Isolated
JF-Expert Member
- Jul 12, 2022
- 212
- 363
Gifted and talentedGenta kasema Nan apingeakili hizi ndio vichwa vya viongozi wengi huwezi amini!, na ndio zimetufikisha hapa, inasikitisha mno!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gifted and talentedGenta kasema Nan apingeakili hizi ndio vichwa vya viongozi wengi huwezi amini!, na ndio zimetufikisha hapa, inasikitisha mno!
Kumbe kumbe wapo watu wengi wenye Akili finyu kama zako!!!Inasikitisha sana yale yaliyotokea kipindi MV Bukoba inazama leo hii ndiyo yale yale yaliyoikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivyotarajiwa.
Sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika, baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji.
Kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndiyo mlango ukafunguliwa.
Yakafanywa yale yale ya MV Bukoba, akatokea kijana wa hovyo asiye na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo akafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege.
Ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia, ni jambo baya mno.
Hapo sas[emoji1787][emoji1787]Gifted and talentedGenta kasema Nan apinge
side-A wamepiga pini tumeamia side-B ?Ukipona,ushukuru
😅 😅 😅kwa akili hizi kama sio kutafuta umaarufu ni niniNatafuta nwanamke wa kuanza naye maisha kwa aliye siriaz
Habari wana jf kama nilivotanguliza hapo juu mimi ni kijana wa miaka 29 najishughulisha na biashara kariakoo dsm natafuta mwanamke wa kuanza naye maisha kuhusu umri kuanzia miaka 27+ chini ya hapo hapana mara nyingi hawapo sirias na maisha kuhusu dini kwangu sio tatzo cha umuhimu awe na hofu ya...www.jamiiforums.com
Kindly find attached file for your reference.....
Kumbe ni kijana asiejua hata kutongoza anatafuta attention tu.kwa akili hizi kama sio kutafuta umaarufu ni niniNatafuta nwanamke wa kuanza naye maisha kwa aliye siriaz
Habari wana jf kama nilivotanguliza hapo juu mimi ni kijana wa miaka 29 najishughulisha na biashara kariakoo dsm natafuta mwanamke wa kuanza naye maisha kuhusu umri kuanzia miaka 27+ chini ya hapo hapana mara nyingi hawapo sirias na maisha kuhusu dini kwangu sio tatzo cha umuhimu awe na hofu ya...www.jamiiforums.com
Ha ha haa,nimetukana kidogo tu wamebana....daaside-A wamepiga pini tumeamia side-B ?
😀 kumbe unatukanaga ?nimetukana
Kidogo tu yaan😀 kumbe unatukanaga ?