Vifo 19 katika ajali ya ndege Bukoba, muuaji apata kazi katika kikosi cha zima moto

Vifo 19 katika ajali ya ndege Bukoba, muuaji apata kazi katika kikosi cha zima moto

Tena angefungua na WA mbele rubani na yule ofisa WANGEPONA,inasikitisha wamejiona wanakufa
 
Kijana wa 'hovyo' ndie alikuwa wa kwanza kwenye uokozi, japo kuna kituo cha jeshi karibu na eneo hilo, pana boti za polisi na ajali imetokea kweupe, lakini vyombo vya ulinzi na usalama hawawezi kufika eneo mpaka kamati ya ulinzi na usalama ikae vikao na kutoa maamuzi.
Na inasemekana ilipita kusiko kwa kawaida kitendo hicho wao kama wa usalama wangejiuliza maswali imekuwaje na wangejiweka utayari wa kufuatilia lakini ndo hivyo.
 
Hewa kwenye ndege haihitaji injini kuwaka, Kuna kitu kinaitwa Auxiliary Power Unit kama sio System, ni kama generator linakua mkiani kwenye ndege ndio hutoa umeme ndege ikiwa haijawasha injini. Utakumbuka mkiwa mnapandia kwenye ndege injini zinakua hazijawaka lakini umeme unakuwepo kwenye ndege.

Kwa hii kesi, maji yalianza kuingia Mara baada ya ndege kujipigiza kwenye maji.
Hapana hiyo power unit huwa inaku connected nje ya ndege, that's why ndege ikitua tu uwanjani huwa wanaiconnect kwenye generator mpaka pale engine zinapowashwa...ziwani hakuna hiyo source.
 
Inasikitisha sana yale yalotokea kipindi mv bukoba inazama leo hii ndo yale yale yaloikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivotarajiwa

Sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji

Kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndo mlango ukafunguliwa

Yakafanywa yale yale ya MV Bukoba, akatokea kijana wa hovyo asie na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo alafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege

Ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia ni jambo baya mno
Choko wewe
 
Inasikitisha sana yale yalotokea kipindi mv bukoba inazama leo hii ndo yale yale yaloikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivotarajiwa

Sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji

Kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndo mlango ukafunguliwa

Yakafanywa yale yale ya MV Bukoba, akatokea kijana wa hovyo asie na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo alafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege

Ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia ni jambo baya mno
Em acheni mambo ya uongo uongo ni kujidhalilisha na kujipea sifa mbaya
 
Inasikitisha sana yale yalotokea kipindi mv bukoba inazama leo hii ndo yale yale yaloikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivotarajiwa

Sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji

Kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndo mlango ukafunguliwa

Yakafanywa yale yale ya MV Bukoba, akatokea kijana wa hovyo asie na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo alafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege

Ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia ni jambo baya mno
Kwahiyo hasira za kukuchapia demu wako kwa huyo mwamba ndio unazihamishia huku???

Nonsense kabisa
 
Inasikitisha sana yale yalotokea kipindi mv bukoba inazama leo hii ndo yale yale yaloikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivotarajiwa

Sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji

Kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndo mlango ukafunguliwa

Yakafanywa yale yale ya MV Bukoba, akatokea kijana wa hovyo asie na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo alafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege

Ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia ni jambo baya mno

Kwa maelezo ya abiria aliyekuwepo kwenye ndege baada ya ndege kuingia ziwani upande wote wa mbele ulikuwa umejaa maji na watu hawaonekani sasa kitendo cha kishujaa alichofanya yule kijana kiheshimiwe hata cabin crew walikuwa wanajaribu kufungua mlango kutokea ndani kijana ndio akawasupport tuliza kichwa acha kukurupuka
 
inafikirisha sana, kwahiyo abiria waliokaa mbele hao 19 wakati maji yanaingia walikuwa wamekaa tu kwenye kiti bila purukushani au kuwaza kukimbilia nyuma.

