Vifaa vya kuona usiku vya kizazi cha tatu vya Marekani aina ya ENVG-B vinatumika na vikosi maalum vya Ukraine

Vifaa vya kuona usiku vya kizazi cha tatu vya Marekani aina ya ENVG-B vinatumika na vikosi maalum vya Ukraine

Nanj kasema ni technolojia mpya maana mi najua hata ma ranger wa pale ngoro ngoro wanazo za kuonea usiku .. umeambiwa hii ni next gen elewa next gen maanake nini
Huwezi kumlinganisha za ngorongoro na zinazotumika vitani, Kama wakati wa ghuba zilikuwrpo kwanini zisiwepo Sasa hivi.
Kila kifaa cha kivita kinaboredhwa swala la kuboredha halihusu miwani peke yake.
 
Wakazime MOTO Palestina mungu yupo pamoja nao inafikilisha sana kujua marekani kapeleka matani ya maboom kuangamiza mji wa GAZA mungu mkuu akawapa upepo na MOTO SIKU CHACHE TU umeangamiza msjumba yakifahari ya mabilion ya DOLLAR misikiti imevumjwa mingi GAZA MOTO UMEVUNJA MAKANISA LUKUKI marekani yani unaambiwa kila kitu kilichotokea GAZA uko marekani kimetokea mala 3 yake mungu mkubwa ingekuwa ni upande wa pili awa jehova wange sumbua sana lkn mungu fundi mungu ni mkubwa kimyaaaaa jehova kelele propaganda wenyewe wanajiuliza inawezekanaje!!!
Shekhe kuandika kwenyewe shughuli ndo madhara ya kuishia la 4B na kwenda madrassul una tuandikia maushuzi tu hapa emb nenda katawadhe uko!!..
 
Nanj kasema ni technolojia mpya maana mi najua hata ma ranger wa pale ngoro ngoro wanazo za kuonea usiku .. umeambiwa hii ni next gen elewa next gen maanake nini
Sasa ma Range wa Ngorongoro wawe navyo vifaa hivo halafu Urusi asiwe navyo? Huoni kama hata wewe unapingana na mleta UZI?
 
Hivi vurugu za Kursk bado zinaendelea? Putin kama anashindwa kuwatoa hao wanajeshi ndani kwake anapata wapi ujasiri wa kwenda kuvamia nje?
Jeshi la Rasia ni dhaifu hawawezi pigana two fronts
 
Jeshi la Rasia ni dhaifu hawawezi pigana two fronts
Du. Kwamba jeshi la Rasia ni dhaifu? Vita zote walizo anzisha wamefanikiwa, wamerudisha Georgia, wameirudisha Crimea, majimbo yote ya Ukraine yaliotekwa nao, hakuna hata moja lililorudi Ukraine, ni kigezo gani kimetumika kuiona "Rasia" ni dhaifu?
 
Atakuwa ama ameanza kufatilia haya mambo juzi au ni mtoto wa juzi.
Wakati wa vita vya ghuba marekani aliwahi kumlalamikia mrusi kwa kuwapa hiyo miwani askari wa irak .
Unajua hadi nimeogopa nilivo usoma uzi hu; JF ina watoto wengi sana wallah. Imagine, vita vya Ghuba USA aliilalamikia Russia tena miaka ya 90 mwanzoni, wakati ule Russia ilikua imetetereka sana, ililalamikiwa kwa hilo la hizo infra red na uboreshaji wa mabomu ya SCUD. Hawa vijana sijui story zingine wanapataga wapi yaani
 
Sasa mimi na wewe nani anayeota?

Ukraine mpaka sasa amerudisha eneo gani?

Counteroffensive ipi ya Ukraine mpaka sasa hivi yenye manufaa tangu walipoanza kupigana na Russia?
mpk mwaka 1942 Urusi alikuwa anapumuliwa ndan ya mipaka yake je matokeo yalikuwaj mwaka 1945? Bado vita inaendelea tuliza mshono
 
Mrusi ana masifa sana tungeshajua kitambo kwamba ipo .unajua kwanini wa northkorea kule kursk wanapukutika .wanakutana na vifaa vya kisasa vya kivita
Mwaka wa Gulf war 1990s USA iliilaumu Urusi kua inaipa Iraq mawani za kuona usiku.ndio maana Iraq inaweza kuwaona wanajeshi wa USA na washirika wake.
Huu ni ushahidi kua Urusi ana mawani hizo toka miaka ya 1980s
 
Mwaka wa Gulf war 1990s USA iliilaumu Urusi kua inaipa Iraq mawani za kuona usiku.ndio maana Iraq inaweza kuwaona wanajeshi wa USA na washirika wake.
Huu ni ushahidi kua Urusi ana mawani hizo toka miaka ya 1980s
Hivi mnaelewa maana ya 3rd generation maanake kuna first second na hii ni 3rd
 
Unajua hadi nimeogopa nilivo usoma uzi hu; JF ina watoto wengi sana wallah. Imagine, vita vya Ghuba USA aliilalamikia Russia tena miaka ya 90 mwanzoni, wakati ule Russia ilikua imetetereka sana, ililalamikiwa kwa hilo la hizo infra red na uboreshaji wa mabomu ya SCUD. Hawa vijana sijui story zingine wanapataga wapi yaani
Unaelewa maana ya 3rd generation ? Maanaka kuna first second na 3rd sasa unaongelea miaka ya 90 na tupo 2025 mda mwingine uwe unasoma unaelewa kilicho andikwa kwanza
 
Sasa tukisema 5th generation aircraft haimanishi kwamba ni ndege mpya bali ni ndege zenye advanced tech ivo ..haimaanishi thermal imaging binoculars hazikuwepo bali hizi ni advanced kila mtu anajua thermal imaging zilivo ila hamna yenye uwezo huuu do you get the point brother
Nenda kwanza ka google kuhusu thermo image goggles mkuu
 
Mrusi ana masifa sana tungeshajua kitambo kwamba ipo .unajua kwanini wa northkorea kule kursk wanapukutika .wanakutana na vifaa vya kisasa vya kivita
Kwahiyo mwanangu hiyo night vision binoculars unahisi hakuna aliyenazo zaidi ya US?
 
