alaksh natena
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 462
- 523
Video zenye utata miaka yote zinakua low quality na fupi. Hata videos za UFO,aliens na hao nguva. Dunia inavitu very interesting sana angalia NAT GEO World utajua.Na sijajua Kwa nini wamerusha kipande kifupi Sana cha video. Hii itakuwa ni drama tuu
Labda alitaka kusema ni wa majini🤣🤣🤣 akasahau kuandika waKwa hiyo jinni limekamatwa?
Mbona naona kama amenyang'anywa suruali!! Si kumdhalilisha huko kweli!?
Mbona naona kama amenyang'anywa suruali!! Si kumdhalilisha huko kweli!?
mami wat
Sijakuelewa Boss
Ulitaka awe na upara ?[emoji3]
sio kwamba ndio yeye ila nimefananisha tu
Ma game changer wako kazini kuzima mchongo wa wese
Karibu hapa Whitecap bay... Ukiimba kidogo tu wanakuja.