majinga, malaya, majizi ya taifa kwa awamu moja tu flani iv special
Kuna walimu wana tabia za ki snitch. Maisha yao miaka nenda ni kuwaharibia tu wenzao kwa kuwachongelezea kwa wakuu wao wa shule, ili wapate upendeleo!
Kurekodi upuuzi kama huo wa walimu kuchapa viboko, na kuweka kwenye mitandao ya kijamii, nk. Na mara nyingi watu wa aina hiyo, hata maisha yao ya kila siku huwa ni magumu sana.
Na viboko vikifutwa nakwambia kitakachokuja kutokea wazazi na Taifa hawataamini. Sasa hivi hakuna wanafunzi Tanzania wenye nidhamu bila mjaledi. Tunapata taarifa huko mashuleni hali ni mbaya ndio maana Walimu nao wamekuwa hawajizuii kwa hasira. Pole sana Walimu utii kwa Mwalimu uliisha enzi zetu, kwa sasa mmmmmm.Wakipiga marufuku kupiga mashuleni,
Hata ukatili majumbani utapungua pia
Serikali ndio chanzo cha ukatili na wanashindwa kutoa maamuzi magumu
Huwezi kusema tu tutaliangalia
PM hana maamuzi peke yake ni lazima lijadiliwe kwa upana
Kila leo tunasikia ooh nchi ya Amani lakini kuna ukatili zaidi ya nchi zenye vita
Mara baba kamlawiti mwanae, wanawalawiti na watoto wanashindwa kusema kwa sababu na shule wakienda wakishindwa kujibu wanachapwa na hao wapumbavu badala ya kumuuliza mtoto nini kinachokusibu mpaka unakuwa mnyonge hivyo?
Mwalimu hana ukaribu na mwanafunzi anamuona kama adui yaani kama mfungwa na gereza au mgonjwa na nesi au doctor yaani wote wamoja
Hii ni kwa sababu hatuongei kwa kutaka kujua tatizo na kutatua bali ni matusi, kufoka, adhabu na fimbo na hata kuuwa kabisa
Poleni sana kama hamtabadilika mtaishi kama wanyama tu
Unapata wapi muda wa kurekodi na kurusha kwenye group? Kama adhabu sio stahiki Kwa nini usiingilie kati ukamtuliza Mwalimu mwenzao! Kuna muda watoto wanakera mtu anaweza kushindwa kuzuia temper, hao wa pembeni walitakiwa kuzuia, ni usnitch tu kurekodi..Hizo hazinaga lengo la kuwaharibia walimu wenzao hua wanatumiana kwenye group lao walimu sasa bahati mbaya kusambaziana mwisho zinafika huku
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app