Vifo 19 katika ajali ya ndege Bukoba, muuaji apata kazi katika kikosi cha zima moto

alivyoeleza it's as if yeye ndo aliyefungua mlango kwa ndani akishirikiana na muhudumu wa ndege
Sasa nimesikia wahudumu wamewekwa kwenye wale 19 imekuaje yeye akanusurika alafu wahudumu anaowasema wamesaidiana nae wamekufa? Bado maelezo hayajajitosheleza hapo mkuu
 
Ulikua eneo la tukio unaachamisha domo lako tu afu unakuja kuandika uharo humu.
 
Kwa ujinga na upumbavu wako ulio nao utaitesa sana familia yako.
 
Kwahiyo ww una akili kushinda serikali waliompatia ajira?
Huyo anasema alikuwepo eneo la tukio, lakini hakuhusika na uokoaji! dah inasikitisha sana

Ile ndege imeanza kupitisha maji hata kabla ya kubomoa mlango, maji yalipitia eneo la mbele kwe rubani!.

Jamaa, tumuache na mawazo yake!
 
Ndugu unafikiri ndege ikiwa majini hairuhusu maji kuingia?ndege ilipogusa maji yalianza kuingia tena kwa kasi,kama wangechelewa asingepona mtu....fuatilia kipindi...fuatilia kipindi cha Airclash investigation kinarushwa DSTV uone matukio ya ndege inapopata itilafu na kisha kutua kwenye maji,jinsi maji yanavyopenya kwa kasi....huyo dogo kafanya jambo la kishujaa kuokoa hao 26.
 
Mkuu hoja zako hazina mashiko...Dr amesema uchunguzi unaonyesha waliokufa wamekosa hewa. Mama mmoja aliyesurika akihojiwa na bbc amesema mpaka mlango unafunguliwa maji yalishafika kifuani.... ww ulitaka wafe wote
 
Kumbe ni kijana asiejua hata kutongoza anatafuta attention tu.

Apambane kwanza ajifunze kutongoza kabla ya kuanza kujishughulisha na mada kubwa kubwa zilizo nje ya uwezo wako.
shangaa na wewe ameamua kukimbia uzi wake,yaani hizi fake id zinaficha mengi,watu wanamsongo wa mawazo ko wanatafuta pa kumalizia shida zao
 
Mtoa uzi una Wivu sana sio bure,
Dogo alipambana...
 
😁😁😁😁😁😁😁😁
 
Hapana hiyo power unit huwa inaku connected nje ya ndege, that's why ndege ikitua tu uwanjani huwa wanaiconnect kwenye generator mpaka pale engine zinapowashwa...ziwani hakuna hiyo source.

Hizo ni ndege ndogo mkuu. Ndege kubwa Zina hiyo unit ( kama standby generator) inatia umeme wakati injini za ndege hazijawashwa.
 
nawe tuliza akili ndege imepatajali unajuaaje kama ilivyo kita katk ziwa haikujibamiza chini au kugonga mwamba? mpaka ulete hoja ya hiyo auxillary power system kua salama?

Ungeanza kwanza kutuliza akili ukasima taratibu niliyemnukuu na kujibu hoja ya msingi ilikua ni kitu Gani.

Hilo la ndege kugonga Mwamba au kujikuta kwenye udongo kutokana na Kuna kifupi Cha maji niliandika tokea siku ya kwanza, na nikasema hicho ndio kutakua kilipelekea ndege isielee izame Kwa vile maji yaliingia ndani.
 
Hahaha, nimecheka kama mazuri kwa namna ulivomalizia mtoa hoja. Huyu atakuwa aliandika uzi wake aliwa "amejizima data" siyo bure...!!! KenchyType zake Islamabad....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…