Video ya Mzungu huyu TZ Ina views wengi ndani ya siku moja kuliko royal tour

Hizo pesa baadhi zilizotumika huku tungempa huko kama zawadi kwa kututangaza...

Ila all I can say is Thanks Mzungu kwa kazi nzuri
 
Video zake zipo clear na safi si Kama zile za bilioni saba
 
Kweli wewe ni mjanja. Nilitizama nikaona ni watanzania wachache Sana wameona video ya huyu bwana. We ni mjanja, I salute you.
 
Nimeiangalia iko vizuri sana,japo yeye kadili na kabila moja tu wazigua,hasa kwenye tamaduni yao ya kucheza na nyoka na chakula kwa ujumla.
Kafanya na wamasai, wachaga, na dar alienda feri, alienda cocobeach, alienda Kwa chef mwabuki, na Kwa mama ntilie
 
hivi, kwanini tusikamate watu 50 wenye viewers kama huyu huko ulaya tuwape pesa kidogo wawe wanatutangaza, kuliko kwenda kuweka matour na kwenye matv n.k. though sibezi royal tour, ila naona kama hawa watakuwa cheaper. hatujachelewa, tunaweza kujipanga upya tukafanya kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…