Binafsi naamini kuna walioanza kufa kwa kukosa hewa na wale strong wengi wao ndio hao wamesurvive.

Covid wengine inawaua, wengine inawalaza na wengine ni kama mafua ya kawaida tu, inapokosekana hewa wapo wenye mapafu mazuri wenye uwezo wa kusurvive na wenye mapafu dhaifu ambao ukimnyima hewa 5mins tu safari lazima imkute, kuna wenye pumu humo, wenye pressure na maradhi mbalimbali ambao wakikosa hewa tu lazima wafe.

Fanya zoezi la kubana pua zako na kujizuia kupumua kwa dk kadhaa na ukijiona baada ya dk chache ukianza tena kupumua unapumua juu juu tambua uko hatari incase kwenye dharula kama hizi.

Kuchelewa kwa uokoaji ndio sababu kubwa iliyosababisha vifo vya watu wengi na mamlaka lazima ziwajike juu ya hili, haraka sana baada ya ndege kugusa maji kungekuwa hata na 5 x proffesionals divers + wavuvi naamini watu wote wangetoka salama.
Watanzania mnaongea sana hadi mnakera
 
Inasikitisha sana yale yalotokea kipindi mv bukoba inazama leo hii ndo yale yale yaloikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivotarajiwa

Sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji

Kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndo mlango ukafunguliwa

Yakafanywa yale yale ya MV Bukoba, akatokea kijana wa hovyo asie na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo alafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege

Ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia ni jambo baya mno
Kama kijana muokoaji aliisikia sauti ya rubani ikimtaka afungue mlango,unataka angemjibu habari za mv bukoba?je wewe ulichukua hatua Gani au ulikuwa unangalia mlango ukifunguliwa?Tushukuru Mungu vinginevyo .......
 
inafikirisha sana, kwahiyo abiria waliokaa mbele hao 19 wakati maji yanaingia walikuwa wamekaa tu kwenye kiti bila purukushani au kuwaza kukimbilia nyuma.

Binafsi naamini kuna walioanza kufa kwa kukosa hewa na wale strong wengi wao ndio hao wamesurvive.

Covid wengine inawaua, wengine inawalaza na wengine ni kama mafua ya kawaida tu, inapokosekana hewa wapo wenye mapafu mazuri wenye uwezo wa kusurvive na wenye mapafu dhaifu ambao ukimnyima hewa 5mins tu safari lazima imkute, kuna wenye pumu humo, wenye pressure na maradhi mbalimbali ambao wakikosa hewa tu lazima wafe.

Fanya zoezi la kubana pua zako na kujizuia kupumua kwa dk kadhaa na ukijiona baada ya dk chache ukianza tena kupumua unapumua juu juu tambua uko hatari incase kwenye dharula kama hizi.

Kuchelewa kwa uokoaji ndio sababu kubwa iliyosababisha vifo vya watu wengi na mamlaka lazima ziwajike juu ya hili, haraka sana baada ya ndege kugusa maji kungekuwa hata na 5 x proffesionals divers + wavuvi naamini watu wote wangetoka salama.
Hao 19 nahisi walishakufa kwa mshituko au walizimia wakat ndege imepiga chini mana kwa jinsi ilivozama ilipiga kwa mbele so impact yake lazma watu watakua walishakufa kwa mshituko mana unambiwa walikutwa wamefunga seat belt

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
 
Sasa Mlishindwa nini kuivuta mpaka dogo akawazidi kete? Au wewe ndo yule aliyekua kwenye mwamvuli?
 
Elewa kiswahili mkuu yalianza na huyo kijana wa hovyo aliyefungua mlango yeye ndo alienda kuyatoa hayo maji yaloanza kuingia au
Unasema hukuwa mbali na eneo la tukio, je ulitoa msaada gani wewe kama wewe? Sasa kati ya wewe na huyo kijana nani ni mtu wa hovyo?
 
Back
Top Bottom