Vifaa vya kuona usiku vya kizazi cha tatu vya Marekani aina ya ENVG-B vinatumika na vikosi maalum vya Ukraine

Vifaa vya kuona usiku vya kizazi cha tatu vya Marekani aina ya ENVG-B vinatumika na vikosi maalum vya Ukraine

Endelea kuamini unachoamin ila Putin anataka mazungumzo na Trump juu ya kumaliza mapigano amechoka na vita we endelea kumbwela mbwela
Hehe kwenye hayo mazungumzo kuna kipande cha ardhi cha Ukraine kitarudi? Kuna ambacho wameweza kurudisha? Maana baada ya hayo mazungumzo kule walipojichanganya kuingia upande wa urusi watatemeshwa kibungo, Trump anamalizana na mrusi aende aka deal na waarabu middle east......na Mrusi hatakubali kuachia maeneo aliyoyachukua tayari inakua kama crimea tu picha linaishia hapo
 
Wakazime MOTO Palestina mungu yupo pamoja nao inafikilisha sana kujua marekani kapeleka matani ya maboom kuangamiza mji wa GAZA mungu mkuu akawapa upepo na MOTO SIKU CHACHE TU umeangamiza msjumba yakifahari ya mabilion ya DOLLAR misikiti imevumjwa mingi GAZA MOTO UMEVUNJA MAKANISA LUKUKI marekani yani unaambiwa kila kitu kilichotokea GAZA uko marekani kimetokea mala 3 yake mungu mkubwa ingekuwa ni upande wa pili awa jehova wange sumbua sana lkn mungu fundi mungu ni mkubwa kimyaaaaa jehova kelele propaganda wenyewe wanajiuliza inawezekanaje!!!
Toka hapa mfia dini ,Ila amesahau wafrika wenzako,Somalia,Congo etc
 
Wakazime MOTO Palestina mungu yupo pamoja nao inafikilisha sana kujua marekani kapeleka matani ya maboom kuangamiza mji wa GAZA mungu mkuu akawapa upepo na MOTO SIKU CHACHE TU umeangamiza msjumba yakifahari ya mabilion ya DOLLAR misikiti imevumjwa mingi GAZA MOTO UMEVUNJA MAKANISA LUKUKI marekani yani unaambiwa kila kitu kilichotokea GAZA uko marekani kimetokea mala 3 yake mungu mkubwa ingekuwa ni upande wa pili awa jehova wange sumbua sana lkn mungu fundi mungu ni mkubwa kimyaaaaa jehova kelele propaganda wenyewe wanajiuliza inawezekanaje!!!
Moto haukutokana na hao wajinga wa hamas. Wenyewe walifanya kufuru ya kupiga kura na kutangaza Mungu atoke kwenye mji wao sababu ya kukosa kura. Kesho yake Moto umewaka .mbona amtangazi nyumba ambazo hazijawaka moto
 
Hehe kwenye hayo mazungumzo kuna kipande cha ardhi cha Ukraine kitarudi? Kuna ambacho wameweza kurudisha? Maana baada ya hayo mazungumzo kule walipojichanganya kuingia upande wa urusi watatemeshwa kibungo, Trump anamalizana na mrusi aende aka deal na waarabu middle east......na Mrusi hatakubali kuachia maeneo aliyoyachukua tayari inakua kama crimea tu picha linaishia hapo
Ok
 
