Kukosa hayo sio sababu ya kufanya huo uchafu. Kma hamu yke kubwa ni hyo awe huru tu kwa mwenzie, amfahamishe anachokipenda issiwe tu kinyume na asili na sio kugawa mechi njehuyo itakuwa kapata fundi anayejua kumnyonya papuchi. Mumewe sianajifanya anakinyaa analeta na ulokole kitandani akati ni mkewe.
Kaaangalie connection ya amber lulu🤣🤣🤣akicheza chumbaniVideo iko wapi tuithaminishe
Ova
UpwekeHivi kwanini watu wanapenda kuoa? Maisha ya kibachela yako poa sana, tunakula vinono sawa na wanandoa
Mods pin Hii comment juu kabisa.Video iko wapi tuithaminishe
Ova
Na kama kuna audio je?😊Ahaa we jamaaa wewe,kama hakuna sura au mwili ni nyeti hakuna kesi hapo bloo anakuruka mchana kweupe,
Labda kuwe na audio kidogo utashawishi na kumfanya kibatala akune kichwaNa kama kuna audio je?😊
Wote mpaka mama yako? Au huyo tunamtoa?wanawake ni watu wajinga sana
Get cheated!! Mwanamke hata umpakie vumbi la kongo haisaidii!! Mapenzi sio pesa wala kupeleka Moto!! Kuna kitu zaidi ya hicho mkuu,
Unaweza kunisaidia hiyo spy app tafadhaliHuyo jamaa asimtumie kwanza mkewe hiyo video ingawa hiyo ni step ya pili.
Step ya kwanza ainstall spy app kwenye simu ya mkewe, itakayomuonyesha meseji zote za whatsapp, fb na social media, meseji za kawaida na normal calls.
Halafu asubiri hata wiki kama kupata ushahidi zaidi. Baada ya huo muda sasa, akishajiridhisha kwamba mkewe sio mwaminifu anaweza akamkamata na kumpa vithibitisho vyote, then apige kimya ( hapa uwe kidume kweli). Unamtumia ushahidi wote kwa simu yake
Ungetumia uwezo huu shule kukariri ungekuwa ProfesaUmeoa? Mimi hata zitapangwa sehemu za Siri miamoja na za Mke wangu ziwekwe, nitazitambua tu za Mke wangu!!
Mkuu Umejuaje kuwa Mimi sio profesa? Kwani msomi pekee Tanzania Ni profesa? Kwani profesa anamuzidi nini mtu asiye profesa?Ungetumia uwezo huu shule kukariri ungekuwa Profesa
Kitu gani hicho zaidi ?Get cheated!! Mwanamke hata umpakie vumbi la kongo haisaidii!! Mapenzi sio pesa wala kupeleka Moto!! Kuna kitu zaidi ya hicho mkuu,
Ungetumia uwezo huu shule kukariri ungekuwaUmeoa? Mimi hata zitapangwa sehemu za Siri miamoja na za Mke wangu ziwekwe, nitazitambua tu za Mke wangu!!
Kucheza huo mchezo tayari inatilia shaka kuwa ni profesa na hata kushika simu ya mwenzako kwa muda inaonyesha mlikuwa grocery ya mzee Kipele pale Ngwasuma.Cha msingi acha hasira, vuta subira utapata ushahidi zaidi kama mkeo ni mwaminifu au la LAKINI jiulize wewe ni mwaminifu kama sio wewe potezea ila ukiona imezidi kafungue shauri la talaka.Mkuu Umejuaje kuwa Mimi sio profesa? Kwani msomi pekee Tanzania Ni profesa? Kwani profesa anamuzidi nini mtu asiye profesa?
Zaidi asee ....lilivyokuwa nawatafuna nikiwa bacha sio kama sasa nimefungwaHivi kwanini watu wanapenda kuoa? Maisha ya kibachela yako poa sana, tunakula vinono sawa na wanandoa