Vifaa vya kuona usiku vya kizazi cha tatu vya Marekani aina ya ENVG-B vinatumika na vikosi maalum vya Ukraine

Vifaa vya kuona usiku vya kizazi cha tatu vya Marekani aina ya ENVG-B vinatumika na vikosi maalum vya Ukraine

View attachment 3205236"AN/PSQ-42 Enhanced Night Vision Binocular (ENVG-B) ni kifaa cha kuona usiku cha kizazi cha tatu (kisichotoa mwanga) kilichoandaliwa kwa ajili ya Jeshi la Marekani. ENVG-B mpya na FWS-Is zinawaruhusu askari kufanya uchunguzi wakati wa operesheni za mchana na usiku, pamoja na uwezo wa kuona kote kona au vikwazo vingine kwa kutumia mfumo mpya wa teknolojia."

Hapa ndugu zangu tusijiulize Sana kwanini urusi inapoteza wanajeshi wengi kuliko Ukraine Issue ni wenzao wako mbele sana
Kwa hiyo unadhani Russia wao hawana hivyo vifaa?
 
Mleta mada unafatilia media zenye propaganda za West sio?
Nlikuwa nasubiri comment ya ivi 🤣🤣 . Nlikuwa najiuliza kwahio kila mtu anaye comment hapa ana akili ( except yule mmoja aliyesema kuhusu moto wa LA ni adhabu ya mungu ) ..kumbe kuna kilaza mwingine mmoja alikuwa kalala ndo kaamka ..
 
Nlikuwa nasubiri comment ya ivi 🤣🤣 . Nlikuwa najiuliza kwahio kila mtu anaye comment hapa ana akili ( except yule mmoja aliyesema kuhusu moto wa LA ni adhabu ya mungu ) ..kumbe kuna kilaza mwingine mmoja alikuwa kalala ndo kaamka ..
Bishana kwa hoja basi usilete utoto hapa nikikuuliza source ya takwimu za mauaji kati ya jeshi la Urusi na Ukraine utaniambia umeipata wapi? Halafu next time usijifanye mjuaji wakati ni kilaza sana.
 
Bishana kwa hoja basi usilete utoto hapa nikikuuliza source ya takwimu za mauaji kati ya jeshi la Urusi na Ukraine utaniambia umeipata wapi? Halafu next time usijifanye mjuaji wakati ni kilaza sana.
Ulileta hoja Nikakataa kukujibu? Kati ya mimi na wewe nani analeta utoto sasa
 
View attachment 3205236"AN/PSQ-42 Enhanced Night Vision Binocular (ENVG-B) ni kifaa cha kuona usiku cha kizazi cha tatu (kisichotoa mwanga) kilichoandaliwa kwa ajili ya Jeshi la Marekani. ENVG-B mpya na FWS-Is zinawaruhusu askari kufanya uchunguzi wakati wa operesheni za mchana na usiku, pamoja na uwezo wa kuona kote kona au vikwazo vingine kwa kutumia mfumo mpya wa teknolojia."

Hapa ndugu zangu tusijiulize Sana kwanini urusi inapoteza wanajeshi wengi kuliko Ukraine Issue ni wenzao wako mbele sana
Wakati Jeshi la Marekani linafanya tafiti nyingi za kisayansi ili kuweza kugundua zana mpya za kisasa za kijeshi huku Jeshi letu likifanya mazoezi ya kupasuliana matofali vifuani eti wakijinasibu kwamba wanaliandaa Jeshi kuwa imara katika medani za kivita!
 
View attachment 3205236"AN/PSQ-42 Enhanced Night Vision Binocular (ENVG-B) ni kifaa cha kuona usiku cha kizazi cha tatu (kisichotoa mwanga) kilichoandaliwa kwa ajili ya Jeshi la Marekani. ENVG-B mpya na FWS-Is zinawaruhusu askari kufanya uchunguzi wakati wa operesheni za mchana na usiku, pamoja na uwezo wa kuona kote kona au vikwazo vingine kwa kutumia mfumo mpya wa teknolojia."

