Vifo 19 katika ajali ya ndege Bukoba, muuaji apata kazi katika kikosi cha zima moto

Vifo 19 katika ajali ya ndege Bukoba, muuaji apata kazi katika kikosi cha zima moto

Inasikitisha sana yale yaliyotokea kipindi MV Bukoba inazama leo hii ndiyo yale yale yaliyoikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivyotarajiwa.

Sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika, baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji.

Kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndiyo mlango ukafunguliwa.

Yakafanywa yale yale ya MV Bukoba, akatokea kijana wa hovyo asiye na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo akafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege.

Ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia, ni jambo baya mno.
Is up to you to decide, whether the glass is half full OR half empty..!! But the level of what is in the glass is the same..!!
 
Yani unaongea hayo wakati wewe mwenyewe umeshasema ulikaa tu pembeni what were you wait for, shame on you mwenzako ame take risk kuokoa unachoweza ndiyo hiki kupiga ngenga tena unamwita muuaji while kwa uozo uloandika tayari unaonyesha haukuwa na mema na walopata ajali.
 
Inasikitisha sana yale yaliyotokea kipindi MV Bukoba inazama leo hii ndiyo yale yale yaliyoikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivyotarajiwa.

Sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika, baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji.

Kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndiyo mlango ukafunguliwa.

Yakafanywa yale yale ya MV Bukoba, akatokea kijana wa hovyo asiye na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo akafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege.

Ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia, ni jambo baya mno.
Hospital ya Milembe wana taarifa kama Upo huku JF?
 
Kuna jamaa nimemsikiliza sasa Hivi EA radio, alivyoeleza it's as if yeye ndo aliyefungua mlango kwa ndani akishirikiana na muhudumu wa ndege...wavuvi walikuja baadae sana. Huenda dogo ameteleza kwa Ganda la ndizi kupitia Hilo tukio
 
20221013_122433.jpg
 
Mleta Uzi umekurupuka kuandika ulichoandika..kumbuka ndege tayari ilishaharibika upande wa mbele(rejea ile picha ya mabaki ya pua ya ndege)hivyo maji tayari yangeingia tu au yalishaanza kuingia kwa upande wa mbele hata kabla ya kufunguliwa mlango.
 

Attachments

  • FB_IMG_1667917920217.jpg
    FB_IMG_1667917920217.jpg
    52.5 KB · Views: 3
Muukoaji kapata kazi na atafundishwa kwa walioshindwa kuokoa
Inasikitisha sana yale yaliyotokea kipindi MV Bukoba inazama leo hii ndiyo yale yale yaliyoikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivyotarajiwa.

Sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika, baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji.

Kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndiyo mlango ukafunguliwa.

Yakafanywa yale yale ya MV Bukoba, akatokea kijana wa hovyo asiye na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo akafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege.

Ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia, ni jambo baya mno.
 
Siku hizi JF imejaa mapumbavu yanayoleta thread za kipumbavu ili yapate wachangiaji wapumbavu. hili lijamaa lililoleta hii thread kichwa chake kimejaa mavi tu. linatia hasira kweli wakati tumepoteza ndugu zetu na bado tuna maombolezo....PUMBAVU ZAKO MLETA HUU UZI.NA ULAANIWE.
Usikute ndo lile lililomzuia shujaadogo majaliwa asiwaokoe marubani wetu.
 
NI TUSI GANI AMBALO HAWA WAFANYAKAZI WA JF WAKILISIKIA TU HAPO HAPO WANAKUFUNGIA KUTUMIA MTANDAO WAO MOJA KWA MOJA?
 
muuaji apata kazi katika kikosi cha zima moto?

Mkuu hiki nini? Mbon kichwa kingine na miguu mingine yaan kichwa cha Mbuzi miguu ya Kondoo, umemaanisha nini?
 
Hao abiria 26 wangepona bila huo mlango kufunguliwa ?

Unasema wangeivuta kwanza ? Seriously ? Kwa mda gani uliokuwepo na vyenzo gani ?

Akili hauna wewe

Wewe ndo huna akili, unabishanaje na mwendawazimu
 
Huyu ndio yule aliyemwambia kijana asivunje kioo, anawasiliana na marubani?
IMG_20221108_191239.jpg
 
Elewa kiswahili mkuu yalianza na huyo kijana wa hovyo aliyefungua mlango yeye ndo alienda kuyatoa hayo maji yaloanza kuingia au
Si kweli. Ndege ilipoanguka tu, maji yalijaa kule mbele ambapo ndiko ilidondokea.
 
Back
Top Bottom