Video ya Mzungu huyu TZ Ina views wengi ndani ya siku moja kuliko royal tour

Video ya Mzungu huyu TZ Ina views wengi ndani ya siku moja kuliko royal tour

Hii video ni nzuri sana imeonyesha utamaduni wa tz 100%...in a great way..
 
Viongozi wetu inafikia hatua wanakera unatamani badala uombe mungu akupe mafanikio ila unaomba mungu wafe tu nandio maana liccm likifa kila mtu ni kicheko, hayana utu wala uzarendo wametuficha watanzania chanzo cha pesa za royal tour tunadanganywa eti ni michango ya watanzania na wafanyabiashara [emoji35] mbona hatukuona bakuli linapita tuchange, wa naacha watu potential kama huyu mzungu kwenye hii video wanaokota watu wa hovyo kisa tu ni skilled. Utalii inatakiwa atangaze mtu popular maana atafikia wengi sio professional ambae hata watu kumi hawamjui.
 
Nimeiangalia iko vizuri sana,japo yeye kadili na kabila moja tu wazigua,hasa kwenye tamaduni yao ya kucheza na nyoka na chakula kwa ujumla.
 
Mkuu uwe unamalizaga kusoma uzi wote uelewe maana hili naona ni tatizo lako kubwa mara nyingi unasemaga hivhivi kuwa umeishia heading tu halafu unacomment out of topic!! Ungesoma hadi nwisho ungeelewa mleta mada anadhamiria kufikisha ujumbe gani
Huyo hata mkewe amuandai, akifika toa chu pi anaingiza anakojoa analala
 
Kuna huyu Mzungu yupo huko you tube huwa anafanya documentary kuhusu misosi na utamaduni ndani ya nchi mbalimbali duniani na channel yake Ina nguvu sana. Inaitwa best ever food review show, Sasa huyu mtu ana subscription za you tube mil8.4 zaidi ya diamond platnumz, huyu mtu ameitangaza nchi ya Tanzania kiutalii Duniani zaidi ya filamu aliyoicheza chief H.

Katika documentary yake inayohusu mambo mbalimbali ya utamaduni wa Tanzania, ameweza kupata views milioni moja ndani ya siku moja huku akiipiku Filamu ya royal tour iliyochezwa na Chief ambayo hata view laki mbili haijafikisha. Huku gharama zikivuka bilioni 11 za Kitanzania.

Sasa Hoja ni kwamba, Kwanini serikali hii ya CCM , isitumie watu Kama Hawa wanaweza kufika pahala pengi duniani kuliko kutumia watu wenye connection chache Kama peter.

Huyu Mzungu documentary yake ametengeneza kwa pesa yake mwenyewe , hajachangiwa na Tanzania foundation sijui Nininini Sasa watanzania mtafakari, naweka link ya documentary aliyoitengeneza na kupata views mil 1 ndani ya siku 1 inahusu tanzania.



Wachaga na nyie Mzungu kawatengenezea royal tour yenu.


Kwa kuwa episode za Royal tour phase two zinakuja,tunashauri mapema kwamba watumie watu maarufu wanaojulikana ilimradi gharama ziwe vizuri.
 
Hahaha video imenikumbushia nyumbani uchagani miaka hiyoo, kumbe bado kuna watu wanaishi maisha yale mpaka leo
Maana kijijini nilipotokea hii staili ya kumla mbuzi na kisusia ilishapotea

tamaduni nyingi zilishapotea uchagani, ninapoona hili nafarijika kweli
 
Viongozi wetu inafikia hatua wanakera unatamani badala uombe mungu akupe mafanikio ila unaomba mungu wafe tu nandio maana liccm likifa kila mtu ni kicheko, hayana utu wala uzarendo wametuficha watanzania chanzo cha pesa za royal tour tunadanganywa eti ni michango ya watanzania na wafanyabiashara [emoji35] mbona hatukuona bakuli linapita tuchange, wa naacha watu potential kama huyu mzungu kwenye hii video wanaokota watu wa hovyo kisa tu ni skilled. Utalii inatakiwa atangaze mtu popular maana atafikia wengi sio professional ambae hata watu kumi hawamjui.
Acha wivu mkuu, hayo ni mambo ya kikie, unless wewe ni ke
 
Mr. Sonny, jamaa ni food expert anazunguka sana duniani huyu jamaa halafu sio muoga kabisa
 
Kuna huyu Mzungu yupo huko you tube huwa anafanya documentary kuhusu misosi na utamaduni ndani ya nchi mbalimbali duniani na channel yake Ina nguvu sana. Inaitwa best ever food review show, Sasa huyu mtu ana subscription za you tube mil8.4 zaidi ya diamond platnumz, huyu mtu ameitangaza nchi ya Tanzania kiutalii Duniani zaidi ya filamu aliyoicheza chief H.

