Vifo 19 katika ajali ya ndege Bukoba, muuaji apata kazi katika kikosi cha zima moto

Vifo 19 katika ajali ya ndege Bukoba, muuaji apata kazi katika kikosi cha zima moto

Nchi inaongozwa na Mapaka!
0AEwD9-.jpeg
QAEIFfP.jpeg
 
Yaan wewe ujuaji mwingi wakati huna unalo lijua ,ni wivu tu Ndio unakusumbua

Unaambiwa ndege baada ya kutumbukia kwenye majia upande wa mbele maji yalianza kuingia na abiria walio kaa siti za mbele walianza kufunikwa na maji huku wa nyuma wakihaha kujiokoa (hayo ni maneno ya abiria aliye okolewa baada ya kuvunjwa mlango) sasa wewe wa nje huko ambaye hata ndege yenyewe hujawahi panda unaleta ujuaji wako

ndio baadae baada ya mlango kuvunjwa wakaanza kutolewa maana yake bila mlango kuvunjwa wangekufa maji wengi zaid maana maji yalisha anza kuingia ndani kabla hata ya mlango kubunjwa.

Acha ujuaji na roho ya wivu kama mwenzio kapata usianze kumaagia kunguni kwa sababu za kuokoteza hiyo ni roho ya shetani kabisa uliyo nayo

Eti wangevuta ndege kwenye maji mengi kwa akili yako ilivyo ndogo unadhani ingeelea sindio? huna akili ingawa unajiona unajua kufikiri.
Mleta mada anajua ile ndege ilikuwa ni nyambizi, mjinga sana huyu mleta mada na ana wivu wa kike
 
unaweza kuta mtoa mada anakotoka ndiyo think tank wao! muda mwingine bora kuficha upumbavu wako.
 
Ingekuwa ni issue inayohusu chadema ungewakuta kwenye maji😁😁😁
QAAZU8c.jpeg
 
Inasikitisha sana yale yaliyotokea kipindi MV Bukoba inazama leo hii ndiyo yale yale yaliyoikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivyotarajiwa.

Sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika, baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji.

Kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndiyo mlango ukafunguliwa.

Yakafanywa yale yale ya MV Bukoba, akatokea kijana wa hovyo asiye na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo akafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege.

Ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia, ni jambo baya mno.
Wivu tu
 
Msimlaumu sio kosa lake,
Hakika tumetofautiana uwezo wa kufikiri..
 
ili kungoja taratibu za uokoaji,

Yani wakae over 24hrs kusubiri taratibu za uokoaji. Usichojua ni kwamba hakuna Rescue team yeyote ya uokoji Kagera nzima.

Mkishashija viporo vyenu mnajikuta experts wa kila kitu.
 
Hao 19 nahisi walishakufa kwa mshituko au walizimia wakat ndege imepiga chini mana kwa jinsi ilivozama ilipiga kwa mbele so impact yake lazma watu watakua walishakufa kwa mshituko mana unambiwa walikutwa wamefunga seat belt

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app

ndege kufanya crush kiasi cha kuua watu maana yake lazima ingekatika vipande viwili au zaidi ,heavy crush kwenye maji ukiwa kwenye speed madhara yangekuwa zaidi ya hayo tena kwa ndege ndogo...

ukiangalia ndege upande wa mbele haujakatika ila ni nose cover imetoka lakini frame ipo intact..
 
Kipimo cha akili unakijua au unajisemesha kisa una smartphone ulonunuliwa na shemeji yako.
Wee jamaa ni mpumbavu sana...inamaana wewe una akili kupita watu wote walio shuhudia tukio hilo. Una akili sana kupita serikali iliyotambua thamani ya kazi yake. Pumbavu kabisa.
 
Hiyo ndege ingevutwa kwa vifaa gani kabla maji hayaja ingia ndani?
Unafikiri ndege ipo sealed kuweza kuzuia maji yasiinie angalau kwa nusu saa?
Ndege ilikuwa imekatika bawa moja, sehemu za matairi zingepitisha maji, injini ilizima kwa hivyo mifumo ya kuzungusha hewa isingefanya kazi, je hao watu wanakaa muda mrefu bila hewa?
Acha wivu na ujuaji.
Kusubiria vifaa vya uokoaji ingefanikisha ulicho shauri kama ingekuwa nchi zilizo endelea wenye vifaa vyote karibu na uwanja wa ndege au watu wa 'rescue' wa ziwani.
 
Mtoa mada ujobless unakupa stress.Sasa wangepata wapi hewa ndani ya ndege wakisubiri huo msaada hewa wa kuvutwa??
 
Muanzisha Uzi lengo limefanikiwa umepata comment sana😂 ila unaakili ndogo sana
 
Inasikitisha sana yale yaliyotokea kipindi MV Bukoba inazama leo hii ndiyo yale yale yaliyoikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivyotarajiwa.

Sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika, baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji.

Kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndiyo mlango ukafunguliwa.

Yakafanywa yale yale ya MV Bukoba, akatokea kijana wa hovyo asiye na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo akafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege.

Ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia, ni jambo baya mno.
Kutokana na picha ile pua ya ndege ilipogonga ilikatika ndio ikaingiza maji
 
Yani wewe ulienda kutafuta vitu ili uandike jf na sio walau hata kuivuta hiyo ndege.
 
Inasikitisha sana yale yaliyotokea kipindi MV Bukoba inazama leo hii ndiyo yale yale yaliyoikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivyotarajiwa.

Sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika, baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji.

Kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndiyo mlango ukafunguliwa.

Yakafanywa yale yale ya MV Bukoba, akatokea kijana wa hovyo asiye na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo akafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege.

Ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia, ni jambo baya mno.
Kijana wa hovyo ni wewe ambaye ulikuwa unasubiri abiria wote wafe kwa pamoja kwa kukosa hewa kisa tu ndege isiharibiwe
 
ndege kufanya crush kiasi cha kuua watu maana yake lazima ingekatika vipande viwili au zaidi ,heavy crush kwenye maji ukiwa kwenye speed madhara yangekuwa zaidi ya hayo tena kwa ndege ndogo...

ukiangalia ndege upande wa mbele haujakatika ila ni nose cover imetoka lakini frame ipo intact..
Kindly find attached file for your reference.....
 

Attachments

  • IMG-20221108-WA0026.jpg
    IMG-20221108-WA0026.jpg
    83.2 KB · Views: 2
Mnatuchanganya mara kijana alitoa msaada, mara aonekane yeye ndo kaingiza maji ndani, mbona kijana wakati akijojiwa anasema rubani alikuwa akimuelekeza avunje watoke ndo akazuiliwa na huyo mtu alokuwa pale?

Alafu ile ndege haikuwa mbali na nchi kavu inamaana kungekuwepo na vifaa vya uokoaji vya kisasa wangepona wengi.
Mwandishi wa hii mada ndiye alizuia kioo kisivunjwe inavyoonekàna
 
Back
Top Bottom