Hapa ndugu zangu tusijiulize Sana kwanini urusi inapoteza wanajeshi wengi kuliko Ukraine Issue ni wenzao wako mbele sana
Watanzania waende pia wakasomee Jamani, au tulipigana vita ya Kagera inatosha 😜😜
 
Wakati Jeshi la Marekani linafanya tafiti nyingi za kisayansi ili kuweza kugundua zana mpya za kisasa za kijeshi huku Jeshi letu likifanya mazoezi ya kupasuliana matofali vifuani eti wakijinasibu kwamba wanaliandaa Jeshi kuwa imara katika medani za kivita!
Utajuaje kama tuna nguvu 🤣🤣 bila kupasua tofali kwa mkono 🤣🤣
 
Unaelewa maana ya 3rd generation ? Maanaka kuna first second na 3rd sasa unaongelea miaka ya 90 na tupo 2025 mda mwingine uwe unasoma unaelewa kilicho andikwa kwanza
Wewe ndio huelewi bro; uzi unaonesha kwamba Russia anapoteza askari wengi kwasababu vifaa vinavyo tumika na Ukraine from USA, Russia havijui. Sasa hiyo 3rd generation si ni modified, au? Tu assume kwamba msemaji yupo sahihi, Russia kashindwaje kutumia technology ya zamani hiyo ya miaka ya 90 na mwanzoni mwa miaka ya 2000? Mleta uzi anaonesha kama hiyo 3rd generation is something new to Russia, ndio ubishi wetu ulipoanzia.
 
Wewe ndio huelewi bro; uzi unaonesha kwamba Russia anapoteza askari wengi kwasababu vifaa vinavyo tumika na Ukraine from USA, Russia havijui. Sasa hiyo 3rd generation si ni modified, au? Tu assume kwamba msemaji yupo sahihi, Russia kashindwaje kutumia technology ya zamani hiyo ya miaka ya 90 na mwanzoni mwa miaka ya 2000? Mleta uzi anaonesha kama hiyo 3rd generation is something new to Russia, ndio ubishi wetu ulipoanzia.
 
View attachment 3205236"AN/PSQ-42 Enhanced Night Vision Binocular (ENVG-B) ni kifaa cha kuona usiku cha kizazi cha tatu (kisichotoa mwanga) kilichoandaliwa kwa ajili ya Jeshi la Marekani. ENVG-B mpya na FWS-Is zinawaruhusu askari kufanya uchunguzi wakati wa operesheni za mchana na usiku, pamoja na uwezo wa kuona kote kona au vikwazo vingine kwa kutumia mfumo mpya wa teknolojia."

Hapa ndugu zangu tusijiulize Sana kwanini urusi inapoteza wanajeshi wengi kuliko Ukraine Issue ni wenzao wako mbele sana
Umelewa viroba
 
Huajona video hiyo?
Haha hata wakina faiza foxy wanaletaga kikubwa kwa sasa kila mtu anaenda na vyombo vya propaganda za upande wake....kwahio hata ukiniwekea video yako inaweza kua bado haina ushawishi kwangu au hata nikikuletea yangu hutokubaliana nayo............shida watu akili za kubet na simba na yanga zinahamia hadi kwenye hizi mada
 
Haha hata wakina faiza foxy wanaletaga kikubwa kwa sasa kila mtu anaenda na vyombo vya propaganda za upande wake....kwahio hata ukiniwekea video yako inaweza kua bado haina ushawishi kwangu au hata nikikuletea yangu hutokubaliana nayo............shida watu akili za kubet na simba na yanga zinahamia hadi kwenye hizi mada
Endelea kuamini unachoamin ila Putin anataka mazungumzo na Trump juu ya kumaliza mapigano amechoka na vita we endelea kumbwela mbwela
 
Back
Top Bottom