Vifo vya Samaki Mto Mara: Kamati ya Dharura yaundwa kuchunguza Samaki wanaodaiwa kufa kwa Sumu

Vifo vya Samaki Mto Mara: Kamati ya Dharura yaundwa kuchunguza Samaki wanaodaiwa kufa kwa Sumu

Je pia magugu maji yanayozidi kuota ktk Ziwa Victoria na pia magugu maji hayo kujipenyeza ktk mito kanda ya ziwa ndiyo inamaliza hewa safi ya oxygen hivyo kusababisha samaki kufa ?

Uchafuzi wa mazingira yanayofanywa na shughuli za kijamii za kibinadamu pia utupaji ovyo wa taka-sumu inaathiri viumbe maji na pia shughuli za kiuchumi za binadamu kama uvuvi. Ukulima wa bustani ndani ya mita 60 toka ktk vyanzo vya mito na kingo za ziwa ambao hutumia viatilifu na mboji huathiri usafi wa maji na kusababisha vifo vya samaki.

Migodi na viwanda pia kutupa taka moja kwa moja ktk vyanzo vya maji na ziwani pia vinaweza kusababisha athari kwa mazingira na uhai wa viumbe maji na binadamu pia.


https://www.thenewhumanitarian.org › ...
Livelihoods hit as water hyacinth takes over Lake Victoria

It becomes harder for us to catch the Nile Perch as the fish moves into the open waters away from the oxygen-deprived waters near the weeds,” he said.
weeds on lake victoria suffocating oxygen for fish from www.thenewhumanitarian.org
 
Si jambo Jema kujirudia kwa Kampuni kubwa duniani Barrick inayojinasibu kuridhia Sera viwango vya juu vya Usalama mazingira .
Ni dharau ya Hali ya juu kwa Watanzania.
 
Tuweke mzigo mezani

Ndugu zangu kuna hii taarifa, yupo yeyote ambaye anajua ukweli wake, maana mtu ambaye yupo ndani mgodini amenitumia ujumbe huu ambao nimeambatanisha na picha alizotuma:

BARRICK NORTH MARA YAFUNGULIA MAJI YA SUMU NA KUTEKETEZA SAMAKI MTO MARA

Jitihada zimefanyika ili kujua ukweli wa hii habari. Ametafutwa mmoja wa ‘supervisor’ katika Mgodi wa Barrick North Mara, Elly Shimbi na kuulizwa kuhusu ukweli wa taarifa hiyo alisema:

“Mimi siwezi kulizungumzia hilo suala, mtafute msimamizi mkuu wa mradi ndiye atakwambia, kama una taarifa hizo mimi siwezi kukwambia chochote.”

Elly Shimbi hakutoa ushirikiano wa mawasiliano ya mkuu wake wa kazi ambaye alitaka atafutwe yeye kuhusu suala hilo.

Licha ya kutotoa ushirikiano huo, Ofisi ya Barrick iliyopo Dar es Salaam ilithibitisha kuwa Shimbi ni mmoja wa ‘supervisor’ ambaye bado yupo kwenye majukumu yake Barrick North Mara.

Tayari bosi ambaye ndiye msimamizi wa mgodi huo ametumiwa taarifa hii kwa njia ya e-mail baada ya namba yake kutopatikana lakini haijajibiwa.

======

Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Dkt. Eng. Samuel Gwamaka Mafwenga, ameiambia JamiiForums leo tarehe 10/03/2022 kwamba, kutokana na taharuki iliyotokea baada ya Picha za Samaki waliokufa kusambaa Mitandaoni wanaodaiwa ni kwenye Mto Mara, tayari timu ya Dharura imeundwa kuchunguza swala hilo.

Mafwenga amesema timu hiyo inahusisha Watu kutoka NEMC, Bonde la maji la Ziwa Victoria, Mkemia Mkuu wa Serikali na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Mara.

"Hivi sasa tunapozungumza, tayari Kamati ipo Sehemu ya tukio Wakichunguza ili tujue chanzo ni nini na kimetoka wapi. Sisi tunaangalia afya na Uhai wa Binadamu na Wanyama." amesema Mafwenga.

View attachment 2145795

View attachment 2145796

View attachment 2145797

View attachment 2145812
View attachment 2145816
Na hawa ndio Samaki wanaosafirishwa tunaletewa
Kuanzia Leo nasimama Kula Samaki
 
Tuweke mzigo mezani

Ndugu zangu kuna hii taarifa, yupo yeyote ambaye anajua ukweli wake, maana mtu ambaye yupo ndani mgodini amenitumia ujumbe huu ambao nimeambatanisha na picha alizotuma:

BARRICK NORTH MARA YAFUNGULIA MAJI YA SUMU NA KUTEKETEZA SAMAKI MTO MARA

Jitihada zimefanyika ili kujua ukweli wa hii habari. Ametafutwa mmoja wa ‘supervisor’ katika Mgodi wa Barrick North Mara, Elly Shimbi na kuulizwa kuhusu ukweli wa taarifa hiyo alisema:

“Mimi siwezi kulizungumzia hilo suala, mtafute msimamizi mkuu wa mradi ndiye atakwambia, kama una taarifa hizo mimi siwezi kukwambia chochote.”

Elly Shimbi hakutoa ushirikiano wa mawasiliano ya mkuu wake wa kazi ambaye alitaka atafutwe yeye kuhusu suala hilo.

