Vifaa vya kuona usiku vya kizazi cha tatu vya Marekani aina ya ENVG-B vinatumika na vikosi maalum vya Ukraine

Vifaa vya kuona usiku vya kizazi cha tatu vya Marekani aina ya ENVG-B vinatumika na vikosi maalum vya Ukraine

Wakazime MOTO Palestina mungu yupo pamoja nao inafikilisha sana kujua marekani kapeleka matani ya maboom kuangamiza mji wa GAZA mungu mkuu akawapa upepo na MOTO SIKU CHACHE TU umeangamiza msjumba yakifahari ya mabilion ya DOLLAR misikiti imevumjwa mingi GAZA MOTO UMEVUNJA MAKANISA LUKUKI marekani yani unaambiwa kila kitu kilichotokea GAZA uko marekani kimetokea mala 3 yake mungu mkubwa ingekuwa ni upande wa pili awa jehova wange sumbua sana lkn mungu fundi mungu ni mkubwa kimyaaaaa jehova kelele propaganda wenyewe wanajiuliza inawezekanaje!!!
Toa ujinga wako hapa ,kwahio wale watu wakatesh ilivotokea mafuriko wao wana dhambi gani?
 
Wakazime MOTO Palestina mungu yupo pamoja nao inafikilisha sana kujua marekani kapeleka matani ya maboom kuangamiza mji wa GAZA mungu mkuu akawapa upepo na MOTO SIKU CHACHE TU umeangamiza msjumba yakifahari ya mabilion ya DOLLAR misikiti imevumjwa mingi GAZA MOTO UMEVUNJA MAKANISA LUKUKI marekani yani unaambiwa kila kitu kilichotokea GAZA uko marekani kimetokea mala 3 yake mungu mkubwa ingekuwa ni upande wa pili awa jehova wange sumbua sana lkn mungu fundi mungu ni mkubwa kimyaaaaa jehova kelele propaganda wenyewe wanajiuliza inawezekanaje!!!
Sishabikii vita lakini umeandika ujinga , Sasa badala asitishe vita aingilie vita isitishwe anaenda kuchoma kipande tu sehemu ya Marekani na anawaua raia wasio na hatia !! Hao wote waliokufa kwa ajili ya moto hawana influence yeyote kwenye serikali ya marekani ! Anaacha kwenda kuchoma Pentagone au White house anachoma makazi ! 🤣🤣 Tuache ubabaishaji kwenye mambo ya msingi bhana
Haya tuambieni Maporomoko ya Udongo Manyara ? Kuanguka kwa jengo Kariakoo, Tetemeko la aridhi uturuki , Tsunami ! Kupotea kwa ndege ya Malysia.
 
Wakazime MOTO Palestina mungu yupo pamoja nao inafikilisha sana kujua marekani kapeleka matani ya maboom kuangamiza mji wa GAZA mungu mkuu akawapa upepo na MOTO SIKU CHACHE TU umeangamiza msjumba yakifahari ya mabilion ya DOLLAR misikiti imevumjwa mingi GAZA MOTO UMEVUNJA MAKANISA LUKUKI marekani yani unaambiwa kila kitu kilichotokea GAZA uko marekani kimetokea mala 3 yake mungu mkubwa ingekuwa ni upande wa pili awa jehova wange sumbua sana lkn mungu fundi mungu ni mkubwa kimyaaaaa jehova kelele propaganda wenyewe wanajiuliza inawezekanaje!!!
Huna akili wewe unajiona msafi na mtakatifu kumbe kafiri mkubwa kuliko, unatuandikia ushuzi tu hapa
 
View attachment 3205236"AN/PSQ-42 Enhanced Night Vision Binocular (ENVG-B) ni kifaa cha kuona usiku cha kizazi cha tatu (kisichotoa mwanga) kilichoandaliwa kwa ajili ya Jeshi la Marekani. ENVG-B mpya na FWS-Is zinawaruhusu askari kufanya uchunguzi wakati wa operesheni za mchana na usiku, pamoja na uwezo wa kuona kote kona au vikwazo vingine kwa kutumia mfumo mpya wa teknolojia."

