Akutukanaye hakuchagulii Tusi; Mtamtukana sana Chief Hangaya!! Kumbuka tu kuwa unapotukana unawatukanisha wazazi wako!!
Na ndio inatakiwa iwe hivo huwez kuwa huna impact anywhere ukapewa heshima nooop....
Asa huna ela, huna wadhifa nan akuheshimu? Labda mke na watoto wako
Asiyefunzwa na mamaye atakujafunzwa na ulimwengu !!Akutukanaye hakuchagulii Tusi; Mtamtukana sana Chief Hangaya!! Kumbuka tu kuwa unapotukana unawatukanisha wazazi wako!!
Unawashwa sana Mkuu,, nimetukana wapi hapo.. "Chifu hangaya Grandson".. hii sentensi ina tusi lipi..??
Mkuu mahaba yako kwa mwenyekiti wako, tafadhali yasizidi uwezo wa Akili yako.
Wewe ukimpenda kiasi hiko inatosha,, usitake kila mtu amuone kama unavomuona wewe.. na hakuna aliyemtukana Mama..
Jitahidi kupunguza hio miwasho,, na usipoelewa uwe unauliza...
--sio kwa ubaya--
Tafadhari rejea thread #101 utaona kuwa matusi yako ni laana yako!!
Hata wewe unaweza kuitwa mahakamani acha chuki hizo kwa binadamu mwenzakoApatiwe barua ya WITO wake wa kwenda Mahakamani haraka sana.
Hio thread #101 inahusiana vipi na mimi..???? Quote comment ambapo nimetukana acha porojo
Hio tabia unayoleta ndio huwa hatua za mwisho kabisa mtu hupitia kabla hajawa Mchawi kamili...
Laana sio rhumba,, kwamba inakuja kuja tu...
Relax na usikilize mawazo ya watu wengine...
Wewe mse...ge ebu rudi uangalie thread yako #99 uangalie uharo ulioandika pale kama hivyo ndivyo ulivyolelewa na wazazi wako! Kumwita Makonda grandson maana yake nini? Acheni kejeli zenu huyo grandson wa nani mbuzi we!
Ila wewe hivyo kuita watu mbuzi, mse..nge ndio wazazi wako walikufundisha hvo....??..na bado unaamini Laana ina exist.
Naona sasa umeanza kujaa upepo,,, twende taratibu utatukana matusi yote na sikuachi... kama umekasirika sana kunya BoGa.
Grandson tokea lini imekuwa tusi...??... Ukishindwa kuonyesha utimamu wako,, basi jitahidi kuficha Upumbavu wako...
Relax, twende taratibu,... mwishoni tutajua nani atalaaniwa....
Ili wewe kujua kama GRANDSON ni tusi lako la kinyemela au la, soma mtiririko wa hizo thread mpaka wewe ulipoibuka na kumuita Makonda grandson na hapo ndio utajua kama hilo neno ulilitumia kama sifa au tusi!! Usipotambua mpaka hapo utakuwa unadhihirisha upumbavu wako.
Mwisho wa enzi na Cheo ni dhamana! Pambaf.
Hangaya walikuwa wote Chato kwenye kumbukizi tena walipanda flight mojaIle amri ya mahakama vipi?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]kweli uchawi upoHangaya walikuwa wote Chato kwenye kumbukizi tena walipanda flight moja
Ndo maana yake! Unavamia studio usiku saa 6 na askar wenye mitutu,halafu aliyeunda tume kuchunguza uvamizi anatimuliwa kazi na kutishiwa kuuwawa kwa bastora hadharani mchana kweupe.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]kweli uchawi upo
[emoji3][emoji3][emoji3] na wakati mwenzio alishakula mvua 30yrs bado uko mtaani na unashiriki shughuli za kijamii zote pamoja na mahakama kukuwindaNdo maana yake! Unavamia studio usiku saa 6 na askar wenye mitutu,halafu aliyeunda tume kuchunguza uvamizi anatimuliwa kazi na kutishiwa kuuwawa kwa bastora hadharani mchana kweupe.
Aliyekuwa mkurugenzi wa shirika la kijajusi Marekan( CIA) na badae Waziri wa mambo ya nje wa Marekani alisema wazi wewe ni muuwaji( unanyima watu haki ya kuishi) Bado unadunda tu mtaani.[emoji3][emoji3][emoji3] na wakati mwenzio alishakula mvua 30yrs bado uko mtaani na unashiriki shughuli za kijamii zote pamoja na mahakama kukuwinda
Uchawi upo uchawi upoAliyekuwa mkurugenzi wa shirika la kijajusi Marekan( CIA) na badae Waziri wa mambo ya nje wa Marekani alisema wazi wewe ni muuwaji( unanyima watu haki ya kuishi) Bado unadunda tu mtaani.