Licha ya kutotoa ushirikiano huo, Ofisi ya Barrick iliyopo Dar es Salaam ilithibitisha kuwa Shimbi ni mmoja wa ‘supervisor’ ambaye bado yupo kwenye majukumu yake Barrick North Mara.

Tayari bosi ambaye ndiye msimamizi wa mgodi huo ametumiwa taarifa hii kwa njia ya e-mail baada ya namba yake kutopatikana lakini haijajibiwa.

======

Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Dkt. Eng. Samuel Gwamaka Mafwenga, ameiambia JamiiForums leo tarehe 10/03/2022 kwamba, kutokana na taharuki iliyotokea baada ya Picha za Samaki waliokufa kusambaa Mitandaoni wanaodaiwa ni kwenye Mto Mara, tayari timu ya Dharura imeundwa kuchunguza swala hilo.

Mafwenga amesema timu hiyo inahusisha Watu kutoka NEMC, Bonde la maji la Ziwa Victoria, Mkemia Mkuu wa Serikali na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Mara.

"Hivi sasa tunapozungumza, tayari Kamati ipo Sehemu ya tukio Wakichunguza ili tujue chanzo ni nini na kimetoka wapi. Sisi tunaangalia afya na Uhai wa Binadamu na Wanyama." amesema Mafwenga.

View attachment 2145795

View attachment 2145796

View attachment 2145797

View attachment 2145812
View attachment 2145816
Kansa umeongezeka sana kanda ya ziwa hivi karibuni na hii sumu zinazoingia lake Victoria ndio chanzo.
 
Yani haya mambo ukiona unajiuliza maswali mengi sana, hivi serikaki haioni umuhimu wa kulinda Afya za watanzania? Hilo ziwa linategemewa na mamillion ya watu just imagine, athari mamillion ya watu wanaweza pata kuna faida gani kuwa na huo mgodi? Hivi Huwa na kitu tuna miss vichwani? Dah!!, Watu wanakunywa hayo maji, wanakula samaki, wanatumia for irrigation, so sad hii nchi kwakweli!!
 
Tuweke mzigo mezani

Ndugu zangu kuna hii taarifa, yupo yeyote ambaye anajua ukweli wake, maana mtu ambaye yupo ndani mgodini amenitumia ujumbe huu ambao nimeambatanisha na picha alizotuma:

BARRICK NORTH MARA YAFUNGULIA MAJI YA SUMU NA KUTEKETEZA SAMAKI MTO MARA

Jitihada zimefanyika ili kujua ukweli wa hii habari. Ametafutwa mmoja wa ‘supervisor’ katika Mgodi wa Barrick North Mara, Elly Shimbi na kuulizwa kuhusu ukweli wa taarifa hiyo alisema:

“Mimi siwezi kulizungumzia hilo suala, mtafute msimamizi mkuu wa mradi ndiye atakwambia, kama una taarifa hizo mimi siwezi kukwambia chochote.”

Elly Shimbi hakutoa ushirikiano wa mawasiliano ya mkuu wake wa kazi ambaye alitaka atafutwe yeye kuhusu suala hilo.

Licha ya kutotoa ushirikiano huo, Ofisi ya Barrick iliyopo Dar es Salaam ilithibitisha kuwa Shimbi ni mmoja wa ‘supervisor’ ambaye bado yupo kwenye majukumu yake Barrick North Mara.

Tayari bosi ambaye ndiye msimamizi wa mgodi huo ametumiwa taarifa hii kwa njia ya e-mail baada ya namba yake kutopatikana lakini haijajibiwa.

======

Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Dkt. Eng. Samuel Gwamaka Mafwenga, ameiambia JamiiForums leo tarehe 10/03/2022 kwamba, kutokana na taharuki iliyotokea baada ya Picha za Samaki waliokufa kusambaa Mitandaoni wanaodaiwa ni kwenye Mto Mara, tayari timu ya Dharura imeundwa kuchunguza swala hilo.

Mafwenga amesema timu hiyo inahusisha Watu kutoka NEMC, Bonde la maji la Ziwa Victoria, Mkemia Mkuu wa Serikali na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Mara.

"Hivi sasa tunapozungumza, tayari Kamati ipo Sehemu ya tukio Wakichunguza ili tujue chanzo ni nini na kimetoka wapi. Sisi tunaangalia afya na Uhai wa Binadamu na Wanyama." amesema Mafwenga.

Pia soma > Madai ya sumu Mto Mara kutoka migodini, wananchi wazuiwa kutumia maji, kula samaki, uvuvi, Serikali yatoa tamko

View attachment 2145795

View attachment 2145796

View attachment 2145797

View attachment 2145812
View attachment 2145816
Msipende kusingizia migodi, kama wangekufungulia hayo maji hata wanyama pori, mifugo na binadamu wanaotumia mto huo wangezurika na sayanaidi na lingekuwa kosa lenye skendo kubwa Kwa Barick naomba waandishi tusiwe tunahukumu mojakwamoja
 
Si tulikubaliana wawekezaji wasisumbuliwe! acha wamwage sumu ikibidi warushe na mabomu mtoni
 
Msipende kusingizia migodi, kama wangekufungulia hayo maji hata wanyama pori, mifugo na binadamu wanaotumia mto huo wangezurika na sayanaidi na lingekuwa kosa lenye skendo kubwa Kwa Barick naomba waandishi tusiwe tunahukumu mojakwamoja

Do you know anything about bio-indicator species mkuu? Au ume-comment ili na wewe uonekane unajua?
 
Back
Top Bottom