Katika documentary yake inayohusu mambo mbalimbali ya utamaduni wa Tanzania, ameweza kupata views milioni moja ndani ya siku moja huku akiipiku Filamu ya royal tour iliyochezwa na Chief ambayo hata view laki mbili haijafikisha. Huku gharama zikivuka bilioni 11 za Kitanzania.

Sasa Hoja ni kwamba, Kwanini serikali hii ya CCM , isitumie watu Kama Hawa wanaweza kufika pahala pengi duniani kuliko kutumia watu wenye connection chache Kama peter.

Huyu Mzungu documentary yake ametengeneza kwa pesa yake mwenyewe , hajachangiwa na Tanzania foundation sijui Nininini Sasa watanzania mtafakari, naweka link ya documentary aliyoitengeneza na kupata views mil 1 ndani ya siku 1 inahusu tanzania.



Wachaga na nyie Mzungu kawatengenezea royal tour yenu.


Huyo mchaga sijui wa wapi ila kajitahidi kudumisha tamaduni aisee...

Mimi mchaga ila kijijini kwetu hivyo vyakula havipikwi tena kivile, sijuji mbuzi na kisusio, kitololo, kuna hayo makweme pia hapo, vinanikumbushia mbali sana
 
Royo imekwama au hujaona panya road wakituamisha kutoka huko kwenda kwenye matukio? Yuko wapi Magu???
 
Kuna huyu Mzungu yupo huko you tube huwa anafanya documentary kuhusu misosi na utamaduni ndani ya nchi mbalimbali duniani na channel yake Ina nguvu sana. Inaitwa best ever food review show, Sasa huyu mtu ana subscription za you tube mil8.4 zaidi ya diamond platnumz, huyu mtu ameitangaza nchi ya Tanzania kiutalii Duniani zaidi ya filamu aliyoicheza chief H.

Katika documentary yake inayohusu mambo mbalimbali ya utamaduni wa Tanzania, ameweza kupata views milioni moja ndani ya siku moja huku akiipiku Filamu ya royal tour iliyochezwa na Chief ambayo hata view laki mbili haijafikisha. Huku gharama zikivuka bilioni 11 za Kitanzania.

Sasa Hoja ni kwamba, Kwanini serikali hii ya CCM , isitumie watu Kama Hawa wanaweza kufika pahala pengi duniani kuliko kutumia watu wenye connection chache Kama peter.

Huyu Mzungu documentary yake ametengeneza kwa pesa yake mwenyewe , hajachangiwa na Tanzania foundation sijui Nininini Sasa watanzania mtafakari, naweka link ya documentary aliyoitengeneza na kupata views mil 1 ndani ya siku 1 inahusu tanzania.



Wachaga na nyie Mzungu kawatengenezea royal tour yenu.


Kama chifu H. hayumo kwenye video hiyo sisi hatutaikubali labda tu ifanyiwe uhariri ili mama awemo, hapo tutakuwa naye.
 
Kuna huyu Mzungu yupo huko you tube huwa anafanya documentary kuhusu misosi na utamaduni ndani ya nchi mbalimbali duniani na channel yake Ina nguvu sana. Inaitwa best ever food review show, Sasa huyu mtu ana subscription za you tube mil8.4 zaidi ya diamond platnumz, huyu mtu ameitangaza nchi ya Tanzania kiutalii Duniani zaidi ya filamu aliyoicheza chief H.

Katika documentary yake inayohusu mambo mbalimbali ya utamaduni wa Tanzania, ameweza kupata views milioni moja ndani ya siku moja huku akiipiku Filamu ya royal tour iliyochezwa na Chief ambayo hata view laki mbili haijafikisha. Huku gharama zikivuka bilioni 11 za Kitanzania.

Sasa Hoja ni kwamba, Kwanini serikali hii ya CCM , isitumie watu Kama Hawa wanaweza kufika pahala pengi duniani kuliko kutumia watu wenye connection chache Kama peter.

Huyu Mzungu documentary yake ametengeneza kwa pesa yake mwenyewe , hajachangiwa na Tanzania foundation sijui Nininini Sasa watanzania mtafakari, naweka link ya documentary aliyoitengeneza na kupata views mil 1 ndani ya siku 1 inahusu tanzania.



Wachaga na nyie Mzungu kawatengenezea royal tour yenu.


Sasa investment aliyofanya inaleta hay viewers, anavideos nyingi, clear, na amefanya sana Marketing.
 
Back
Top Bottom