Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli wewe ni mjanja. Nilitizama nikaona ni watanzania wachache Sana wameona video ya huyu bwana. We ni mjanja, I salute you.Kuna huyu Mzungu yupo huko you tube huwa anafanya documentary kuhusu misosi na utamaduni ndani ya nchi mbalimbali duniani na channel yake Ina nguvu sana. Inaitwa best ever food review show, Sasa huyu mtu ana subscription za you tube mil8.4 zaidi ya diamond platnumz, huyu mtu ameitangaza nchi ya Tanzania kiutalii Duniani zaidi ya filamu aliyoicheza chief H.
Katika documentary yake inayohusu mambo mbalimbali ya utamaduni wa Tanzania, ameweza kupata views milioni moja ndani ya siku moja huku akiipiku Filamu ya royal tour iliyochezwa na Chief ambayo hata view laki mbili haijafikisha. Huku gharama zikivuka bilioni 11 za Kitanzania.
Sasa Hoja ni kwamba, Kwanini serikali hii ya CCM , isitumie watu Kama Hawa wanaweza kufika pahala pengi duniani kuliko kutumia watu wenye connection chache Kama peter.
Huyu Mzungu documentary yake ametengeneza kwa pesa yake mwenyewe , hajachangiwa na Tanzania foundation sijui Nininini Sasa watanzania mtafakari, naweka link ya documentary aliyoitengeneza na kupata views mil 1 ndani ya siku 1 inahusu tanzania.
Wachaga na nyie Mzungu kawatengenezea royal tour yenu.
Kafanya na wamasai, wachaga, na dar alienda feri, alienda cocobeach, alienda Kwa chef mwabuki, na Kwa mama ntilieNimeiangalia iko vizuri sana,japo yeye kadili na kabila moja tu wazigua,hasa kwenye tamaduni yao ya kucheza na nyoka na chakula kwa ujumla.
Ila walimfanyia figisu misriMr. Sonny, jamaa ni food expert anazunguka sana duniani huyu jamaa halafu sio muoga kabisa
Figisu gani mkuuIla walimfanyia figisu misri
Mkuu,unajuaje idadi ya watazamaji kwa nchi husika?Kweli wewe ni mjanja. Nilitizama nikaona ni watanzania wachache Sana wameona video ya huyu bwana. We ni mjanja, I salute you.
Kwa hulka ya watanzania kama wangekuwa wameitizama lazma wangecoment. Hapakuwa na comment nyingi za watanzaniaMkuu,unajuaje idadi ya watazamaji kwa nchi husika?
Alikamatwa na polisi, na Kuna baadhi ya equipment zake walizichukuaFigisu gani mkuu