Vifo 19 katika ajali ya ndege Bukoba, muuaji apata kazi katika kikosi cha zima moto

Vifo 19 katika ajali ya ndege Bukoba, muuaji apata kazi katika kikosi cha zima moto

Inasikitisha sana yale yaliyotokea kipindi MV Bukoba inazama leo hii ndiyo yale yale yaliyoikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivyotarajiwa.

Sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika, baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji.

Kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndiyo mlango ukafunguliwa.

Yakafanywa yale yale ya MV Bukoba, akatokea kijana wa hovyo asiye na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo akafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege.

Ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia, ni jambo baya mno.
Kumbe kumbe wapo watu wengi wenye Akili finyu kama zako!!!

Kwa maelezo ya Majaliwa, Rubani anamwamrisha Majaliwa avunje Dirisha, hata iliposhindikana kwa sababu kuna Kiazi Mbatata alikua kashika Kiuno huko mwenye akili za kuvukia Barabara kama zako alimzuia Majaliwa......!

Still Majariwa anarudi kwa Rubani kumuaga Anarudisha message kwamba kuna mtu kazuia... (Majaliwa yuko smart kuliko wewe).

Rubani bado anamwonyeshe mlango mdogo ulio nyuma kidogo kwamba aufungue huo.

Rubani anajua mlango ukifunguliwa maji yataingia ila watasalimika... Na kama vifo vitakua vichache.

Rubani Kasomea maswala ya usalama wa ndege.... Alitoa maelekezo ya kuvunja Dirisha...!

Who are you by the way kuja hapa na kuanika Umbumbu wako bila Aibu.
 
Mpka sas mtoaa mada kaingia mitini akijifanya kutaka kutujibu kumbe lijimaa hakuangalia video za walio okolewa
 
you're here just to seek cheap popularity,better to shutup
Majaliwa alisema rubani alimpa ishara avunje kioo,kuna mtu alimkataza na inawezekana mtu huyo ni wewe maana umesema haukuwa mbali,
 
kwa akili hizi kama sio kutafuta umaarufu ni nini
 
Kama huelewi Kaa kimya, unaleta simanzi kwa waliofiwa, waachie wenye ujuzi wazungumze.
 
kwa akili hizi kama sio kutafuta umaarufu ni nini
😅 😅 😅
 
Kindly find attached file for your reference.....

hahahahahaha nimecheka japo tupo kwenye majonzi.

Unafikiri kwa damage hiyo hapo mbele kwenye nose, cockpit mpaka fuselage Pilots waliwezaje kuwa salama mpaka kuwasiliana na dogo nakupeana maelekezo?
 
kwa akili hizi kama sio kutafuta umaarufu ni nini
Kumbe ni kijana asiejua hata kutongoza anatafuta attention tu.

Apambane kwanza ajifunze kutongoza kabla ya kuanza kujishughulisha na mada kubwa kubwa zilizo nje ya uwezo wako.
 
Huu ujinga uliondikwa hapa naomba niamini sio wa msomi
 
Mimi kama mwanadamu mwenye uwezo wa kuumba nakuombea upate laana wewe ulianzisha hii mada ufe kabla ya Mwaka ujaisha
 
Siku hizi JF imejaa mapumbavu yanayoleta thread za kipumbavu ili yapate wachangiaji wapumbavu. hili lijamaa lililoleta hii thread kichwa chake kimejaa mavi tu. linatia hasira kweli wakati tumepoteza ndugu zetu na bado tuna maombolezo....PUMBAVU ZAKO MLETA HUU UZI.NA ULAANIWE.
 
Back
Top Bottom