We ndo ukasome naona unaleta ujuaji mwingi

Wikipedia ni open source, hata wewe unaweza kuandika mkuu
Kwa sababu kaandika mwandishi kutumiwa na army hamaanishi ndio kuwa advanced, na unapo google kutumia multiple source,
Tech, ila tofauti ya tech na Civilian ni kwa sababu ya software au kuongeza au kupunguza vitu
 
Unaelewa maana ya 3rd generation ? Maanaka kuna first second na 3rd sasa unaongelea miaka ya 90 na tupo 2025 mda mwingine uwe unasoma unaelewa kilicho andikwa kwanza

Huwezi sema taifa kama hilo kuzidiwa kivita kwa sababu ya night vision goggles...

Hizo 3rd generation night vision unaweza kuelezea ni vitu gani vya kipekee vipo ambapo goggles za majeshi mengine hazipo...?


Kwa maana hata jeshi la Russia wana gogggles zao za kijeshi ambazo ni 3rd gen, zimetengenezwa kuangalia kwenye total completely dark...

Hizo unazosema za US jamaa yupo sahihi zinauzwa kwenye sites nyingi tu, nahisi ndizo hizo AN/PSQ-20... ambazo bei ina range usd 10,0000-15,000.
Screenshot 2025-01-19 103516.png



Hata hizo za Russians zinauzwa pia kwenye sites nyingi
Screenshot 2025-01-19 103749.png


, huwezi sema watu wamerusha satellite 1950s kabla ya US, wanatengeneza mifumo complex ya kulinda anga kama s-400/s-500, wanatengeneza fighters kama sukhoi su, wanatengeneza bombers na ndege kubwa, wana tech za ku enrich uranium, wanatengeneza drones n.k kwamba watashindwa tengeneza miwani.

Russia wana sattelite navigation system yao inaitwa GLONASS, USA wanayo GPS, China wa BeiDou, Ulaya wana GALILEO....

Ulimwengu mzima kuna global satellite navigation systems ambazo ni 4 tu... ikiwemo GLONASS ya Russia....

Hivi nchi yenye tech kiasi hiko unakuja kusema jeshi lake linazidiwa kivita kwenye uwanja wa mapambano kisa night goggles?
Hizo night vision tu zimewekwa hadi kwenye vifaru vya Russia, mfano T-90.
T-90_-_EDM_September_21__2016-640x427.jpg


umenichekesha sana kiongozi.
 
Huwezi sema taifa kama hilo kuzidiwa kivita kwa sababu ya night vision goggles...

Hizo 3rd generation night vision unaweza kuelezea ni vitu gani vya kipekee vipo ambapo goggles za majeshi mengine hazipo...?


Kwa maana hata jeshi la Russia wana gogggles zao za kijeshi ambazo ni 3rd gen, zimetengenezwa kuangalia kwenye total completely dark...

Hizo unazosema za US jamaa yupo sahihi zinauzwa kwenye sites nyingi tu, nahisi ndizo hizo AN/PSQ-20... ambazo bei ina range usd 10,0000-15,000.
View attachment 3206101


Hata hizo za Russians zinauzwa pia kwenye sites nyingi
View attachment 3206102

, huwezi sema watu wamerusha satellite 1950s kabla ya US, wanatengeneza mifumo complex ya kulinda anga kama s-400/s-500, wanatengeneza fighters kama sukhoi su, wanatengeneza bombers na ndege kubwa, wana tech za ku enrich uranium, wanatengeneza drones n.k

Russia wana sattelite navigation system yao inaitwa GLONASS, USA wanayo GPS, China wa BeiDou, Ulaya wana GALILEO....

Ulimwengu mzima kuna global satellite navigation systems ambazo ni 4 tu... ikiwemo GLONASS ya Russia....

Hivi nchi yenye tech kiasi hiko unakuja kusema jeshi lake linazidiwa kivita kwenye uwanja wa mapambano kisa night goggles?
Hizo night vision tu zimewekwa hadi kwenye vifaru vya Russia, mfano T-90.
T-90_-_EDM_September_21__2016-640x427.jpg


umenichekesha sana kiongozi.
Umeelezea mambo mengi mwenzako kaenda kuomba msaada north korea
 
Wikipedia ni open source, hata wewe unaweza kuandika mkuu
Kwa sababu kaandika mwandishi kutumiwa na army hamaanishi ndio kuwa advanced, na unapo google kutumia multiple source,
Tech, ila tofauti ya tech na Civilian ni kwa sababu ya software au kuongeza au kupunguza vitu
Sawa umeshimda ndugu yangu kila mtu anazo kama hizi
 
Back
Top Bottom