DocJayGroup
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 1,654
- 3,346
Tatizo wabongo kama bashite wakipata cheo.. wengine wote ni mafiii. Inatakiwa ujue cheo ni dhamana.. na sio ukitumie kunyanyasa watu na kuwadharau kama huyu mbwa bashite alivyofanya.. hata walimu waliomzidi elimu aliwahi kuwaambia "nitawachapa kama watoto wadogo." Shinzi zake kabisaTatizo wabongo wengi tumezoea kuwapa watu heshima kwa vyeo, muonekano, hali ya maisha mfano tajiri, elimu nk.
Kwahiyo mtu akiwa hana hivyo vitu au hali tunamchukulia kawaida sana. Hili ni tatizo!
[emoji38][emoji38][emoji38]Ungemkamata upate 30,000,000/-
Endelea kuota ndoto tu.. anahaha maisha ile mbaya.. V8 hakuna sasa anapanda toyo tu mchana na usikuNiliwaambiaa watu humu, bashite yupo Kama kawaida anaendelea na mishe zake. Kiufupi ni serikali haina nia nae
Analindwa na kukingiwa kifua na Bi tozo
Chuki alikuwa nazo bashite ww.. anaenda kuchoma tu ofisi za watu asiowapenda... na mpuuzi ni ww mwenyewe 😂😂😂Unaleta Upuuzi wako hadi Msibani Acha Ujinga na Ujaribu kuficha Upuuzi wako na Chuki
Duuuh !!
[emoji240]Kenge mwenyewee!! Fyuuu!!
Kumbe zama zimebadilika??Msibani sio sehemu ya kuuza sura au kushobokewa au watu kukushangilia
Mleta mada vipi?
una maanisha hii ?Mwenye kile kibonzo cha polisi wamemzunguka Jamaa wameshika fimbo za walemavu wa macho nakiomba
Uliwahi kwenda msiba ukapokelewa na vigelegele au watu kukushobokea? Mleta mada hajielewiKumbe zama zimebadilika??
[emoji38][emoji38][emoji38]Uliwahi kwenda msiba ukapokelewa na vigelegele au watu kukushobokea? Mleta mada hajielewi
Watu wanaogooa kujihusisha na mtu mwovu wasije na wao wakakubwaIla jamani nyie ! usiombee watu wakupuuze aiseee !! yaani Makonda ameshiriki msiba utadhani kaingia Dar jana kutoka Kolomije , yaani watu hata kumpa salamu hakuna kabisa ! hii si sawa kabisa , Ama kweli Cheo ni kama koti la kuazima .
Nadhani sasai ile karatasi ya kuitwa Mahakamani amekwishakabidhiwa
Tutajitahidi kupandisha video ili mjionee wenyewe , Noma sana !
🤣🤣🤣🤣🤣🤣roho ya mauti inamwandamaKazi yake sasa hivi ni kuzika tu
HakamatikiMakonda hayupo wa kumkamata so sad
Sasa unafurahia Nini kwa kuwa hukumsalimia Makonda? Alikwambia ana shida na salaam yako? Acha upuuzi ukimsalimia mbowe inatosha achana na huyo mkolomije.Ila jamani nyie ! usiombee watu wakupuuze aiseee !! yaani Makonda ameshiriki msiba utadhani kaingia Dar jana kutoka Kolomije , yaani watu hata kumpa salamu hakuna kabisa ! hii si sawa kabisa , Ama kweli Cheo ni kama koti la kuazima .
Nadhani sasai ile karatasi ya kuitwa Mahakamani amekwishakabidhiwa
Tutajitahidi kupandisha video ili mjionee wenyewe , Noma sana !
MAKONDA Ameamua kuhudhuria kila MSIBA utakaotokea TANZANIA