Video ya mchawi/mwanga aliyekamatwa akiwanga ina ukweli?

Yan hao ukiwabip kidogo tu wanajaa mazima mazima
Kitu kizuri siku zote lazima watu wakiponde tena kwa kutumia nguvu kubwa tu wala sibabaiki mm na chuki zenu m najua ninachokifanya ila kiukweli Tutakutana mbele ya Muumba huko tutajua nani ni mkweli
Endeleeni tu na chuki zenu
 
Ivi mbona Mimi nikifungua hiyo link haifungui shida huwa nini jmn??
 
Kitu kizuri siku zote lazima watu wakiponde tena kwa kutumia nguvu kubwa tu wala sibabaiki mm na chuki zenu m najua ninachokifanya ila kiukweli Tutakutana mbele ya Muumba huko tutajua nani ni mkweli
Endeleeni tu na chuki zenu
Mkuu staki ligi za dini,
Usiku mwema
 
camera ilitakiwa imuone tangu anavyokuja hadi kuondoka kama ilikuwa na uwezo huo. kiufupi hiyo ni editing imefanyika.
 
Wanacheza na saikolojia tu kukuingizia hofu.
Na wengi hofu ndo uwaumiza
 
Kwanini hukwenda sumba wanga
 

Mchawi huyo amenaswa na CCTV cameras akiwanga.

Ikumbukwe kuwa miaka michache nyuma Grace Makani aliondokewa na mwana wake mpendwa Lulu baada ya kuangukiwa na geti kimiujiza.

Tuendelee kuiombea ulinzi family ya Grace Makani a.k.a Da Gie
 
Nimeiona hii video ya tukio lililotplea tarehe 4 ikimuonesha mchawi akiwanga, pia anaonekana live anapotea

Teknolojia ya ku edit nayo imekuwa sana siwezi kuamini moja kwa moja...
inaonekana wewe sio analyst kabisa. hiyo video imerokodiwa juu ya scree ndio maana inatikisika
 
mchawi akikamatwa anawanga, azamishiwe nondo ya moto ma.ta.ko.ni, wamwache aende.
 
Hskuna kitu hapo hayo ni maigizo, video zimeunganishwa, ungo haupai kwa kupotea km hivyo
 
Editing hizo blaah zingine acheni

Ila hawa wanaharamu siku nikija kuwakamata naua kabisa bora hata mwizi naweza kumuacha

Nishaskia stori zao maswala ya mtu anakujia usiku uchi na mat#ko yake machafu anakunyea mdomoni
Mwishowe unapata vitambi bila mpangilio
Bladfakin sana hawa
 
Kwakweli mimi nawahitaji sana wachawi na uchawi wao!

Niliwahi kwenda mpaka Pemba kule ndani ndani ili nipate walau hata uchawi wa kiislamu, lakini hakuna nilichopata...
Kigoma nako nasikia si haba kwa uchawi, haujakutosha mpaka utafyte wa sehemu nyingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…