Wakazime MOTO Palestina mungu yupo pamoja nao inafikilisha sana kujua marekani kapeleka matani ya maboom kuangamiza mji wa GAZA mungu mkuu akawapa upepo na MOTO SIKU CHACHE TU umeangamiza msjumba yakifahari ya mabilion ya DOLLAR misikiti imevumjwa mingi GAZA MOTO UMEVUNJA MAKANISA LUKUKI marekani yani unaambiwa kila kitu kilichotokea GAZA uko marekani kimetokea mala 3 yake mungu mkubwa ingekuwa ni upande wa pili awa jehova wange sumbua sana lkn mungu fundi mungu ni mkubwa kimyaaaaa jehova kelele propaganda wenyewe wanajiuliza inawezekanaje!!!
Akili ndogo sana hii!Kwa akili yako ndogo unadhani Marekani ni taifa la kikristo!Mkiambiwa msome mnakimbilia madrasa.Halafu,dunia nzima inajua kuwa Gaza imechakazwa na Israel na sio Marekani.Sasa kama kweli mungu wako allah ndo kalipa kisasi si angeichoma Tel Aviv?Kaogopa nini?Upigwe na Israel,ukaichome Marekani,akili au matope!Ili tuamini mungu wako ndo kaichoma Los Angeles basi aichome Tel Aviv.Haya tufanye kaichoma mungu wenu;Kama umeona kuna kanisa la SDA limezungukwa na moto lakini halijaungua hata kidogo,Sasa huyo mungu wenu mwenye chuki na wakristo aliache kanisa!!Hilo halipo.Na wewe unalijua hili.Los Angeles imechomwa na MUNGU,lakini sio mungu wenu.YEHOVA ameichoma LOS ANGELES sio kwa sababu ya Gaza.Ingekuwa kwa sababu ya Gaza basi angeichoma TEL AVIV,na asingebakisha kanisa lolote pale Los Angeles.YEHOVA.Ameichoma LOS ANGELES kwa sababu ya kufuru yao.Kama uliangalia Super Stars Event iliyofanyika siku moja kabla ya mlipuko wa moto utaelewa ninachosema.mungu wenu hana uwezo hata wa kuchoma kibanda.Kama unabisha mwambie aichome TEL AVIV sote tutajua ameichoma mungu wenu(kitu ambacho hakitaweza kutokea).YEHOVA hawezi kuruhusu hilo.Anajua akili zenu.Hapo kuna battle Kali kati ya mungu wenu na YEHOVA.Akiruhusu hilo atakuwa amejiondolea utukufu wake.Sina maana Israel ni nchi takatifu no.Hawana utakatifu wowote.Ila kwa sababu anajua akili zenu,analazimika kuilinda ili ibilisi(mungu wenu) asijiinue.Ni hilo tu.Ila mkitubu,mkamkubali YEHOVA na mkaziishi amri zake na Imani ya Yesu,ataiangamiza TEL AVIV.Maana ntakuwa mnamtukuza YEHOVA kwa kuwapigania badala ya mungu wenu,so utukufu utamrudia YEHOVA.Maana Israeli hii ya leo haiiishi Sheria ya MUNGU.Inalindwa kwa sababu YEHOVA anataka kujitukuza mbele yenu tu ili asitukanwe na makafiri.
 
Akili ndogo sana hii!Kwa akili yako ndogo unadhani Marekani ni taifa la kikristo!Mkiambiwa msome mnakimbilia madrasa.Halafu,dunia nzima inajua kuwa Gaza imechakazwa na Israel na sio Marekani.Sasa kama kweli mungu wako allah ndo kalipa kisasi si angeichoma Tel Aviv?Kaogopa nini?Upigwe na Israel,ukaichome Marekani,akili au matope!Ili tuamini mungu wako ndo kaichoma Los Angeles basi aichome Tel Aviv.Haya tufanye kaichoma mungu wenu;Kama umeona kuna kanisa la SDA limezungukwa na moto lakini halijaungua hata kidogo,Sasa huyo mungu wenu mwenye chuki na wakristo aliache kanisa!!Hilo halipo.Na wewe unalijua hili.Los Angeles imechomwa na MUNGU,lakini sio mungu wenu.YEHOVA ameichoma LOS ANGELES sio kwa sababu ya Gaza.Ingekuwa kwa sababu ya Gaza basi angeichoma TEL AVIV,na asingebakisha kanisa lolote pale Los Angeles.YEHOVA.Ameichoma LOS ANGELES kwa sababu ya kufuru yao.Kama uliangalia Super Stars Event iliyofanyika siku moja kabla ya mlipuko wa moto utaelewa ninachosema.mungu wenu hana uwezo hata wa kuchoma kibanda.Kama unabisha mwambie aichome TEL AVIV sote tutajua ameichoma mungu wenu(kitu ambacho hakitaweza kutokea).YEHOVA hawezi kuruhusu hilo.Anajua akili zenu.Hapo kuna battle Kali kati ya mungu wenu na YEHOVA.Akiruhusu hilo atakuwa amejiondolea utukufu wake.Sina maana Israel ni nchi takatifu no.Hawana utakatifu wowote.Ila kwa sababu anajua akili zenu,analazimika kuilinda ili ibilisi(mungu wenu) asijiinue.Ni hilo tu.Ila mkitubu,mkamkubali YEHOVA na mkaziishi amri zake na Imani ya Yesu,ataiangamiza TEL AVIV.Maana ntakuwa mnamtukuza YEHOVA kwa kuwapigania badala ya mungu wenu,so utukufu utamrudia YEHOVA.Maana Israeli hii ya leo haiiishi Sheria ya MUNGU.Inalindwa kwa sababu YEHOVA anataka kujitukuza mbele yenu tu ili asitukanwe na makafiri.
Mungu akubariki sana mtumishi kwa ujumbe wako 🙏🙏 si kila tukio basi mungu ameliruhusu au kulifanya mengine yanasababishwa na shetani au binadamu wenyewe au yanakuwa ya asili,sasa kobazi wenyewe kila tukio ni Allah amefanya kuwaadhibu wasio waislam as if wenyewe ni watakatifu na wenye haki kuliko wengine wakati huko middle east kwenye waislam wengi kila siku ni kuuwana na vita mtindo mmoja ila hautasikia kama ni Allah ndio anayefanya,kifupi ni hawajui wanacho kuabudu au kukiamini.
 
Back
Top Bottom