Kabla ya kukulaumu, kwa kuwa mimi si mtaalamu wa maswala ya anga, nilizama kujifunza ni kwa muda gani ndege inayoelea majini itaanza kuingiza maji?
Majibu niliyojipatia ni kuwa, ni kwa sekunde kadhaa tu maji yataanza kupata upenyo wa kuingia ndani ya ndege na kusababisha kuzama.
Kijana aliyevunja mlango alifanikisha uokozi wa watu 26 na 19 kufariki.
Hata kama alifanya kosa kwa namna ambayo wewe unajaribu kutuaminisha, idadi ya waliookolewa ni kubwa zaidi ya watu waliofariki. Bado kuna faida.
Acha upumbavu na roho ya husda kwa ushujaa aliofanya kijana Majaliwa.
Ukute upo huko ulipo unakuna pumbu zako zilizojaa fungus, alafu unaandika ushuzi wa namna hii. Mwana hayawani wewe.