Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
acha ujinga Meku nyie MAGAMBA hua hampendi ukweli mchungu,Vijana wa cDm mna shida sana.
Meku' jishike akili kidogo. Usiache mbege ikuongoze.
Ikiuma chomoa!
,😁😁🔥🔥🔥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha ujinga Meku nyie MAGAMBA hua hampendi ukweli mchungu,Vijana wa cDm mna shida sana.
Meku' jishike akili kidogo. Usiache mbege ikuongoze.
MediocreIla jamani nyie ! usiombee watu wakupuuze aiseee !! yaani Makonda ameshiriki msiba utadhani kaingia Dar jana kutoka Kolomije , yaani watu hata kumpa salamu hakuna kabisa ! hii si sawa kabisa , Ama kweli Cheo ni kama koti la kuazima .
Nadhani sasai ile karatasi ya kuitwa Mahakamani amekwishakabidhiwa
Tutajitahidi kupandisha video ili mjionee wenyewe , Noma sana !
Aise kumbeee.....hahaha rikiboy ni Moja kati ya
Kijana wa hovyo hovyo humu jamvini!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji91][emoji91][emoji91]
Ulichokifanya hapa ni kuthibitisha tu nilichokisema; uduruthi mtupu!!Acha unyau eboo
Kwani umelazimishwa Kuja Humu,wewe mambo Gani ya maana umewahi leta Humu ya kujenga zaidi ya mapambio ya ki MAGAMBA
Anyway hiyo ni kutoka kijiwe Cha kahawa na Alkasus
Ikiuma chomoa!
😁😁😁🔥🔥
Duuu inaonekana wewe ni mzee wa busara Sana mpaka humjui rikiboy kijana Mmoja mwenye idea kubwa Sana na ana miliki kiwanda humu JF Cha uchambuzi na uchakataji PapuchiAise kumbeee.....
Amefanya nn huyo kijana??
Wewe Ndio wale Aina ya Wazee wanaojionaga ni maginious Sana Huku mmezeeka na viinua mgongo vya kukitumikia Chama Cha Mboga mbogaUlichokifanya hapa ni kuthibitisha tu nilichokisema; uduruthi mtupu!!
Nashukuru kijana wanguDuuu inaonekana wewe ni mzee wa busara Sana mpaka humjui rikiboy kijana Mmoja mwenye idea kubwa Sana na ana miliki kiwanda humu JF Cha uchambuzi na uchakataji Papuchi
Una miaka mingapi Mzee baba?
Tuanzie hapo!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji91][emoji91][emoji91]
Alikula Sana pesa za GSM kwa mgongo wa madaraka ya magufuli,gsm hakuwa na option ilibidi awe lofa kwa huyo maskini mtakaka pesa kupitia mamlaka kwa mgongo wa maguIla jamani nyie ! usiombee watu wakupuuze aiseee !! yaani Makonda ameshiriki msiba utadhani kaingia Dar jana kutoka Kolomije , yaani watu hata kumpa salamu hakuna kabisa ! hii si sawa kabisa , Ama kweli Cheo ni kama koti la kuazima .
Nadhani sasai ile karatasi ya kuitwa Mahakamani amekwishakabidhiwa
Tutajitahidi kupandisha video ili mjionee wenyewe , Noma sana !
Makonda kakonda.
daaa aisee Babu umekula chumvi kimtindo Mimi Kwako ni mjuu kabisa,Nashukuru kijana wangu
Huu uzee unanifanya nipitwe na vingi
Mwaka huu mwez wa tano nafikisha 64 kamili
Duu bibi shikamoo,kitambo umepotea Leo Ndio nakuona umeibukia hapaMakonda kakonda.
Asa huna ela, huna wadhifa nan akuheshimu? Labda mke na watoto wakoTatizo wabongo wengi tumezoea kuwapa watu heshima kwa vyeo, muonekano, hali ya maisha mfano tajiri, elimu nk.
Kwahiyo mtu akiwa hana hivyo vitu au hali tunamchukulia kawaida sana. Hili ni tatizo!
Huwezi kutoa tafsiri ya kilichoandikwa hapo nasi tucheke kidogo?Duuuh !!
mla kitimoto kishaondoka sasa wanarudiDuu bibi shikamoo,kitambo umepotea Leo Ndio nakuona umeibukia hapa
Hua tunakukumbuka Sana hasa Kwa sisi ambao tunapenda kujifunza miandiko,
Kuna vijana wa hovyo hovyo hua wanaharibu Lugha yetu adhimu
Ukiwa kama Bi kifimbo cheza hua tunathamini uwepo wako!
Karibu!
Mkuu habari za siku nyingiHuwezi kutoa tafsiri ya kilichoandikwa hapo nasi tucheke kidogo?
Bado najaribu kuelewa mbinu mpya ya 'Mnyororo'. Tutazungumza mengi baadae, lakini naona kama muda unapotea haraka sana!Mkuu habari za siku nyingi
Mnyororo ni hatari sana mkuuBado najaribu kuelewa mbinu mpya ya 'Mnyororo'. Tutazungumza mengi baadae, lakini naona kama muda unapotea haraka sana!
Uhatari wake bado sikuuona nilipopotelea. Pengine nilikuwa eneo lisilohusika!Mnyororo ni hatari sana mkuu