Hapa ndugu zangu tusijiulize Sana kwanini urusi inapoteza wanajeshi wengi kuliko Ukraine Issue ni wenzao wako mbele sana
Urusi anavyo kitambo sana mkuu, rudi kafanye tafiti
 
Hiyo teknolojia mimi binafsi nimeifahamu mwaka 2000, kuna mawani tena Africa kusini inauzwa hadi Tsh 700k tu, ukivaa usiku wa giza kabisaa unaendesha gari vizuri bila kuwasha taa na hadi mashimo unayaona, sio teknolojia mpya hi mkuu, long time sana ipo. Hata watu binafsi wapo wana nunua, kawaida sana tu.
 
Nadhani ni advanced ya thermo image, ina detect kwa heat, na ndio maana binadamu au kiumbe chochote chenye joto kuna kama red, na miti black.
Hiyo sio kama ni too advanced kama mleta mada ulivyo hype.
 
Wakazime MOTO Palestina mungu yupo pamoja nao inafikilisha sana kujua marekani kapeleka matani ya maboom kuangamiza mji wa GAZA mungu mkuu akawapa upepo na MOTO SIKU CHACHE TU umeangamiza msjumba yakifahari ya mabilion ya DOLLAR misikiti imevumjwa mingi GAZA MOTO UMEVUNJA MAKANISA LUKUKI marekani yani unaambiwa kila kitu kilichotokea GAZA uko marekani kimetokea mala 3 yake mungu mkubwa ingekuwa ni upande wa pili awa jehova wange sumbua sana lkn mungu fundi mungu ni mkubwa kimyaaaaa jehova kelele propaganda wenyewe wanajiuliza inawezekanaje!!!
ila wavaa kobazic😂😂
 
View attachment 3205236"AN/PSQ-42 Enhanced Night Vision Binocular (ENVG-B) ni kifaa cha kuona usiku cha kizazi cha tatu (kisichotoa mwanga) kilichoandaliwa kwa ajili ya Jeshi la Marekani. ENVG-B mpya na FWS-Is zinawaruhusu askari kufanya uchunguzi wakati wa operesheni za mchana na usiku, pamoja na uwezo wa kuona kote kona au vikwazo vingine kwa kutumia mfumo mpya wa teknolojia."

Hapa ndugu zangu tusijiulize Sana kwanini urusi inapoteza wanajeshi wengi kuliko Ukraine Issue ni wenzao wako mbele sana
Ukiwa hauna hivyo viona usiku, ni rahisi sana kukamatwa kama kuku ama kuchinjwa kwa mtindo wowote.
 
Nadhani ni advanced ya thermo image, ina detect kwa heat, na ndio maana binadamu au kiumbe chochote chenye joto kuna kama red, na miti black.
Hiyo sio kama ni too advanced kama mleta mada ulivyo hype.
Sasa tukisema 5th generation aircraft haimanishi kwamba ni ndege mpya bali ni ndege zenye advanced tech ivo ..haimaanishi thermal imaging binoculars hazikuwepo bali hizi ni advanced kila mtu anajua thermal imaging zilivo ila hamna yenye uwezo huuu do you get the point brother
 
Atakuwa ama ameanza kufatilia haya mambo juzi au ni mtoto wa juzi.
Wakati wa vita vya ghuba marekani aliwahi kumlalamikia mrusi kwa kuwapa hiyo miwani askari wa irak .
Ushaambiwa hizi ni next gen hata hapo Ukraine ziko kwenye testing hazijawa officiated , maana hata ma ranger wa ngoro ngoro wana night vision binoculars
 
Hiyo teknolojia mimi binafsi nimeifahamu mwaka 2000, kuna mawani tena Africa kusini inauzwa hadi Tsh 700k tu, ukivaa usiku wa giza kabisaa unaendesha gari vizuri bila kuwasha taa na hadi mashimo unayaona, sio teknolojia mpya hi mkuu, long time sana ipo. Hata watu binafsi wapo wana nunua, kawaida sana tu.
Nanj kasema ni technolojia mpya maana mi najua hata ma ranger wa pale ngoro ngoro wanazo za kuonea usiku .. umeambiwa hii ni next gen elewa next gen maanake nini
 
Huko kurkus Kila siku Putin kijasho kinamtoka
Hivi vurugu za Kursk bado zinaendelea? Putin kama anashindwa kuwatoa hao wanajeshi ndani kwake anapata wapi ujasiri wa kwenda kuvamia nje?
 
Back
Top Bottom