Vifo 19 katika ajali ya ndege Bukoba, muuaji apata kazi katika kikosi cha zima moto

***** zako mleta uzi, siku zingine ndugu yako awepo kwenye ajali kama hiyo ndio utaelewa, Hivi hujui kua humo ndani watu walikua wakihangaika kutaka kufungua mlango na dogo ndio aliowasaidia?? wale waliokua kule mbele wengine walifariki kwa ile ndege tu kugonga kwa nguvu majini.
 
Kajipange upya mkuu

Your browser is not able to display this video.
 
Itoshe kusema mtoa mada ni mtu wa hovyo
Your browser is not able to display this video.
 
Itakuwa we ndo ulimzuia dogo kumuokoa rubani
 
Elewa kiswahili mkuu yalianza na huyo kijana wa hovyo aliyefungua mlango yeye ndo alienda kuyatoa hayo maji yaloanza kuingia au
Naona umekurupuka na hoja umeandika kwa utash wako na sio Uhalisia na uchunguzi kwa faida yako tu ndege ilikita kwenye maji kwa kuangalia kichwa chini mkia juu ikapinda na kuvunjika kichwa kias cha maji kuanza kujipenyeza kidogo kidogo ndio maji yakajaa
 
MLETA UZI NAPNDA KUSEMA KUWA UANAHARAKATI NA UJUAJI MWINGI HAUNA MAANA.... NDEGE SIO MELI.....!
 
Umejua kutuudhi,unaleta story za kijiweni hapa. Kwanza kuandika hujui
 
Ushuzi
 
Elewa kiswahili mkuu yalianza na huyo kijana wa hovyo aliyefungua mlango yeye ndo alienda kuyatoa hayo maji yaloanza kuingia au
Inaonekana wewe hata ndege hujijui wewe mlango aliofungua kijana ni mlango wa nyuma sasa ufunguliwe mlango wa nyuma maji yaanze kujaa mbele wewe vp ziro nini?
 
Na hapo ukifuatilia unawez kukuta mleta uzi kama sio mwanafamilia ya majaliwa basi rafiki yake au mvuvi mwenzie maana wivu wa aina hii sidhani kama ni wa kutoka mbali na watu wake wa karibu.
mleta mada atakua ni askari wa kikosi cha uokoaji ambaye hajui kitu kuhus ndege, siku jaribu kujifungia kwenye godown ambalo hakuna hewa inayoingia wala kutoka alaf ukae ata dk 20 huone shughuli yake.
 

nawe tuliza akili ndege imepatajali unajuaaje kama ilivyo kita katk ziwa haikujibamiza chini au kugonga mwamba? mpaka ulete hoja ya hiyo auxillary power system kua salama?
 
Akili zako zinakaaga wapi?
 
Hao wakuivuta hiyo ndege walikuja saa ngapi mpaka baada ya ndege kuanguka? Marubani ambao hawakuvunjiwa kioo maji kuingia walipona wangapi?
 
"Hao abiria 26 wangepona bila huo mlango kufunguliwa ?

Unasema wangeivuta kwanza ? Seriously ? Kwa mda gani uliokuwepo na vyenzo gani ?

Akili hauna wewe"
Mleta uzi nahisi ndiye aliyemkataza Majaliwa kuvunja ili kuruhusu rubani atoke nje akiwa salama na pia huyu mleta uzi ndiye aliyetoa wazo la ndege ivutwe na kamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…