Vifo vya Samaki Mto Mara: Kamati ya Dharura yaundwa kuchunguza Samaki wanaodaiwa kufa kwa Sumu

Vifo vya Samaki Mto Mara: Kamati ya Dharura yaundwa kuchunguza Samaki wanaodaiwa kufa kwa Sumu

Do you know anything about bio-indicator species mkuu? Au ume-comment ili na wewe uonekane unajua?
Haya wewe unayejua endelea kujua kijana tusitishane kujiona unajua zaidi kuwa mpole Kuna mambo huyajui subiri uelimishwe
 
Kwenye mambo kama haya, NEMC ndiyo inatakiwa kuonesha makucha yake... na siyo kwenda kufungia biashara za watu kisa choo hakijasafishwa...
Leo umetoa mwongozo sahihi kabisa...nemc wawajibike sio kukusana pesa za EIA tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
0F71B1A7-BF9C-485B-8730-E4D3C718439E.jpeg
 
Hii ni mbaya sana, uchunguzi wa kina ufanyike. Recovery period sijui itakuwa muda gani mpaka shughuli za kawaida ziendelee kwenye huo mto.
Huu mgodi si wamejenga water treatment plant ya drainage za mgodini sio muda mrefu. How can this happen, baada ya project kubwa kama ile.
Ngoja tusubiri report za uchunguzi zinasemaje.
 
Tuweke mzigo mezani

Ndugu zangu kuna hii taarifa, yupo yeyote ambaye anajua ukweli wake, maana mtu ambaye yupo ndani mgodini amenitumia ujumbe huu ambao nimeambatanisha na picha alizotuma:

BARRICK NORTH MARA YAFUNGULIA MAJI YA SUMU NA KUTEKETEZA SAMAKI MTO MARA

Jitihada zimefanyika ili kujua ukweli wa hii habari. Ametafutwa mmoja wa ‘supervisor’ katika Mgodi wa Barrick North Mara, Elly Shimbi na kuulizwa kuhusu ukweli wa taarifa hiyo alisema:

“Mimi siwezi kulizungumzia hilo suala, mtafute msimamizi mkuu wa mradi ndiye atakwambia, kama una taarifa hizo mimi siwezi kukwambia chochote.”

Elly Shimbi hakutoa ushirikiano wa mawasiliano ya mkuu wake wa kazi ambaye alitaka atafutwe yeye kuhusu suala hilo.

Licha ya kutotoa ushirikiano huo, Ofisi ya Barrick iliyopo Dar es Salaam ilithibitisha kuwa Shimbi ni mmoja wa ‘supervisor’ ambaye bado yupo kwenye majukumu yake Barrick North Mara.

Tayari bosi ambaye ndiye msimamizi wa mgodi huo ametumiwa taarifa hii kwa njia ya e-mail baada ya namba yake kutopatikana lakini haijajibiwa.

======

Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Dkt. Eng. Samuel Gwamaka Mafwenga, ameiambia JamiiForums leo tarehe 10/03/2022 kwamba, kutokana na taharuki iliyotokea baada ya Picha za Samaki waliokufa kusambaa Mitandaoni wanaodaiwa ni kwenye Mto Mara, tayari timu ya Dharura imeundwa kuchunguza swala hilo.

Mafwenga amesema timu hiyo inahusisha Watu kutoka NEMC, Bonde la maji la Ziwa Victoria, Mkemia Mkuu wa Serikali na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Mara.

"Hivi sasa tunapozungumza, tayari Kamati ipo Sehemu ya tukio Wakichunguza ili tujue chanzo ni nini na kimetoka wapi. Sisi tunaangalia afya na Uhai wa Binadamu na Wanyama." amesema Mafwenga.

Pia soma > Madai ya sumu Mto Mara kutoka migodini, wananchi wazuiwa kutumia maji, kula samaki, uvuvi, Serikali yatoa tamko

View attachment 2145795

View attachment 2145796

View attachment 2145797

View attachment 2145812
View attachment 2145816
BARRICK NORTH MARA YAFUNGULIA MAJI YA SUMU Ya Cyanide inayotumika kwenye uchenjuaji wa dhahabu
 
Watanzania huwa hatutaki serikali inayosimia sheria, itabidi tuendelee na maisha tiliyo nayo. Angewapo yule jamaa, ni wazi kuwa Sinclair angepanda ndege binasfi kwenda Dodoma kuomba "Mea Culpa, mea Culpa, mea Maxima Culpa". Barrick wangetoa pesa za kusafisha sumu hiyo.
Kweli mkuu, kwa sasa hawawezi kusema wanajua wakisema watampa kiki japo hayupo.

Lazima ukweli ubaki kwenye nafasi yake, haya mambo yangetokea ila si kwa kiasi kikubwa naona ombwe la ukosefu wa kimamlaka kuogopa wananchi watateseka likijirudi.
 
Tuweke mzigo mezani

Ndugu zangu kuna hii taarifa, yupo yeyote ambaye anajua ukweli wake, maana mtu ambaye yupo ndani mgodini amenitumia ujumbe huu ambao nimeambatanisha na picha alizotuma:

BARRICK NORTH MARA YAFUNGULIA MAJI YA SUMU NA KUTEKETEZA SAMAKI MTO MARA

Jitihada zimefanyika ili kujua ukweli wa hii habari. Ametafutwa mmoja wa ‘supervisor’ katika Mgodi wa Barrick North Mara, Elly Shimbi na kuulizwa kuhusu ukweli wa taarifa hiyo alisema:

“Mimi siwezi kulizungumzia hilo suala, mtafute msimamizi mkuu wa mradi ndiye atakwambia, kama una taarifa hizo mimi siwezi kukwambia chochote.”

