ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Aiyaaaaa...Wale wenye R.B na arrest warrant walikua wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanachama zaidi ya milioni 12 kama data za Chadema Digital zinavyoonyesha , kila mmoja atoe elfu 1 tu , au hata robo yake tu watoe elfu 3 huoni hili ni balaa !Uhatari wake bado sikuuona nilipopotelea. Pengine nilikuwa eneo lisilohusika!
Kidogo niliingiwa na hofu kwamba juhudi zenu zinafifia..., lakini inawezekana sikuangalia vizuri. Nipo tayari kushuhudia na kupokea "uhatari" unaousema hapa, kama kutazama kwangu hakukuwa sahihi.
Chifu hangaya Grandson
EeeeHeee, Erythro, hizi propaganda waachie warithi wa Kingunge, au wanaojifanya warithi kama akina 'Johnthebabtist'.Wanachama zaidi ya milioni 12 kama data za Chadema Digital zinavyoonyesha , kila mmoja atoe elfu 1 tu , au hata robo yake tu watoe elfu 3 huoni hili ni balaa !
Nakung'ata sikio , zaidi ya wanachama nusu wa Chadema wamechangia angalau zaidi ya elfu 7 kila mmoja kwenye Join the Chain , hesabu nakuachia wewe mwenyewe , maana taarifa zako za ukali wa hesabu nimedokezwa na anayekufahamu
Mashitaka ya Makonda siyo ya kukamatwa bwanshee. Ndiyo maana anapelekewa wito wa mahakama yeye kama yeye. Ingekuwa ni ya kukamatwa ingetolewa kitu inaitwa arrest warrant na ingekuwa addresses kwa polisi. Hivyo polisi wangekuwa na wajibu wa kumkamata. Usikurupuke kulaumu ujinga.Makonda hayupo wa kumkamata so sad
mungu wa Dar hana walinzi!
Ni bora ajipeleke mwenyewe kwenye kesi yake kabla ya aliowafanyia ubaya kuamua kumalizana naye kimya-kimya kwa njia za kimtaani.Makonda hayupo wa kumkamata so sad
Unavyotoa amri sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Apatiwe barua ya WITO wake wa kwenda Mahakamani haraka sana.
hahahahah Sasa ni zamu ya wakojani au siomla kitimoto kishaondoka sasa wanarudi
yeeeeeee at Nini aaaa wewe Hii Kali mkuu analambita Hadi Papuchie daaa ama wakojani wameshindikanaNdio ukweli wenyewe huo kibibi cha kiarabu nasikia hachagui , mpaka vitoto vya kike anarambita.. mdomo komaaaa..!
Bashite, kwa kutumia cheo chake aliwapora sana watu pesa zao, hasa wafanyabiashara wakubwa wa Dar.
Mtu mwenye akili ndogo, akipewa cheo, matokeo yake ni kama haya. Hata ipite miaka mingapi, kuna siku haki ya aliowaua itasimama. Mungu wetu, muweza wa yote, uovu wa mtu huyu, hasa mauaji, tunaendelea kukuomba, ukawekwe wazi, na awajibike nao.
Asante Sana kijana wangudaaa aisee Babu umekula chumvi kimtindo Mimi Kwako ni mjuu kabisa,
Ila kumhusu Huyo rikiboy tuachana nae maana ukienda kusoma mbinu anazotumia yeye na watu wake kupata malighafi ya kiwanda chake Cha uchakataji Papuchi na Mbususu utaweza uingiwe na tamaa na wewe ukafanya practical Mwishowe ukafa unapambania kombe na vijana,
Tulia ulee wajukuu nakutakia uzee mwema wenye Baraka Ndani yake,
Asante!
Makonda na Ndugai wanatakiwa wawe magereza kitambo snIla jamani nyie ! usiombee watu wakupuuze aiseee !! yaani Makonda ameshiriki msiba utadhani kaingia Dar jana kutoka Kolomije , yaani watu hata kumpa salamu hakuna kabisa ! hii si sawa kabisa , Ama kweli Cheo ni kama koti la kuazima...
Kweli tupu ni zero brainMtu mwenye akili ndogo, akipewa cheo, matokeo yake ni kama haya. Hata ipite miaka mingapi, kuna siku haki ya aliowaua itasimama. Mungu wetu, muweza wa yote, uovu wa mtu huyu, hasa mauaji, tunaendelea kukuomba, ukawekwe wazi, na awajibike nao.
Ukijiheshimu tutakuheshimu tu hakuna namna lakini ukileta dharau tutakudharau, kwani Makonda ni mkuu wa mkoa wa kwanza Tanzania?Tatizo wabongo wengi tumezoea kuwapa watu heshima kwa vyeo, muonekano, hali ya maisha mfano tajiri, elimu nk.
Kwahiyo mtu akiwa hana hivyo vitu au hali tunamchukulia kawaida sana. Hili ni tatizo!