Elly Shimbi hakutoa ushirikiano wa mawasiliano ya mkuu wake wa kazi ambaye alitaka atafutwe yeye kuhusu suala hilo.

Licha ya kutotoa ushirikiano huo, Ofisi ya Barrick iliyopo Dar es Salaam ilithibitisha kuwa Shimbi ni mmoja wa ‘supervisor’ ambaye bado yupo kwenye majukumu yake Barrick North Mara.

Tayari bosi ambaye ndiye msimamizi wa mgodi huo ametumiwa taarifa hii kwa njia ya e-mail baada ya namba yake kutopatikana lakini haijajibiwa.

======

Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Dkt. Eng. Samuel Gwamaka Mafwenga, ameiambia JamiiForums leo tarehe 10/03/2022 kwamba, kutokana na taharuki iliyotokea baada ya Picha za Samaki waliokufa kusambaa Mitandaoni wanaodaiwa ni kwenye Mto Mara, tayari timu ya Dharura imeundwa kuchunguza swala hilo.

Mafwenga amesema timu hiyo inahusisha Watu kutoka NEMC, Bonde la maji la Ziwa Victoria, Mkemia Mkuu wa Serikali na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Mara.

"Hivi sasa tunapozungumza, tayari Kamati ipo Sehemu ya tukio Wakichunguza ili tujue chanzo ni nini na kimetoka wapi. Sisi tunaangalia afya na Uhai wa Binadamu na Wanyama." amesema Mafwenga.

Pia soma > Madai ya sumu Mto Mara kutoka migodini, wananchi wazuiwa kutumia maji, kula samaki, uvuvi, Serikali yatoa tamko

View attachment 2145795

View attachment 2145796

View attachment 2145797

View attachment 2145812
View attachment 2145816

68D21ABA-7453-4E3F-BA7F-A7E49C74546E.jpeg
 
Wazee wa Ngorongoro Kitenge na Oscar bado hawajafika huko mto Mara watuhabarishe kinachoonekana?
 
Kule meno ya tembo, mara sumu kwenye ziwa, mara mama tupia jicho bandarini ata one year anniversary bado; mambo shaghalabaga.

Wanasiasa Tanzania bara njaa (walau visiwani kuna watu kama hakina Othman Masoud wanamisamo). Bara teua tu watakupamba na kukutetea kama hawana akili vizuri na watafanya juu chini ubakie ata milele mradi wapo kwenye nafasi; piga chini hakuna watakachofanya wengi hawana lolote bila ya hizo nafasi zao.

Vita ya raisi ipo kwa wafanyakazi serikalini hawa ndio wanasemehe kodi sio wanasiasa, hawa ndio wananyanyasa raia kila siku sio wanasiasa, hawa ndio wanatoa vibali mambo ya ovyo kufanyika sio wanasiasa, hawa ndio wanabambikia watu kesi sio wanasiasa, hawa ndio wanauza viwanja vya watu sio wanasiasa, hawa ndio wanaingia mikataba ya ovyo huko chini sio wanasiasa, hawa ndio wabadhirifu wakubwa wa mali za umma sio wanasiasa, hawa kwa wingi wao ndio wenye mijengo inatisha kushinda nyumba za mawaziri, hawa ndio awataki mawaziri technocrats katika wizara zao wakuwasimamia vizuri, hawa ndio tatizo la Tanzania 90%.

Magufuli ametuonyesha vita na hawa watu sio ndogo sema katikati ya vita vyake kuna wanasiasa ambao awakumuelewa na kujiingiza katika vita isiyowahusu. Hawa ndio watu ambao maza aangaiki nao kabisa leo wakati washaanza kuiharibu nchi upya kwa kasi ya ajabu.
 
Hii ni mbaya sana, uchunguzi wa kina ufanyike. Recovery period sijui itakuwa muda gani mpaka shughuli za kawaida ziendelee kwenye huo mto.
Huu mgodi si wamejenga water treatment plant ya drainage za mgodini sio muda mrefu. How can this happen, baada ya project kubwa kama ile.
Ngoja tusubiri report za uchunguzi zinasemaje.
Visa vya saratani vitaongezeka
 
Ahh naona wako bize na habari za umbea, ukuda
Labda paskali aende huko vp lkn kna maslahi kwake
Pascal Mayalla

Ova
Mkuu mrangi , kiukweli kuandika IJ kama hii sio tuu inahitaji some specialized knowledge, pia ni fursa!. Hii mimi nitaifuatilia, ila nikiisha ikamilisha, na kuiandika, naituma kwanza mahali, ili kuepuka kuwachafua wawekezaji muhimu kama hawa, ambao serikali yetu, ina hisa asilimia 16%, na sisi na Barrick, tunagawa faida, 50/50!. Nikiisha ipeleka hiyo finding yangu hapo nitakapoipeleka, ikitokea, mkaona haijawa published popote, nakuomba usiniulize kwanini haikutoka!.
P
 
Mtaalam amesema kuwa kwenye maji kuna mafuta mengi na grisi. Je tunajiuliza hayo mafuta na grisi yametoka wapi?.
 
Ningefungia mgodi kwanza Hadi uchunguzi ukamilike!halafu Baada ya hapo Kama Wana husika wanapigwa faini na KUPAMBANA nlkurudisha samaki waliopotea ile ecosystem irudi ndio mgodi utafunguliwa!!!
 
Inaction

Mamlaka badala ya kutoa AMRI

Wanaunda kamati hata kwa jambo ambalo ni wazi namna hii.
 
Back
Top Bottom